Kutoka kitabu cha Kabendera: Mohamed Dewji alipotekwa alikuwa anapelekwa Benki jioni baada ya wafanyakazi wengine kutoka

Dr. Abbas yeye anasemaje?
 
Ungekuwa na akili ungejua kwamba MO mi international Icon na si muuza mchicha wa Tandale , yule anaingia kwenye billionaires class na Makampuni yake yanafanya international operations , huyo jiwe pamoja na udumavu wake wa akili alijua fika kwamba huwezi kutumia njia za kutaifisha fedha kinyemela za MO kama alivyofanya kwa raia wengine wa kawaida na wachuuzi wa nchi hii .
Ndio akatumia hao vibaka wake wamteke na kumlazimisha kutoa saini ili ionekane fedha zimetoka kwa ridhaa yake .
Kuna rules zilishawekwa na WTO na ni sharti kufuatwa hasa unapodeal na international business men na companies unless unataka kuifanya nchi ipate vikwazo vya North Korea
Tumia akili wewe zoba
 
Ushenzi WA uchawa na tabia za kishenzi kama mauaji ,utekaji ,blackmail na utesaji wa wanaharakati , wanahabari na raia wanakosoa uatawala wa ccm na ushenzi wa watawala wa Tz ni culture iliyojengwa na magufoooul , may his soul never rest but keep on being tormented eternally in hell !
Kuna mambo mengi ya ovyo aliyaanzisha na mpaka sasa yanaendelea kusumbua Taifa
 
Ndio maana watu kama wewe mnawasapoti akina Magufuli, hata angekuwepo Idd Amin na Mobutu bila shaka mngekuwa mashabiki wao wakubwa. Unajua kwanini? Kwasababu ki-asili wewe ni mkatili na unaona watu wakatili wasiopenda haki ndio marafiki zako.
acha kubashiri mkuu, magufuri alikuwa sawa sana kwa watu kama wewe mnao penda kula kwa dhuruma
 
unahangaika tu magu asha kata moto ww umebaki na chuki za kibwege tu
 
Familia ya Hayati Mkapa ipo! Kama yaliyoandikwa ni uongo, ina haki ya kuyakana au kuyatolea ufafanuzi.
 
Aliwashinda akiwa mzima na anaendelea kuwashinda akiwa kaburini.

Hii haijawahi kutokea kwa kiongozi yeyote, akisha kufa na mambo yake huishia hapo.

Hata leo jina lake likishindanishwa kwenye uchaguzi bila yeye kuwepo atawashinda kwa kura nyingi tu.
 
Badilikeni la sivyo mtaishia vibaya kama hao katili wenzenu.
kuisha ni kuisha hata ukiisha vizuri umeiisha

yaani ka~flag anajulikana anamchukia mwamba magufuri leo anaandika kitabu cha uchunguzi kwa amchukiaye utegemee aatandika mazuri umerogwa wewe umuaminiye
 



Yani kumteka mtu ni rahisi kuliko kutumia mgongo wa serikali? Nchi ngapi zinapora watu wa aina zote pesa kwa mabavu? FYI serikali yeyote ile ndo inaongoza kunyanyasa raia wake kwa mabavu.

Ungejua bank institutions zinavyolinda integrity yao usingeandika haya. Hizo ni grounds tosha kwa bank yeyote ile kufunga milango yake na kuacha hilo soko, sijasikia bank yeyote ile hadi leo, 4yrs after JPM kufariki ikisema neno hata moja. MO mwenyewe yupo kimya hadi leo au bado wanamuogopa jiwe? Kaflag anajua kuliko bank wenyewe, kuliko MO mwenyewe? Hiki ni kituko.
 

Mzee jakaya aliingia mikataba nn nawachina ili dogo aachiwe

Inabidi dishi liwe limeyumba kuamini hizi story za vijiweni.

 
Jpm hakuwa na uwezo/akili ya kufikiri hivyo. Alikuwa ni takataka nyingine iliyowahi kuishi ikulu

Sawa. Nini kilimshinda Mkapa kwenda SA mwenyewe? Let's play dumb tuamini JPM alimnyima fedha. Mkapa hakuhitaji ruhusa yeyote ile toka kwake.

Watoto 27 wa JPM wewe unawajua? Unamjua mtu yeyote anaewajua zaidi ya kaflag?

MO nae anaogopa kuongea 4yrs later anamuachia kaflag? Kwa akili zako fupi unaamini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…