Kutoka kofia ya barghashia ya Nyerere 1964 hadi msalaba wa William Lukuvi 2014

Punjab Singh,

Najua nyie wasia mlipata tabu sana wakati wa Nyerere, mlidhulumiwa sana mali zenu pole sana, nyumba zenu, hospitali, mashule, na pesa zenu.
 
Last edited by a moderator:
Acha kulewa sifa mzee mzima
 

Nyie wazee bora mfe mmalizike wote maana mnatuchafulia hali ya hewa na historia zenu za kuunga unga. Kila mwenye miaka 60 na kuendelea anajifanya anaijua historia. Historia zenyewe ni za kuwagawa watanganyika na wazanzibar. Kufeni tubaki wenyewe tusiojua historia lakini tumeishi kwa amani
 
Punjab Singh,

Najua nyie wasia mlipata tabu sana wakati wa Nyerere, mlidhulumiwa sana mali zenu pole sana, nyumba zenu, hospitali, mashule, na pesa zenu.

Na wewe kinda la juzi tu bado unanuka maziwa mdomoni umeahaathiriwa na wachochezi kina Mohamed Said?
 
Last edited by a moderator:

Wewe allah akikujalia kufika miaka 50 utakuwa LICHAWI namba moja. Umri huo unawaza ukabila na udini? Zama hizi ndo za kuwaza hayo?! Mbulumundu mkubwa we!
 
Last edited by a moderator:
Segwanga,
Hapana kulewa kitu katika hilo la Karume.

Yapo makubwa ya kihistoria kama kulewa ningelileweshwa na hayo.

Mimi nimeeleza historia tu kama niijuavyo.
 
Kitabu cha "Kwaheli Ukoloni Kwaheli Uhuru" cha Dr.Harith Ghassany, kumbe kilipigwa marufuku Zanzibar, juzi kwenye bunge la katiba nilimuona mjumbe mmoja akifanya reference kupitia kitabu hicho.

Soma makala za Joseph Mihangwa uelimike kuhuzu Zanzibar. Achana na vitabu vya kigaidi kama hivyo
 
Asante kwa kuendelea kutoa somo.
 
Unaonekana una upeo mdogo sana kwa akili yako unadhani vifo vipo kwa ajili ya wazee tu.
 
Soma makala za Joseph Mihangwa uelimike kuhuzu Zanzibar. Achana na vitabu vya kigaidi kama hivyo
Wewe kauzu kweli, yaani Joseph ndiyo anifundishe historia mimi? wakati wazee wangu ndiyo walimpokea Nyerere, mjini mwaka 1954 walikuwa mstari wa mbele kwenye kutafuta uhuru, soma wewe wakuja.

Isinipasue mbavu zangu..
 
Wewe allah akikujalia kufika miaka 50 utakuwa LICHAWI namba moja. Umri huo unawaza ukabila na udini? Zama hizi ndo za kuwaza hayo?! Mbulumundu mkubwa we!
Leo utaongea yote lakini ukweli utabaki kuwa ukweli.
 

Hii article imejaa uongo na uchochezi mwingi. Mwandishi ametumia porojo za gengeni na kuzifanya kuwa ni facts. Hili la EAMWS ni moja ya uongo na uchochezi uliozagaa mitaani. EAMWS ilikufa kutoana na migogoro ya ndani hasa ule wa Bukoba kulikokuwa na mgongano kati ya wahindi/waarabu (mabepari) vs waislamu wazawa waliokuwa wana-support ujamaa (TANU & ASP). TANU hawakuanzisha mgogoro wa EAMWS ingawa viongozi wake wa kiislamu walishiriki kwenye usuluhishi. Tuachane na fitina/uchochezi kwani hata maandiko nayo yanakemea fitna.
 
Tatizo JF siku hizi mambo ya dini flani yanazungumzika lakini ukiweka yale ya dini nyingine hayatakiwi kabisa wanasema ni uchochezi!!
 
sioni haja ya kuwepo huu uzi...mod vipi mbona umeuacha hewani sana.
 

Makasuku wenzio wa CCM Wanasema nyerere ni mtakatifu hakufanya makosa. So Tundu lisu alimtukana wewe unasemaje
 
Last edited by a moderator:

Kubwajinga,
Hayo ulosema ya migogoro ya ndani katika EAMWS ndiyo ''official
version,'' iliyotengenezwa na Usalama wa Taifa na ndiyo iliyodumu
kwa miaka yote.

Marehemu Rashid Kayugwa aliyekuwa Usalama wa Taifa ndiye
aliyepewa jukumu la kuongoza propaganda hizi.

Mwisho wa maisha yake alieleza yote na Kayugwa alijuta sana
alitubia na kuomba msamaha kwa Allah amsamehe.

Lakini nitakuongezea jingine labda hulijui katika sakata ile ya EAMWS.

Uongo ulitengenezwa kuwa Sheikh Hassan bin Amir alikuwa
anataka kupindua serikali ya Nyerere.

Haya yalidumu kwa kipindi kirefu hadi pale nilipofanya utafiti na
baadae kuandika ''paper,'' ''Islam and Politics in Tanzania,''
(Al Haq International (Karachi) Vol. 1 No. 3 August- December
1993)
.

Lakini kabla ya kuchapwa kwa hii ''paper,'' Pakistan mwaka 1993
niliitoa kwenye mkutano wa East Africa Study Circle, Nairobi mwaka
1989.

Kwa mara ya kwanza ikawa kisa cha mgogoro wa EAMWS kinaelezwa
na upande wa pili na mkono wa Nyerere na Kanisa Katoliki ukawa kwa
mara ya kwanza umewekwa kweupe.

Huu ndiyo ukweli ambao Waislam leo wanaujua.

Vitabu vilivyofuatia vya P van Bergen na John Sivalon kuonyesha
fitna za Kanisa dhidi ya Uislam Tanzania.

Ikawa kama vimekuja kunisadikisha yale ambayo nilikuwa nimeandika
siku nyingi.

Hayo si uchochezi wala si fitna ni ukweli mtupu wa yale yaliyotukumba
Waislam na yanaendelea kututaabisha hadi leo.

Kubwajinga,
Umeniita mie muongo.

Nakuthibitishia kuwa yote niliyosema ni kweli na kama una uwezo
fanya utafiti wako yote nilliyosema yatakudhihirikia.

Zentrum Moderner Orient (ZMO) ni taasisi kubwa ya historia
duniani iko Berlin.Walinialika hapo kwa mwezi mmoja na tulielezana
mengi katika maandishi yangu.

Kama wewe na wao walikuwa na shaka na baadhi ya mambo.

Hadi hivi sasa nimepokea watafiti watatu kutoka Ujerumani na USA
na wote haowanatafiti kile nilichoandika wakiakisi yale nilohadhiri
Ujerumani.

In Sha Allah tusubiri matokeo ya tafiti hizo.

Picha hiyo hapo chini nikiwa ofisini kwangu Zentrum Moderner Orient,
Berlin, Ujerumani mwaka 2011.
 

Attachments

  • SAM_2015.JPG
    701.5 KB · Views: 70
Makasuku wenzio wa CCM Wanasema nyerere ni mtakatifu hakufanya makosa. So Tundu lisu alimtukana wewe unasemaje
Hivi wewe unamjua Ritz au unakurupuka kujibu, unadhani mimi nashikiwa akili na Mbowe au Dr.Slaa kama wewe, Nyerere alikuwa dikteta tu, muongo, mdanganyifu.
 
Last edited by a moderator:
Mi nahofu tukiwa na serikali 3 Tanganyika itakuwa nchi ya kikristo. Teh teh teh!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…