Kutoka kitabu cha Kabendera: Mohamed Dewji alipotekwa alikuwa anapelekwa Benki jioni baada ya wafanyakazi wengine kutoka

Kutoka kitabu cha Kabendera: Mohamed Dewji alipotekwa alikuwa anapelekwa Benki jioni baada ya wafanyakazi wengine kutoka

Mara paap mwisho wa mwaka upepo unabadilika, anaingia mwingine Giningi, huyo ni pro Jiwe, mara ka flag anasema hicho kitabu alishinikizwa kuandika na mtu flani..

Kumbe naota tu, ngoja nivute shuka nilale, huu mwaka una ndoto za ajabu
AKILI KUBWA SANA WEWE. HII SI BURE YUPO MASTER NYUMA YA HII SINEMA. NI MUDA TU " "
 
Sidhani kama anatengeneza conspiracy yoyote.....
Ila pengine kwa vile anahisi kwa kuwa yeye ni investigative journalist ,basi andhani hawezi kuchomekewa jambo la uwongo na hao watu ambao ni vyanzo vya habari zake. Kwa mfano,,siyo lazima iwe kweli JPM alifariki kwa Civid 19 kama alivyoeleza katika kitabu chake. hata kama huyo source alimueleza hivyo. Vipi kama huyo chanzo chake cha habari kiamlisha uongo kwa makusudi ili kuficha chanzo halisi?

Of all the former Presidents of Tanzania akamchagua Magufuli? 20 years of Investigative journalism?

Nitakuwa wa mwisho kuamini story zote kwenye hicho kitabu....
 
Watanzania bwana, unakuta mtu mzima kabisa na bahati nzuri ameenda shule ajabu utakuta anapoteza muda wake eti ananunua kitabu cha Yerico Nyerere ama Kabendera na anasoma kabisa na mbaya zaidi anaamini ule ujinga ulioandikwa mule😂.

Ndio maana ccm inaendelea kua madarakani miaka na miaka na hakuna wanachokifanya cha kimaendeleo lakini wanaendelea tu kwa sababu watu wa kuwatoa hawapo maana ccm imekua ikiwadanganya na kuwafukarisha kwa miaka zaidi ya 60 na bado wanaichagua.

Nadhani Tanzania ni nchi yenye binadamu wa aina yake Duniani, special human species.
Twende na huyu? Hadithi zenu za zamani?
 

Attachments

  • Screenshot_20250107-234819~2.png
    Screenshot_20250107-234819~2.png
    659 KB · Views: 4
Of all the former Presidents of Tanzania akamchagua Magufuli? 20 years of Investigative journalism?

Nitakuwa wa mwisho kuamini story zote kwenye hicho kitabu....
Magufuli kawa subject katika maelezo ya kitabu chake kutokana na kilichomkuta yeye personally wakati wa utawala wake.
Sasa emotions zinazotokana na kupitia alichokipitia wakati wa JPM zinaweza kupofusha uwezo wake wa kuchanganua taarifa anazolishwa kuhusu kilichotokea. Mathalan,kama anahisi alionewa na kufanyiwa unyama sana na utawala wa JPM, itakuwa ni rahisi kwake kumuamini mtu atakayemueleza kuwa JPM kaua mtu kwa mkono wake mwenyewe...hata kama si kweli.
 
Watanzania bwana, unakuta mtu mzima kabisa na bahati nzuri ameenda shule ajabu utakuta anapoteza muda wake eti ananunua kitabu cha Yerico Nyerere ama Kabendera na anasoma kabisa na mbaya zaidi anaamini ule ujinga ulioandikwa mule😂.

Ndio maana ccm inaendelea kua madarakani miaka na miaka na hakuna wanachokifanya cha kimaendeleo lakini wanaendelea tu kwa sababu watu wa kuwatoa hawapo maana ccm imekua ikiwadanganya na kuwafukarisha kwa miaka zaidi ya 60 na bado wanaichagua.

