Kutoka kitabu cha Kabendera: Mohamed Dewji alipotekwa alikuwa anapelekwa Benki jioni baada ya wafanyakazi wengine kutoka

Kutoka kitabu cha Kabendera: Mohamed Dewji alipotekwa alikuwa anapelekwa Benki jioni baada ya wafanyakazi wengine kutoka

Ebu mda mwingine tuwe tunashirikisha akili zetu vizuri alizotujaalia Mwenyezi Mungu,hivi kweli late Mkapa kwa pesa alizokuwa nazo alishidwa kwel kwenda south kwa matibabu kwa vile magu alikataaa yeye kwenda soutg
Usishangae sana.
Hii ni nchi ambayo ukiwaambia leo kuwa Zuchu ni freemason, wataamini.
Ukiwaambia Jakaya na Membe ni mtu na mdogo wake, wataamini.

Ndio watu tulionao.
 
Usishangae sana.
Hii ni nchi ambayo ukiwaambia leo kuwa Zuchu ni freemason, wataamini.
Ukiwaambia Jakaya na Membe ni mtu na mdogo wake, wataamini.

Ndio watu tulionao.
Ndio maana unaona wamewekewa mabango ya freemason na utapeli mwingine kwa sababu wapo wengi Akili zao zimeshikiliwa au tuseme kwamba wana Akili zisizokuwa na Akili !
Wanaburuzwa kirahisi sana !
 
Mama yangu ni mwalimu mstaafu, nilivyomsimulia baadhi ya tuhuma hizi aiseee alijibu ni wajinga tuu watakaoamini huu uzushi tena wa kiwango kidogo sana, mama yangu ni mwalimu mstaafu ila ana high IQ kuliko hata hawa wanaojiita great thinkers wanaoamini uongo wa wazi wazi. Kitabu kimejaa mauongo hata mtoto wa form one aliye smart kichwani hawezi kuamini
usisababishe watu wamtukane mama bila sababu...anyway ameshapata mafao yake
 
mk
Magufuli aliambiwa kuhusu ugonjwa wa Mkapa, ilikuwa Covid 19 ina msumbua na alikuwa na hali mbaya sana, madaktari na familia waliomba apelekwa Afrika ya Kusini kupata matibabu sahihi kutokana na hali yake kuwa mbayaMagufuli akakata kutoa ruhusa ya matibabu mpaka kifo kilimpomkuta wakasema ni homa ••IN THE NAME of the PRESIDENT: MEMOIRS of a JAILED JOURNALIST
mkapa kwenda sauzi ni mpaka kibali? mbona watu wa kawaida tu wanaenda sauzi kila siku
 
Baada ya Ben Sanane kupigwa risasi Ikulu, walinzi walisikia milio ya risasi walinzi wote wakahamaki nini kimetokea, walipoulizana kwenye mawasiliano wakajibiwa kwamba kuna kichaa aliruka ukuta wa ikulu na kuingia ndaniwamemuwahi na kumpiga hizo risasi walinzi wasiwe na wasiwasi, Hii habari inakujulikana kwenye mifumo, walijua tukio la Ben lilivyotokea
 
###Kwa wale wavivu wa kusoma vitabu Matukio mbalimbali ndani ya kitabu cha kabendera yatakuwa huku kwenye huu uzi ###

Fedha zilikuwa zinatolewa kwenye account za kampuni, bank manager walikuwa wanapigiwa simu kusubiria bank jioni, kisha Mo anatokea akiwa na watu wa mfumo kutoa fedha. Mo bana kumbe anaficha vitu vya ajabu hivi kwa mujibu wa kitabu,

Mgogoro ulikuwa ni wa kikodi, baada ya kuchallenge Jiwe akamdaka na kushinikiza ile pesa ilipwe, ikalipwa cash akachukua Jiwe cash na haikuingia serikalini, wafanyabiashara wengi wamefanyiwa huu mchezo na ndio fedha baadhi alitumia kwenye uchaguzi huu

Nawakumbusheni msome kitabu
Jiwe alikuwa shetani mtu.
 
Mimi nimechoka hapo baada ya kifo cha Magufuli, Kulikuwa na 50Kgs za dhahabu hapo Ikulu,
Ikabidi zisafirishwe kwenda Chato na baadhi ya maafisa, Kule kulikuwa na strong room iliyokutwa pia mahela kibao.

Jamaa waliosafirisha mzigo, baada ya kukabidhi wakiwa wanarudi Dar wakapata ajali wakafa, taarifa ikatoka walikuwa wamelewa.

