Kutoka kitabu cha Kabendera: Mohamed Dewji alipotekwa alikuwa anapelekwa Benki jioni baada ya wafanyakazi wengine kutoka

Kutoka kitabu cha Kabendera: Mohamed Dewji alipotekwa alikuwa anapelekwa Benki jioni baada ya wafanyakazi wengine kutoka

Hata Mimi ambacho nahitaji ni hicho mkuu. Huwa ninalinda sana akili yangu kuchezewa kirahisi kwa stori zisizo na maana kama hizi.

Hali inavyosimuliwa utadhani ni documentary ya Adolph Hitler au Benito Mussolini.
Ni miaka michache tu nyuma hapa tulikuwepo sote hata kwenye utumishishi na hatujayaona haya yanayosemwa na mwandishi.

Nashangaa wanaoaminishwa hizi Takataka Wana akili timamu kweli?
Chuki baba! Mtu akiwa na chuki na wewe anaweza fanya lolote lile Ili tuu roho yake ifurahie,mtu akiwa na chuki na wewe, anaweza kumsaidia shetani unyooke!!
 
###Kwa wale wavivu wa kusoma vitabu Matukio mbalimbali ndani ya kitabu cha kabendera yatakuwa huku kwenye huu uzi ###

Fedha zilikuwa zinatolewa kwenye account za kampuni, bank manager walikuwa wanapigiwa simu kusubiria bank jioni, kisha Mo anatokea akiwa na watu wa mfumo kutoa fedha. Mo bana kumbe anaficha vitu vya ajabu hivi kwa mujibu wa kitabu,

Mgogoro ulikuwa ni wa kikodi, baada ya kuchallenge Jiwe akamdaka na kushinikiza ile pesa ilipwe, ikalipwa cash akachukua Jiwe cash na haikuingia serikalini, wafanyabiashara wengi wamefanyiwa huu mchezo na ndio fedha baadhi alitumia kwenye uchaguzi huu

Nawakumbusheni msome kitabu
Nyumba yenyewe ambayo akina Makonda walienda kumficha more ipo ile mtaa ukitoka science unafuata ile barabara ya Rose garden ili kwenda kutokea kwa Mwalimu. Kabla haujafika kituoni upande wa kushoto kuna barabara na bango limeandikwa Atsoko (Mikocheni). Ukiufuata ule mtaa kuna nyumba ina geti jeusi, ipo mwanzoni tu mwa mtaa mwingine...au ngoja niachie hapa
 
Nyumba yenyewe ambayo akina Makonda walienda kumficha more ipo ile mtaa ukitoka science unafuata ile barabara ya Rose garden ili kwenda kutokea kwa Mwalimu. Kabla haujafika kituoni upande wa kushoto kuna barabara na bango limeandikwa Atsoko (Mikocheni). Ukiufuata ule mtaa kuna nyumba ina geti jeusi, ipo mwanzoni tu mwa mtaa mwingine...au ngoja niachie hapa
😳Watu mnajua mengi.
Nilidhani ilikuwa siri ya kwao tu
 
Nyumba yenyewe ambayo akina Makonda walienda kumficha more ipo ile mtaa ukitoka science unafuata ile barabara ya Rose garden ili kwenda kutokea kwa Mwalimu. Kabla haujafika kituoni upande wa kushoto kuna barabara na bango limeandikwa Atsoko (Mikocheni). Ukiufuata ule mtaa kuna nyumba ina geti jeusi, ipo mwanzoni tu mwa mtaa mwingine...au ngoja niachie hapa
Eleza tu man. Kwani nani hajui magu alimteka more
 
fred alipigwa risasi na mlinzi wake akiwa camp, m7 akatuma binamu yake kumchukua hyo mlinz ili apelekwe ug kwa mahojiano zaid, wakiwa mpakan mwa rwanda na ug mlinzi akapigwa risas akafa, mpaka leo ukihoji kifo cha fred unawekwa sehemu salama fasta.
Yaani ukitumwa kuua ukakubali ukimaliza tu na wewe wanakuua.

Kuua ni kubaya sana.

Unazungumzia Gen Fred Rweygema?
 
Madai mengi ya huyo Kabendera hayaingii akilini kabisa.

Yanajenga picha ya Magufuli kuwa alikuwa mwehu na mwendawazimu kabisa licha ya kuwepo serikalini kwa zaidi ya miaka 20 ambapo alipanda vyeo mpaka kufikia kiwango cha uwaziri.

Napata shida sana kuamini mengi aliyoyaandika.

Mengi aliyoyaandika ni tabloid-ish.
Kabendera amenichekesha sana anaposema kuwa Mo alikuwa anapelekwa bank ili aweke finger print watoe pesa hahahahaha hakika Erick ni mwehu yani watu wenye mamlaka ya kufunga account ya pesa ya mtu na kuchukua pesa wahangaike na wewe kukupeleka bank ili wakatoe pesa hahahaha hakika hichi ni kituko
 
Niko kijijini huku bado nakula raha, vipi Kabendera hajamtaja Ridhiwani na lile sakata la makontena ya madawa ya kulevya China na jinsi baba yake alivyokwenda kumuokoa kwenye kitanzi asinyongwe usiku usiku. Dogo kalitia taifa hasara kubwa sana wakati hana faida yoyote ndani ya hii nchi!
Mzee jakaya aliingia mikataba nn nawachina ili dogo aachiwe
 
###Kwa wale wavivu wa kusoma vitabu Matukio mbalimbali ndani ya kitabu cha kabendera yatakuwa huku kwenye huu uzi ###

Fedha zilikuwa zinatolewa kwenye account za kampuni, bank manager walikuwa wanapigiwa simu kusubiria bank jioni, kisha Mo anatokea akiwa na watu wa mfumo kutoa fedha. Mo bana kumbe anaficha vitu vya ajabu hivi kwa mujibu wa kitabu,

Mgogoro ulikuwa ni wa kikodi, baada ya kuchallenge Jiwe akamdaka na kushinikiza ile pesa ilipwe, ikalipwa cash akachukua Jiwe cash na haikuingia serikalini, wafanyabiashara wengi wamefanyiwa huu mchezo na ndio fedha baadhi alitumia kwenye uchaguzi huu

Nawakumbusheni msome kitabu
Endelea kutupa updates
 
Kabendera amenichekesha sana anaposema kuwa Mo alikuwa anapelekwa bank ili aweke finger print watoe pesa hahahahaha hakika Erick ni mwehu yani watu wenye mamlaka ya kufunga account ya pesa ya mtu na kuchukua pesa wahangaike na wewe kukupeleka bank ili wakatoe pesa hahahaha hakika hichi ni kituko
Hivi ni benki gani vile? 🤣
 
Nadhani kuna kitu zaidi Kabendera ana Conspire

Kuna drama nyingi sana zimechezwa kwenye hicho kitabu
Sidhani kama anatengeneza conspiracy yoyote.....
Ila pengine kwa vile anahisi kwa kuwa yeye ni investigative journalist ,basi andhani hawezi kuchomekewa jambo la uwongo na hao watu ambao ni vyanzo vya habari zake. Kwa mfano,,siyo lazima iwe kweli JPM alifariki kwa Civid 19 kama alivyoeleza katika kitabu chake. hata kama huyo source alimueleza hivyo. Vipi kama huyo chanzo chake cha habari kiamlisha uongo kwa makusudi ili kuficha chanzo halisi?
 
Back
Top Bottom