Mtengwa II
JF-Expert Member
- Mar 13, 2017
- 860
- 1,421
Watanzania bwana, unakuta mtu mzima kabisa na bahati nzuri ameenda shule ajabu utakuta anapoteza muda wake eti ananunua kitabu cha Yerico Nyerere ama Kabendera na anasoma kabisa na mbaya zaidi anaamini ule ujinga ulioandikwa mule
Sijuwi wewe ila mimi maadam sikuwepo kwenye inner cycle ya Magufuli naweza kudadisi vitu kadhaa kutumia kitabu cha kabenderaKumbe mtekaji hakuwa Magufuli tu ila kitabu kinamueleza yeye tu?
Makonda alipigwa ban sababu alitangaza vita against ushoga au na hilo unataka hadi kaflag akujaze ujinga? Mnataka muunde conspiracy yenu tena kujifariji? Hili lilikua wazi na serikali ya TZ kupitia msemaji wake muda ule ilijitenga na kauli za Makonda. FYI, watu wengi tu walipewa makaratasi nje sababu ya kauli za Makonda by claiming prosecution.
MO kujibu kinafki haimaanishi kwamba alitekwa na Rais. Ni mtu mjinga peke yake anayeweza kuamini hiyo story eti rais akuteke ili kuchukua pesa zako. Hata mtoto wa darasa la kwanza hawezi kuamini esp kwenye nchi kama bongo ambayo rais ni almost mfalme. Kila siku mnalia katiba ibadilishwe ili rais apunguziwe madaraka, rais huyo huyo mwenye madaraka yote akuteke kuchukua pesa yako wakati BOT, hazina, mahakama, polisi na taasisi zote zipo chini yake.
Watoto 27 wewe au mtu yeyote anawajua zaidi ya kaflag?
Sijuwi wewe ila mimi maadam sikuwepo kwenye inner cycle ya Magufuli naweza kudadisi vitu kadhaa kutumia kitabu cha kabendera
Mfano kupotea kwa Ben saanane.....kama hakuhusika kwa nini asingeamuru uchunguzi wa kina ufanyike? Hajawahi kuzungumzia popote wakati alijua fika ilimuharibia image ya serikali yake?
Kupigwa risasi Lissu tena kwenye makazi ya serikali....huyo mungu wako mbona alijikausha kama hajui lolote zaidi ya tweet moja ya kinafiki?
Halafu umeambiwa kufreeze mali za mtu kama MO ambaye ni internationally recognised business mogul unahitaji calculation za hali ya juu na siyo kama unavyofikiri wewe kichwa maji.
Kuhusu watoto mimi na wewe pia hatuwezi jua exactly anao wangapi labda kama wewe ulikuwa mke mwenza wa mama Janeth.
Akuletee wewe ushahidi? Amesema kulingana na taarifa zake na ushahidi wake. Ukiona shida nenda mahakamani wao ndio wanaweza kumtaka atoe ushahidi. Ukiona uzushi chapa lapa acha sisi wajinga tuamini.Kuna kitu kinaitwa burden of proof, hii ni kanuni kwenye sheria inayotaka anaetoa tuhuma kuthibitisha hizo tuhuma na sio anaetuhumiwa.
Sasa wewe umeibua tuhuma zako huko unatakiwa ulete na ushahidi pia wa kuthibitisha hizo tuhuma ulizoziibua na sio wajibu wa unaemtuhumu. Anaetuhumiwa sio lazima ajitokeze kukana, hata akinyamaza tu ni ishara kwamba amekataa na kukana hizo tuhuma, sasa wewe unatakiwa ulete ushahidi kuthibitisha zaidi ili mtuhumiwa aonekane anakataa tu bila sababu.
Tuhuma zisizo na ushahidi ni uzushi na umbea tu kama umbea mwingine.
he had a severe insanityEndelea kutoamini.....Siyo suala la kutoamini ni suala la kufanya aliyoyafanya. Jamaa alikuwa chizi....kwani siri. Wewe akina Anthony DIALLO, msukuma mwenzio hakusema kuna watu wamekuwa marais lakini wana mafaili Mirembe? Amefanya ambayo hata mtoto mdogo asiye na akili asingefanya .
