Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Wewe mbona unanunua gazeti la Uhuru, nani kakukataza?Watanzania bwana, unakuta mtu anapoteza muda wake eti ananunua kitabu cha Yerico Nyerere ama kabendera na anasoma kabisa😂.
Ndio maana ccm inaendelea kua madarakani miaka na miaka na hakuna wanachokifanya cha kimaendeleo lakini wanaendelea tu kwa sababu watu wa kuwatoa hawapo.
hapa mnataka kupoteza watu maboya kuua ile kauli ya kuondolewa kwa mkapa na timu ileMagufuli aliambiwa kuhusu ugonjwa wa Mkapa, ilikuwa Covid 19 ina msumbua na alikuwa na hali mbaya sana, madaktari na familia waliomba apelekwa Afrika ya Kusini kupata matibabu sahihi kutokana na hali yake kuwa mbayaMagufuli akakata kutoa ruhusa ya matibabu mpaka kifo kilimpomkuta wakasema ni homa ••IN THE NAME of the PRESIDENT: MEMOIRS of a JAILED JOURNALIST
Legasi legasi legasi.###Kwa wale wavivu wa kusoma vitabu Matukio mbalimbali ndani ya kitabu cha kabendera yatakuwa huku kwenye huu uzi ###
Fedha zilikuwa zinatolewa kwenye account za kampuni, bank manager walikuwa wanapigiwa simu kusubiria bank jioni, kisha Mo anatokea akiwa na watu wa mfumo kutoa fedha. Mo bana kumbe anaficha vitu vya ajabu hivi kwa mujibu wa kitabu,
Mgogoro ulikuwa ni wa kikodi, baada ya kuchallenge Jiwe akamdaka na kushinikiza ile pesa ilipwe, ikalipwa cash akachukua Jiwe cash na haikuingia serikalini, wafanyabiashara wengi wamefanyiwa huu mchezo na ndio fedha baadhi alitumia kwenye uchaguzi huu
Nawakumbusheni msome kitabu
Cha Yericko Nyerere ni 140,000Kinauzwa Bei Gani Hicho kitabu
Hakuna pdf agiza amazon.comhebu leteni pdf ya hicho kitabu tusome na wengine
Unaweza kuthibitisha hayo yaliyo andikwa?....Usisahau kuwa hicho ni kitabu tu kimeandikwa na binadamu kama wewe so akili kumkichwa...Yawezekana/sivyo.###Kwa wale wavivu wa kusoma vitabu Matukio mbalimbali ndani ya kitabu cha kabendera yatakuwa huku kwenye huu uzi ###
Fedha zilikuwa zinatolewa kwenye account za kampuni, bank manager walikuwa wanapigiwa simu kusubiria bank jioni, kisha Mo anatokea akiwa na watu wa mfumo kutoa fedha. Mo bana kumbe anaficha vitu vya ajabu hivi kwa mujibu wa kitabu,
Mgogoro ulikuwa ni wa kikodi, baada ya kuchallenge Jiwe akamdaka na kushinikiza ile pesa ilipwe, ikalipwa cash akachukua Jiwe cash na haikuingia serikalini, wafanyabiashara wengi wamefanyiwa huu mchezo na ndio fedha baadhi alitumia kwenye uchaguzi huu
Nawakumbusheni msome kitabu
Ni Allah ndo kamuondoa?Alhamdullilah Allah umetuondolea
mh! bado sijaona sababu nzito yakukinunua! hapo mshikaji anakula na vipofu tu!Hakuna pdf agiza amazon.com
Sasa kama huna sababu yakukinunua pdf ya nini?!mh! bado sijaona sababu nzito yakukinunua! hapo mshikaji anakula na vipofu tu!
Huyo Allah haachi kitu... Anaondoa hadi mbuzi.Alhamdullilah Allah umetuondolea
swali la ajabu sana!Sasa kama huna sababu yakukinunua pdf ya nini?!
Inaonekana kabila ya wazilamakende wana matatizo.Mzilankende