Kutoka kofia ya barghashia ya Nyerere 1964 hadi msalaba wa William Lukuvi 2014

Wewe subiri kufungwa kwani unawasema kina alhaj.Elimu ya madrasa haiko sawa na div one ya kanisa na haitakuwa hivyo mpaka ukamilifu wa dahari!
 

Ahahaha alie kuambia balaghashea ni vazi la utamaduni la warabu ni nani?
vazi la utamaduni la warabu ni vilemba si balaghashea na hivo vilemba pia vinatofautiana na sehemu ufungaji cha misri na yemen ni tofauti Dubai na Oman ni tafauti so vazi la asili la kichwani kwa warabu ni kilemba si balaghashea hotomuona bedui hata siku moja kuvaa balaghashia yeye nikilemba wala haijui hiyo balaghashia
 
Hahahahahaha. AlhamduliLlah nipo kabla ya Nyerere hajawa Waziri Mkuu wala Tanganyika haijapata Uhuru, nakumbuka fash fash za Uhuru nikizitazama nilipokuwa mdogo, nyumbani kwetu, nyumba ya pili kutoka nyumba ilipozaliwa TANU.

Unaongelea, kuhusu kutokuzuwia imani za watu na Nyerere? nadhani wewe ndio utakuwa u bwana mdogo sana kama huvijui visa vya Nyerere kwa Waislaam, Jee, umeshawahi kupewa kisa cha EAMWS na BAKWATA? nadhani bado, ngoja nimuombe Al-Alama Mohamed Said atudonolee japo "kiduchu", kwa faida yako na ya wengi. Japo Al-akh Ritz atutupie mistari "kiduchu" hapa.

Vipo visa na mikasa mingi sana ya Nyerere kunyanyasa na kudhulumu Waislaam, Utavijuwa tu, kidogo-kidogo.

Ngoja nikuulize, Jee, unajuwa Nyerere alipewa fedha na Ghaddafi za kujenga msikiti kwao, lakini alizikalia mpaka kafa hajaujenga? Jiulize kwanini?
 
Udikteta wa Nyerere, alipowapoteza Aboud Jumbe na Dourado, walipohoji muungano.
Kama ilikuwa dhuluma alofanya mbona sasa CA wanataka kubadili style ya muungano wewe na kichaka chenu cha familia ya kifalme hamtaki!Mmkelia kututisha tuu na serikali 2.
 
Mimi ni mkristo na kwa kweli sifurahishwi kabisa na shutuma za waislamu dhidi ya wakristo maana zinachochea kuchukiana katika ngazi ya chini kabisa na hivyo kutengeneza mazingira ya civil unrest na genocide. Lakini baada ya kauli ya Pengo, Lukuvi na Mtetemela nimeanza kujiuliza hivi kuna ukweli katika hoja za waislamu kuhusiana na mfumo wa utawala. sie wakristo wengine na hasa wapentekoste hatujawahi kuwa sehemu ya mfumo huu. Hata kama kuna manufaa hawa maskofu wanapigania basi huwa wanafaidi peke yao kwa siri. Swali langu wana maslahi gani na mfumo huu uliopo mbona wanautetea kufa na kupona?
 
Anahusikaje?Bibi Naona mmepata ground ya kuonesha ushetani wenu mnakomaa kinoma!Mbona wewe usiende Yerusalemu ukasema huo mji ni wa waislamu?

Uuongelee Ukristo Tanzania na Pengo usimtaje? itakuwa humtendei haki.

Kwani sisi tunaandika katiba mpya ya Palestine au ya Tanzania? hata niitaje Jerusalem?
 

Nakushangaa wewe muislamu unachukua fear-mongering ya British Nationalists kama ushahidi wa kuongezeka kwa waislamu Uingereza. Mwandishi nia yake ni kuwatisha waingereza ili wawabane mbavu waislamu. Kitu ambacho ni dhahiri wamefanikiwa ukiangalia kupanda chati kwa UKIP na wakina Cameroon kuanza kutamka kuhusu ukristu wa uingereza. Matokeo yake ni kuwa hizo viza mnazojipanga kuanzia usiku wa manane hamta zi pata, ndugu zenu waliojilipua watatafutiwa kila sababu watimuliwe n.k. Ufaransa nako vile vile. Wadachi walianza zamani. Na hata Norway wako njiani kuwashughulikia. Nyinyi mnabaki kushangilia kuwaua mapadri na kuchoma makanisa huku kwetu bila kujua athari zake.

Amandla......
 
WEWE lazima utakuwa na masters ya ile kitabu inayosomwa back to front aka alubadili- akili yako imedumaa- kwanini usivae mkanda wa mabomu ukakutane na mabikra tisini na tisa huko kwa muumba wako??????
 

Kumbe wewe ndio Ngongoseke? Mpunguze basi hizo ID.

Muulize huyo Al Alama Mohamed Said kuhusu mahusiano ya karume na hiyo EAMWS? Na unajua nani alianzisha hiyo EAMWS na kwa nini waswahili katika TANU waliipinga?

Unazungumzia ule msingi uliokuwa Chang'ombe, pesa mkazinywa na baadae mkadhulumiana wenyewe.

Au unazungumzia Chuo Kikuu chenu kinachotia fora mlichopewa baada ya Kafir mmoja kuchukua mali ya umma na kuwapa?

Amandla.....
 
Ngoja nikusaidie kiduchu hizi data zitakusaidia.

Miji ya Ulaya ambayo Uislam unakuwa kwa kasi ya ajabu ni hapa.

1) Amsterdam 14%
2) Antwerp 16%
3) Barcelona 6%
4) Berlin 6%
5) Birmingham 26%
6) Blackburn 28%)
7) Bradford 15%
8) Brussels 15%
9) Cologne 12%
10) Copenhagen 7%
11) Frankfurt 11%
12) Marseille 20%
13) Paris 15%
14) Mancherster 15%
15) Rotterdam 15%
16) London 13%
17) Leicester 18%
18) Malmo 10%
19) The Hague 14%
20) Vienna 8%

Tuishie hapo kwanza bado sijakuwekea Marekani.

Hawa wote ni wakimbizi? ngoja nikuwekee na Masheikh wa Kizungu.
 

Ushahidi, please!

Amandla.....
 

Naona uko kwenye keyboard huku umeshika yale maji yenu mnayaita ya dhahabu,
Usichanganye huyo faiza foxy na mimi Ngongoseke,
Usijali kama hoja nzito omba msaada mbona wenzako wako wengi tu hapa jf!?
 
Last edited by a moderator:

Katika wabunge 10 waislamu, watatu ndio waliokuwa wanafuata imani yao kwa dhati na wawili walishajitoa kwenye huo uislamu. Huku ni Netherlands.

Amandla....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…