Kutoka kitabu cha Kabendera: Mohamed Dewji alipotekwa alikuwa anapelekwa Benki jioni baada ya wafanyakazi wengine kutoka

Kutoka kitabu cha Kabendera: Mohamed Dewji alipotekwa alikuwa anapelekwa Benki jioni baada ya wafanyakazi wengine kutoka

True kwa mfano hii story ni ya kisenge ila ile ya Ridhiwani ni true story na waliotoa hizo habari ni jamaa wa Usalama wenyewe.
Kwani huyo ridhiwani ilikuaje akaenda mwenyewe na hilo kontena huko uchina alishindwa kumpanga mzee wake wakapata kile kibari cha kutokugaliwa mizigo ya ubalozi yani wangefanya mzigo unaenda ubalozi si kuna story kwamba hiyo mizigo ya hivyo huwa inapita tu bila check up
 
Alimwambia anawashwashwa....Alimwambia Mkapa kabisa. Akafunga mdomo. Soma Magazeti au ungekuwa unaangalia YOUTUBE ungeona. Magufuli kuna vitu alifanya vizuri lakini vingi alivyofanya vilikuwa vya kuumiza watu, hakuchelea kuchekelea, hanaga aibu huyo jamaa. Kabendera alikuwa anawasiliana na Magufuli sana, alipoharibu ni pale alipoandika article kwenye The Economist yenye title "Dinosaur of Africa. hiyo ilikuwa kashfa kubwa sana kwa Magufuli angetaka angemuua kwa hasira aliyokuwa nayo. Huyo marehemu Magufuli hazikuwa zikimtosha hata kidogo, chukulia incidence ya kuvunja dirisha la chumba chake.....Hivi katika ukoo wako hata mtoto mdogo angeweza kufanya alichofanya hicho Magufuli, halafu alivyokuwa rais eti ndiyo anaenda kulipa laki mbili au laki nne (Sikumbuki vizuri) ya kulipia dirisha? Unashangaa hawezi kufanya lisilowezekana? Tulikuwa na rais kweli!
Km unataka comment zako zisomwe acha kutumia huo mwandiko binafsi sijasoma na sababu ni hiyo font yako haitamanishi mtu kukusoma.
 
Siyo lazima usome wewe, wengine wengi tu wanasoma. Kama kichwa chako kinawasha kwa sababu Magufuli ametajwa usisome. Siyo muhimu. Acha upuuzi.
Mpuuzi ni wewe unayetuandikia mwandiko utafikiri bata kaharisha. Magu akitajwa ndo jina lake linazidi kutamalaki uzuri mkimtaja kwa mabaya watetezi wa mazuri yake wanakuwa wengi kuliko haters
 
Mpuuzi ni wewe unayetuandikia mwandiko utafikiri bata kaharisha. Magu akitajwa ndo jina lake linazidi kutamalaki uzuri mkimtaja kwa mabaya watetezi wa mazuri yake wanakuwa wengi kuliko haters
Waambie mod waziondoe hizo front kwenye system zao sababu wao jamiiforum ndo wameweka wasingeweka watu wasingetumia
 
Yani kumteka mtu ni rahisi kuliko kutumia mgongo wa serikali? Nchi ngapi zinapora watu wa aina zote pesa kwa mabavu? FYI serikali yeyote ile ndo inaongoza kunyanyasa raia wake kwa mabavu.

Ungejua bank institutions zinavyolinda integrity yao usingeandika haya. Hizo ni grounds tosha kwa bank yeyote ile kufunga milango yake na kuacha hilo soko, sijasikia bank yeyote ile hadi leo, 4yrs after JPM kufariki ikisema neno hata moja. MO mwenyewe yupo kimya hadi leo au bado wanamuogopa jiwe? Kaflag anajua kuliko bank wenyewe, kuliko MO mwenyewe? Hiki ni kituko.
Na wewe jamaa umeshupalia kubisha balaa! Jamaa amekufafanulia hapo juu vizuri sana! Una uhakika gani kwamba alioshirikiana nao wameacha hizo tabia?
Hata mo mwenyewe huoni anaruka ruka tu mpaka leo anajibu kinafiki nafiki tu!
Makonda alipigwa ban kwenda Marekani sababu unaijua? Je kama alituhumiwa kuvunja haki za binadamu je ni haki gani hizo?
 
Nadhani kabendera ame target wateja na hadhira yenye uwezo mdogo wa kufikiri na kupembua mambo.

Mythology aliyoitumia amefanikiwa sana, hasa humu jamiiforums ambamo panajulikana kama "The home of great thinkers".

Huwezi kuorodhesha mythical premises kama hizo zisizo na clear justifications halafu Kuna watu wana consume bila kujiuliza.