Siwezi kukutajia watu kwa sababu za kiusalama, ila ni habari za uhakika tupu. Muulize Ridhiwani kama anaruhusiwa kukanyaga China na vitongoji vyake utajua ukweli.Unaweza nipa source ya uhakika zaidi ya "Trust me bro nawajua watu nyeti". Kila mtu anawatu nyeti hii nchi na kila mtu ni usalama hadi vichaa.
Dogo nii mjinga, alishauriwa na wenzake wasimuhusishe baba yake maana kontena lilikuwa kubwa. In short, dogo hana faida na hii nchi angeachwa tu anyongwe.Kwani huyo ridhiwani ilikuaje akaenda mwenyewe na hilo kontena huko uchina alishindwa kumpanga mzee wake wakapata kile kibari cha kutokugaliwa mizigo ya ubalozi yani wangefanya mzigo unaenda ubalozi si kuna story kwamba hiyo mizigo ya hivyo huwa inapita tu bila check up
Kauli hii ilikuwa inamlenga Kikwete moja kwa moja na ndiyo maana jamaa anakula mirungi na bangi mpaka muda huu.Endelea kutoamini.....Siyo suala la kutoamini ni suala la kufanya aliyoyafanya. Jamaa alikuwa chizi....kwani siri. Wewe akina Anthony DIALLO, msukuma mwenzio hakusema kuna watu wamekuwa marais lakini wana mafaili Mirembe? Amefanya ambayo hata mtoto mdogo asiye na akili asingefanya .
Siwezi kukutajia watu kwa sababu za kiusalama, ila ni habari za uhakika tupu. Muulize Ridhiwani kama anaruhusiwa kukanyaga China na vitongoji vyake utajua ukweli.
Kutetea ujinga nao ni ujinga tu.HACHAFUKI HACHAFULIWI !
Tumeshakataa Watanzania wema kuburuzwa na Mafisadi na wabadhirifu wa mali za Umma !
HACHAFUKI HACHAFULIKI ππ³
Regasi iko pale pale hata Prof Lumumba wa Kenya anajua hivyo πππ
Umewaambia mawaziri wako na wao wakalime?Kwa nini unachukulia kilimo ndiyo kipimo cha utu?Eti kwny kitabu cha kabendela siwezi amini hizo tamthiliya kama zingine tuu,huyu mwandishi uvivu wa kulima tuu unamsumbua
Yericko anaishi kwa pesa ya Mbowe, biashara ya vitabu ni kupoteza watu maboya tu.Cha Yericko Nyerere ni 140,000
Mbona anajieleza kama mkulima wa bamia kutoka Mufindi na Daslam?Yericko anaishi kwa pesa ya Mbowe, biashara ya vitabu ni kupoteza watu maboya tu.
Sio wao wote mkuu. Hata wewe unaweza kuzaa na mke wa mmasai ila mtoto anabaki kuwa ni wa mmasai. Wana mambo ya kingese sana wale jamaaSasa hapo kosa ni nini? Mbona kuna wazee wa kimasai wana watoto 90 mkuu?
Unajua protocol ya kutibu viongoz ikoje mkuu?Ebu mda mwingine tuwe tunashirikisha akili zetu vizuri alizotujaalia Mwenyezi Mungu,hivi kweli late Mkapa kwa pesa alizokuwa nazo alishidwa kwel kwenda south kwa matibabu kwa vile magu alikataaa yeye kwenda soutg
Kwenye kujifunza kitu hutakiwi kuweka mipaka au kuchagua mwl. Unaweza kujifunza hata kwa kumuangalia kichaa chief. Na hapo ndio wazungu wanatuacha, tunaishi kwa kuchagua ya kujifunza kumbe dunia ni kama bahari elimu iko popote. So nakushauri sio vitabu vya yeriko tu usome. Hata vya wale unaowadharau sana hutakosa cha kujifunza na hawataandika ujinga 100% .Kama mtu unaweza kununua kitabu cha Yerico Nyerere, ccm inahitaji mtutu wa bunduki wa nini kuendelea kubaki madarakani?
Kama una akili za kununua kitabu cha Yerico basi ccm hawana sababu ya kutafta mtutu, hata manati haihitajiki, labda makofi.
Siitambui mkuu,sio mbaya ukatueleweshaUnajua protocol ya kutibu viongoz ikoje mkuu?