Mke wa mmoja wao akakana mumewe hajawahi kunywa pombe huo ulevi kaanza lini?.

Mambo yakaishia hapo

Dunia imebeba mengi sana.
Utawala wa Jiwe ulikuwa na mambo mengi sana . Kama ulivyosema Kuna mahela mengi sana yalikutwa Chato underground room namahela mengine yaliyofichwa China kwa Balozi , mnaobosha bisheni lakini Kabendera Cha mtoto info ni nyingi sana zaidi ya alizotoa .
 
Wahuni sio.watu.wazuri wakiwa chini ya.commanding officer Bash. Walimvisha khanga.moo.dewji.

Ila mo alipata.anachostahili utajiri.wake.una unyonyaji sana utalipaje wafanyakazi vibarua miaka na.miaka bila mkataba.sh.4000.
 
Kwa hizi dondoo hichi kitabu cha kabendera ni muhimu sana kukisoma na.kuelewa.the other side ya late JPM. Makonda. Mbowe na upinzani kwa.ujumla.

Ukweli utafichwa ila utaibuka tuu. Tutaelewa the otherside ya.wengi kati ya.viongozi wetu wa vyombo mbalimbali na.maamuzi yao yanasukumwaga na nini.
 
###Kwa wale wavivu wa kusoma vitabu Matukio mbalimbali ndani ya kitabu cha kabendera yatakuwa huku kwenye huu uzi ###

Fedha zilikuwa zinatolewa kwenye account za kampuni, bank manager walikuwa wanapigiwa simu kusubiria bank jioni, kisha Mo anatokea akiwa na watu wa mfumo kutoa fedha. Mo bana kumbe anaficha vitu vya ajabu hivi kwa mujibu wa kitabu,

Mgogoro ulikuwa ni wa kikodi, baada ya kuchallenge Jiwe akamdaka na kushinikiza ile pesa ilipwe, ikalipwa cash akachukua Jiwe cash na haikuingia serikalini, wafanyabiashara wengi wamefanyiwa huu mchezo na ndio fedha baadhi alitumia kwenye uchaguzi huu

Nawakumbusheni msome kitabu
So ndio zile nyingine walizikuta chato magetoni
 
Watanzania bwana, unakuta mtu mzima kabisa na bahati nzuri ameenda shule ajabu utakuta anapoteza muda wake eti ananunua kitabu cha Yerico Nyerere ama Kabendera na anasoma kabisa na mbaya zaidi anaamini ule ujinga ulioandikwa mule😂.

Ndio maana ccm inaendelea kua madarakani miaka na miaka na hakuna wanachokifanya cha kimaendeleo lakini wanaendelea tu kwa sababu watu wa kuwatoa hawapo maana ccm imekua ikiwadanganya na kuwafukarisha kwa miaka zaidi ya 60 na bado wanaichagua.

Nadhani Tanzania ni nchi yenye binadamu wa aina yake Duniani, special human species.
Kwani ni zako?,si ninpesa zetu,?,tusipangiane mkuu,kwani shule si tulienda wenyewe, natuka graduate ,tulia, tunanunua vitabu ,hata wewe andika tutanunua,maana unqweza kusoma kitabu kujua umbumbu wa muandishi ama uwezo wake
 
You're missing the point.
Habari za utekaji wa Moh zilienea sana na zilikuwepo kwenye media karibu kila siku. Kama lingekuwa jambo la wazi namna hiyo mpaka Benki iwe inajua (lazima wangejua kuwa pesa zinatolewa kwenye akaunti ya important client), obviously habari zingesambaa mtaani, na hata Investigative journalists wangeipata hiyo story by then, hata kama polisi walihusika moja kwa moja.

Inawezekana ni kweli state machinery ilihusika kumteka Moh, lakini hapo kitachoshangaza ni dhana kuwa walikuwa wanaenda naye benki kuwithdraw mapesa. Hapo sikubali.
Ulitaka habari zisambae sikufukie na wewe lof!?
 
Mama yangu ni mwalimu mstaafu, nilivyomsimulia baadhi ya tuhuma hizi aiseee alijibu ni wajinga tuu watakaoamini huu uzushi tena wa kiwango kidogo sana, mama yangu ni mwalimu mstaafu ila ana high IQ kuliko hata hawa wanaojiita great thinkers wanaoamini uongo wa wazi wazi. Kitabu kimejaa mauongo hata mtoto wa form one aliye smart kichwani hawezi kuamini
Kwa hiyo wewe kipimo cha Intelligence Quotient ni mama yako Mwalimu!
 
Back
Top Bottom