Tayana-wog
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 24,844
- 29,126
Nafikiri ni kusoma na kuchukuabyanayofaaLengo la kusoma kitabu ni kuongeza maarifa maana maarifa yamefichwa kwenye maandishi hivyo lazima usome vitabu ili kuyapata hayo maarifa yaliyofichwa kwenye maandiko ama maandishi.
Sasa unasomaje kitu ambacho hakikuongezei maarifa ama jambo jipya lolote. Huo muda si bora ulale ama ucheze karata.
Kwakweli huu ni uongoHii ya kumnyima Mkapa hela za kwenda kutibiwa hata kichaa hawezi kuamini, kwahiyo walivyonyimwa nauli ya kwenda South yeye Mkapa na familia yake wakakaa tuu kuangalia ugonjwa?
Hii ya kumnyima Mkapa hela za kwenda kutibiwa hata kichaa hawezi kuamini, kwahiyo walivyonyimwa nauli ya kwenda South yeye Mkapa na familia yake wakakaa tuu kuangalia ugonjwa?
SHafidhi hakuwa na ubavu huo, maana jiwe alikuwa na ulinzi wa kufa mtu.
SAA100 ndo agemuingiziaHafidhi hakuwa na ubavu huo, maana jiwe alikuwa na ulinzi wa kufa mtu.
Wanarudisha sasa??Kwanini usingeenda kudai chenji 😂
Alimwambia anawashwashwa....Alimwambia Mkapa kabisa. Akafunga mdomo. Soma Magazeti au ungekuwa unaangalia YOUTUBE ungeona. Magufuli kuna vitu alifanya vizuri lakini vingi alivyofanya vilikuwa vya kuumiza watu, hakuchelea kuchekelea, hanaga aibu huyo jamaa. Kabendera alikuwa anawasiliana na Magufuli sana, alipoharibu ni pale alipoandika article kwenye The Economist yenye title "Dinosaur of Africa. hiyo ilikuwa kashfa kubwa sana kwa Magufuli angetaka angemuua kwa hasira aliyokuwa nayo. Huyo marehemu Magufuli hazikuwa zikimtosha hata kidogo, chukulia incidence ya kuvunja dirisha la chumba chake.....Hivi katika ukoo wako hata mtoto mdogo angeweza kufanya alichofanya hicho Magufuli, halafu alivyokuwa rais eti ndiyo anaenda kulipa laki mbili au laki nne (Sikumbuki vizuri) ya kulipia dirisha? Unashangaa hawezi kufanya lisilowezekana? Tulikuwa na rais kweli!Siamini kabisa Magufuli alimzuia Mkapa asisafiri.
Hakuwa mtakatifu ila hakuwa mtu mbaya kiasi hicho.
Endelea kutoamini.....Siyo suala la kutoamini ni suala la kufanya aliyoyafanya. Jamaa alikuwa chizi....kwani siri. Wewe akina Anthony DIALLO, msukuma mwenzio hakusema kuna watu wamekuwa marais lakini wana mafaili Mirembe? Amefanya ambayo hata mtoto mdogo asiye na akili asingefanya .Siamini kabisa Magufuli alimzuia Mkapa asisafiri.
Hakuwa mtakatifu ila hakuwa mtu mbaya kiasi hicho.
Nini ni Nonsense wewe usiye na uwezo wa kufikiri?N
Nonsense
Mambo mengine ni kukamilisha utaratibu tu ionekane kwamba Mo ndiye aliyetoa pesa Kwa mikono yake mwenyewe.Kwamba Fingerprint ya Mo ilikuwa inatakiwa kutoa hizo Pesa ? Yaani watu wenye Power ya kuteka, kufreeze akaunti na kupigia mameneja wakae mpaka jioni kutoa pesa wanashindwa kushinikiza pesa iwe transferred popote wanapotaka au wakati wowote wanaotaka ?
This is insulting our intelligence...
Hizi habari ni kweli kiasi gani?Haiwezekani mwenyekiti wa ccm taifa na kiongozi wa serikali afanye haya na fedha akachukua mwenyewe###Kwa wale wavivu wa kusoma vitabu Matukio mbalimbali ndani ya kitabu cha kabendera yatakuwa huku kwenye huu uzi ###
Fedha zilikuwa zinatolewa kwenye account za kampuni, bank manager walikuwa wanapigiwa simu kusubiria bank jioni, kisha Mo anatokea akiwa na watu wa mfumo kutoa fedha. Mo bana kumbe anaficha vitu vya ajabu hivi kwa mujibu wa kitabu,
Mgogoro ulikuwa ni wa kikodi, baada ya kuchallenge Jiwe akamdaka na kushinikiza ile pesa ilipwe, ikalipwa cash akachukua Jiwe cash na haikuingia serikalini, wafanyabiashara wengi wamefanyiwa huu mchezo na ndio fedha baadhi alitumia kwenye uchaguzi huu
Nawakumbusheni msome kitabu
Wanashindwa kumwambia kwamba katoe kule ulete hapa ?Mambo mengine ni kukamilisha utaratibu tu ionekane kwamba Mo ndiye aliyetoa pesa Kwa mikono yake mwenyewe.
Duh!..... anyway hao hao kina Mkapa ndio waliompa Urais hivyo walikuwa wanafahamiana vyema.Alimwambia anawashwashwa....Alimwambia Mkapa kabisa. Akafunga mdomo. Soma Magazeti au ungekuwa unaangalia YOUTUBE ungeona. Magufuli kuna vitu alifanya vizuri lakini vingi alivyofanya vilikuwa vya kuumiza watu, hakuchelea kuchekelea, hanaga aibu huyo jamaa. Kabendera alikuwa anawasiliana na Magufuli sana, alipoharibu ni pale alipoandika article kwenye The Economist yenye title "Dinosaur of Africa. hiyo ilikuwa kashfa kubwa sana kwa Magufuli angetaka angemuua kwa hasira aliyokuwa nayo. Huyo marehemu Magufuli hazikuwa zikimtosha hata kidogo, chukulia incidence ya kuvunja dirisha la chumba chake.....Hivi katika ukoo wako hata mtoto mdogo angeweza kufanya alichofanya hicho Magufuli, halafu alivyokuwa rais eti ndiyo anaenda kulipa laki mbili au laki nne (Sikumbuki vizuri) ya kulipia dirisha? Unashangaa hawezi kufanya lisilowezekana? Tulikuwa na rais kweli!
Hamkua na ushirikiano mngeandamana kufa kupona lazima angeona aibu now watu wanaona kama mnamzushia kwasababu hayupo na hakuna wa kuyathibitisha hayoWanarudisha sasa??
Nimegundua wana JF wengi uwezo wao wa kuchanganua jambo na kuelewa ni duni sana, nawe ukiwa mmojawapo.UONGO MWINGINE HAUNA HATA MAANA YAANI MKAPA ALIKUWA HANA HELA YA KUWEZA KUMPELEKA KUTIBIWA HAPO SOUTH AFRICA TU? PIMENI NA UONGO WA KUSEMA
Usimtukanie mama yake tafadhali, wewe dili naye huyo mwana JF.Kwa hiyo wewe kipimo cha Intelligence Quotient ni mama yako Mwalimu!
Unajua sababu ya watu kwenda ma viroba bank kuchukua hela za Escrow!!??Hii ni tofauti kabisa na hii fiction