Kwamba Mo Dewji alitekwa Ili wakatoe pesa benki na maafisa wa serikali ya Magufuli? 🤣🤣🤣

Kwa taarifa yenu tu! Serikali inaweza kuchukua au ku freeze account yoyote ya pesa bila hata kumhitaji mhusika kwa kumteka.

Tumieni akili, simtetei Magufuli lakini pia siwezi kudanganywa kirahisi namna hii kwa sababu najua ninachokisema.

Hiki kitabu hakina tofauti na Ile "Takataka" Fulani ya bwana yericko.

Wataalamu wa mambo najua mnanielewa.
Sikia wewe, Magufuli ni mjinga ambaye alikuwa hana akili. Hilo kufanyika wala sio ajabu. Yule alikuwa kichaa ndio maana hata "jengo la Tanesco pale Ubungo alilibomoa ili kuonesha kuwa yeye ana nguvu kuliko JK aliyemkataza asilibomoe wakati akiwa waziri. Hakuwa na busara.
 
Mpuuzi ni wewe unayetuandikia mwandiko utafikiri bata kaharisha. Magu akitajwa ndo jina lake linazidi kutamalaki uzuri mkimtaja kwa mabaya watetezi wa mazuri yake wanakuwa wengi kuliko haters
Mwandiko kama bata kaharisha???? Lol, hiyo inaitwa Times New Roman ndiyo inayotumika mara nyingi kwa barua za ofisi kaka msukuma wewe. Magu ameshakufa RIP na hakuna anayekataa kafanya mazuri wala hatumchukii. Ila pia kafanya mabaya mengi. Hakuna kiongozi malaika aliyepita katika nchi yetu, wana mabaya yao na mazuri yao, kwa hiyo punguza mihemuko, lazima tuseme ubaya wa kila moja kuanzia Nyerere hadi huyu mama anayeendelea kuteka na kuua kwa kwenda mbele, naye pia anayo mazuri yake.
 
Na wewe jamaa umeshupalia kubisha balaa! Jamaa amekufafanulia hapo juu vizuri sana! Una uhakika gani kwamba alioshirikiana nao wameacha hizo tabia?

Kumbe mtekaji hakuwa Magufuli tu ila kitabu kinamueleza yeye tu?

Makonda alipigwa ban kwenda Marekani sababu unaijua? Je kama alituhumiwa kuvunja haki za binadamu je ni haki gani hizo?

Makonda alipigwa ban sababu alitangaza vita against ushoga au na hilo unataka hadi kaflag akujaze ujinga? Mnataka muunde conspiracy yenu tena kujifariji? Hili lilikua wazi na serikali ya TZ kupitia msemaji wake muda ule ilijitenga na kauli za Makonda. FYI, watu wengi tu walipewa makaratasi nje sababu ya kauli za Makonda by claiming prosecution.

Hata mo mwenyewe huoni anaruka ruka tu mpaka leo anajibu kinafiki nafiki tu!

MO kujibu kinafki haimaanishi kwamba alitekwa na Rais. Ni mtu mjinga peke yake anayeweza kuamini hiyo story eti rais akuteke ili kuchukua pesa zako. Hata mtoto wa darasa la kwanza hawezi kuamini esp kwenye nchi kama bongo ambayo rais ni almost mfalme. Kila siku mnalia katiba ibadilishwe ili rais apunguziwe madaraka, rais huyo huyo mwenye madaraka yote akuteke kuchukua pesa yako wakati BOT, hazina, mahakama, polisi na taasisi zote zipo chini yake.

Watoto 27 wewe au mtu yeyote anawajua zaidi ya kaflag?
 
###Kwa wale wavivu wa kusoma vitabu Matukio mbalimbali ndani ya kitabu cha kabendera yatakuwa huku kwenye huu uzi ###

Fedha zilikuwa zinatolewa kwenye account za kampuni, bank manager walikuwa wanapigiwa simu kusubiria bank jioni, kisha Mo anatokea akiwa na watu wa mfumo kutoa fedha. Mo bana kumbe anaficha vitu vya ajabu hivi kwa mujibu wa kitabu,

Mgogoro ulikuwa ni wa kikodi, baada ya kuchallenge Jiwe akamdaka na kushinikiza ile pesa ilipwe, ikalipwa cash akachukua Jiwe cash na haikuingia serikalini, wafanyabiashara wengi wamefanyiwa huu mchezo na ndio fedha baadhi alitumia kwenye uchaguzi huu

Nawakumbusheni msome kitabu
Mimi nilihisi hivi mwanzo kabisa.
 
Back
Top Bottom