Nadhani Tanzania ni nchi yenye binadamu wa aina yake Duniani, special human species.
Sasa Historia ya Tz huko mashuleni ina umuhimu gani. Yani mwanafunzi anamaliza chuo kikuu lakini bado anakaririshwa kuwa TANZANIA ilipata uhuru mwaka 1961 (rejea sherehe za uhuru TANZANIA) 😄😄😄😄Yani ni tafrani
 
Kabendera amenichekesha sana anaposema kuwa Mo alikuwa anapelekwa bank ili aweke finger print watoe pesa hahahahaha hakika Erick ni mwehu yani watu wenye mamlaka ya kufunga account ya pesa ya mtu na kuchukua pesa wahangaike na wewe kukupeleka bank ili wakatoe pesa hahahaha hakika hichi ni kituko
Wewe ndiyo kituko

Kulikuwa na ulazima Gani wakati wa Escrow watu kwenda na magunia kuchukuwa pesa Bank wakati wangeweza kupelekewa na magari majumbani kwako??

Acha hizo hujui nyamaza!
 
Dah kusoma na kuelewa huwa ni vitu viwili tofauti, ni wapi ameongelea habari ya Mkapa kukosa hela ya kujitibu?

Umeambiwa alinyimwa kibali sio pesa,

Kipindi cha Magufuli kutoka nje ya nchi hii ni lazima upate kibali chake.

Na alifanya hivyo makusudi baada ya Mkapa kusema kwenye nchi hii hamna mtu ataongeza muhula mwingine zaidi ya miaka 10 akiwa hai

Aliyasema haya siku anazindua kitabu chake

Kwa roho ya korosho ya jiwe naamini kabisa alimnyima kibali
Kwa hiyo unatuaminisha kuwa Mkapa alihitaji kibali cha Jiwe ili kusafiri?
Mbona wafanyakazi tu wa serikali walikuwa wanapata vibali vya kutoka utumishi na wakawa wanasafiri?

Mimi nafikiri mwandishi na sisi wasomaji, tungejikita kwenye kutafuta ukweli. Tusilazimishe vitu fulani vinavyofanya jiwe aonekane mbaya sana au mzuri sana kuliko alivyokuwa.
 
Kwa hiyo unatuaminisha kuwa Mkapa alihitaji kibali cha Jiwe ili kusafiri?
Mbona wafanyakazi tu wa serikali walikuwa wanapata vibali vya kutoka utumishi na wakawa wanasafiri?

Mimi nafikiri mwandishi na sisi wasomaji, tungejikita kwenye kutafuta ukweli. Tusilazimishe vitu fulani vinavyofanya jiwe aonekane mbaya sana au mzuri sana kuliko alivyokuwa.
Safari yeyote ya nje ilihitaji kibali cha magufuli mbona hii ilikua wazi
 
Watanzania bwana, unakuta mtu mzima kabisa na bahati nzuri ameenda shule ajabu utakuta anapoteza muda wake eti ananunua kitabu cha Yerico Nyerere ama Kabendera na anasoma kabisa na mbaya zaidi anaamini ule ujinga ulioandikwa mule😂.

Ndio maana ccm inaendelea kua madarakani miaka na miaka na hakuna wanachokifanya cha kimaendeleo lakini wanaendelea tu kwa sababu watu wa kuwatoa hawapo maana ccm imekua ikiwadanganya na kuwafukarisha kwa miaka zaidi ya 60 na bado wanaichagua.

Nadhani Tanzania ni nchi yenye binadamu wa aina yake Duniani, special human species.
Hicho kitabu Cha kabendera halazimishwi MTU kusoma au kuamini yaliyopo. Ila ni kizuri kwasababu kimetoa picha ya mambo yaliyokuwa yanaendelea nchini ambyo wengi waliyalalamikia
 
Watanzania bwana, unakuta mtu mzima kabisa na bahati nzuri ameenda shule ajabu utakuta anapoteza muda wake eti ananunua kitabu cha Yerico Nyerere ama Kabendera na anasoma kabisa na mbaya zaidi anaamini ule ujinga ulioandikwa mule😂.

Ndio maana ccm inaendelea kua madarakani miaka na miaka na hakuna wanachokifanya cha kimaendeleo lakini wanaendelea tu kwa sababu watu wa kuwatoa hawapo maana ccm imekua ikiwadanganya na kuwafukarisha kwa miaka zaidi ya 60 na bado wanaichagua.

Nadhani Tanzania ni nchi yenye binadamu wa aina yake Duniani, special human species.
Mijinga sana,tena utakuta yanasoma kwa shauku huo upuuzi
 
Back
Top Bottom