Kutoka kitabu cha Kabendera: Mohamed Dewji alipotekwa alikuwa anapelekwa Benki jioni baada ya wafanyakazi wengine kutoka

Mara paap mwisho wa mwaka upepo unabadilika, anaingia mwingine Giningi, huyo ni pro Jiwe, mara ka flag anasema hicho kitabu alishinikizwa kuandika na mtu flani..

Kumbe naota tu, ngoja nivute shuka nilale, huu mwaka una ndoto za ajabu
AKILI KUBWA SANA WEWE. HII SI BURE YUPO MASTER NYUMA YA HII SINEMA. NI MUDA TU " "
 

Of all the former Presidents of Tanzania akamchagua Magufuli? 20 years of Investigative journalism?

Nitakuwa wa mwisho kuamini story zote kwenye hicho kitabu....
 
Tuletee wewe FACTS, kama unaona ni drama

Hicho kitabu ni kitamu kama unapenda rumors za corridor of power...

Hizo za Ben Saanane zimepigwa sana huku, hizo za Mo zimepigwa sana huku, mengine kaambiwa na washkaji zake aliowa mention kwenye kitabu..

Tusiamini kila kitu mkuu .. .ask questions.
 
Twende na huyu? Hadithi zenu za zamani?
 

Attachments

  • Screenshot_20250107-234819~2.png
    659 KB · Views: 4
Of all the former Presidents of Tanzania akamchagua Magufuli? 20 years of Investigative journalism?

Nitakuwa wa mwisho kuamini story zote kwenye hicho kitabu....
Magufuli kawa subject katika maelezo ya kitabu chake kutokana na kilichomkuta yeye personally wakati wa utawala wake.
Sasa emotions zinazotokana na kupitia alichokipitia wakati wa JPM zinaweza kupofusha uwezo wake wa kuchanganua taarifa anazolishwa kuhusu kilichotokea. Mathalan,kama anahisi alionewa na kufanyiwa unyama sana na utawala wa JPM, itakuwa ni rahisi kwake kumuamini mtu atakayemueleza kuwa JPM kaua mtu kwa mkono wake mwenyewe...hata kama si kweli.
 
Sasa Historia ya Tz huko mashuleni ina umuhimu gani. Yani mwanafunzi anamaliza chuo kikuu lakini bado anakaririshwa kuwa TANZANIA ilipata uhuru mwaka 1961 (rejea sherehe za uhuru TANZANIA) 😄😄😄😄Yani ni tafrani
 
Wewe ndiyo kituko

Kulikuwa na ulazima Gani wakati wa Escrow watu kwenda na magunia kuchukuwa pesa Bank wakati wangeweza kupelekewa na magari majumbani kwako??

Acha hizo hujui nyamaza!
 
Kwa hiyo unatuaminisha kuwa Mkapa alihitaji kibali cha Jiwe ili kusafiri?
Mbona wafanyakazi tu wa serikali walikuwa wanapata vibali vya kutoka utumishi na wakawa wanasafiri?

Mimi nafikiri mwandishi na sisi wasomaji, tungejikita kwenye kutafuta ukweli. Tusilazimishe vitu fulani vinavyofanya jiwe aonekane mbaya sana au mzuri sana kuliko alivyokuwa.
 
Safari yeyote ya nje ilihitaji kibali cha magufuli mbona hii ilikua wazi
 
Hicho kitabu Cha kabendera halazimishwi MTU kusoma au kuamini yaliyopo. Ila ni kizuri kwasababu kimetoa picha ya mambo yaliyokuwa yanaendelea nchini ambyo wengi waliyalalamikia
 
Mijinga sana,tena utakuta yanasoma kwa shauku huo upuuzi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…