Kutoka kofia ya barghashia ya Nyerere 1964 hadi msalaba wa William Lukuvi 2014

Kutoka kofia ya barghashia ya Nyerere 1964 hadi msalaba wa William Lukuvi 2014

wewe acha kujidanganya, wakristo hasa wakatoliki Wwa Tanganyika mna chuki Sana na uislam na waislam, hivi zile pumba aizoomwaga #Lukuvi Ni nini kama SI chuki na uislam??

leo hii kuna akina Halima Joseph na Jacklini Juma, je hapa kuna udini? au wapenda umimi a madaraka ndo wanaupandikiza na kuundeleza?
 
Wee mtoto!

Nani alokufunda kuita Watu Wazima/Wazee hapa jamvini ati young man!?

Ule uchochezi wa kafiri Lukuvi uliukemea!? Au umeona huu tu!? Ebo!

No one is advocating violence and/or physical force here!

So,STOP exaggerate things! Ok!?

"He is dumb, deaf and blind and he cannot reason." Lukuvi is Islamophobic, Arab and pale skin hatters are all over in CCM politics as if they were rulled by the Arabs it is bcz of the envy for their achievements and success in business or is it religion are using this wimbo taifa?
 
Wakati mwalim Nyerere anapendekeza mfumo wa kura tatu mwaka 1958 kule mkoani Tabora ,ilikuwa mbinu ya kanisa kutaka kushika hatamu.

Watu waliomfadhili Nyerere kama aki na Dossa Azizi,Abdulwahid Sykes na Mshume kiate wote akawageuza mateka ndani ya nchi waliyoipigania.

Haya ya Lukuvi yamezidi kuwafumbua macho waislaam waliokuwa katika usingizi mzito ,kuwa Mfumo Kristo hauna namna ya ku oparate zanzibar kama hakuna muungano.


Alichokisema Lukuvi ni ushahidi tosha wa chuki za wakatoliki dhidi ya Waislaam wa Tanzania.

Tatizo la wakristo wengi hawasomi vitabu baada ya kupata zile elimu za kupeana,Hata akija Askofu kuwahutubia wasomi wa kiwango cha uzamili na uzamivu hukuti wakihoji jambo lolote ,wanaburuzwa licha ya usomi wao.

Ukisoma kirabu kilichoandika na Padri Sivalone kiitwacho Kanisa katoliki na siasa Tanzania bara,Dr.Sivalone kaweka mambo yote wazi kama alivyoweka Likuvi kule kanisani.

Yote yaliyosemwa na ustadh Ilunga ,Shekh Ponda Issa Ponda,na Mashekh wa taasisi ya uamsho ni mafunzo tosha kwa mtu mwenye nia njema na nchi yetu.

Badala ya serikali kuyafanyia Kazi wakakimbili kuwakamata na kuwaweka gerezani na kumtumia Mkristo mwenzao mwenye siasa kali DPP Elieza Felishi kuwadhibiti kwa kuwanyima dhamana ili kuizima sauti ya waislaam isisikike.

Lkn kwa kuwa uwongo huwa haudumu hata siku moja,Yaleyale waliyoyasema Mashekhna kuitwa wachocheza yaliposemwa na aki na Tundu Lissu kanisa likatikisika na hatimae tukaletewa hati feki ya Muungano.

Sikumwona DPP akiamrisha Aki na Lissu wakamatwe kwa uchochezi na hii ndio chuki iliyopo hadharani na huhitaji kujitoa akili ili kumuelewa Mohammed Saidi.

Pamoja na kanisa kuasisi mfumo wa kinyonyaji,lkn tunaumia wote wakiwemoWakristo nawaislaam.

Watanzania wengi wapo vijijini na huko hakuna huduma za Afya ,Maji wala miundombinu bora.

Endeleeno kuwashangilia watu ambao hata Wabrazilwaliwakataa kutokana na historia ya unyonyaji.

Waislaam haturudi nyuma na kama mtatumia mabavu kuendelea kutukandamiza,tupo tayari kushika silaha ili tukose wote,hakuna mtu mwenye hati miliki ya Tanzania,waislaam hawana cha kupoteza tena mbele ya mfumo kandamizi uliodumu kwa miaka hamsini.

Hii ni nyundo.
 
Usiogope msalaba,ogopa ubaguzi.Baragashia haiwakilishi dini,usidanganyike
 
Tanganyika ikashurudi hapo ndio yatafuatia mangine. Lakini kwasasa ni moja tu ni Tanganyika kwanza na Tanzania baadae.
 
Usiogope msalaba,ogopa ubaguzi.Baragashia haiwakilishi dini,usidanganyike

Mkuu,

Inatakiwa umsome kiundani/between the lines, ili kumfahamu uzuri Maalim Mohamed Said!

Yeye anatumia pia elements za tamthilia simulizi na nakshi kadhaa za lugha ili kupambia/kukazia hoja zake...lakini bila ya kupindisha kile alichokusudia kukisema/theme!

Sasa,tatizo ni ya kwamba nyinyi wengi wenu mnavamia jamvi hili kwa mihemuko ya kidini... with a very narrow idea as how to give valid,adequate repsonse and/or arguments!? Daah!
 
Mkuu,
Gombesugu,
Ahsante sana umenisaidia pakubwa.

Nilikuwa natafuta maneno ya kusema lakini siyapati.

Unajua sie cha kushukuru sana kwa Allah Subhana Wataala ni kuwa pamoja
na elimu ya sekula wazee wetu wakatusomesha Qur'an.

Hii imetunyanyua pakubwa katika elimu.
 
Udini ni issue ndogo sana Tanzania lakini inakuzwa na na watu kama wewe Mohammed Said haungepaswa kujenga hoja za chuki dhidi ya waislamu na wakristo kwani sisi ni ndugu,jitahidi uwe unaandika makala zisizoleta hisia za udini kama wanavyofanya baadhi ya viongozi wa nchi hii kuuhubiri hadharani. hebu angalia CAR yanayotokea kisa tu kujenga mbegu ya chuki miongoni mwa Watanzania ambao wameishi kama ndugu tokea muda mrefu na kuoana. Kuna baadhi ya watu ambao wasipokuwepo hisia za udini zinapotea kabisa mfano ni sheikh Ponda,alipanda mbegu chafu ambayo imekosa umwagiliaji na mbolea iweze kumea. Siamini katika udini na ukabila maana ni vyanzo vya mafarakano na kupotea kwa amani ya nchi mbalimbali. Nyerere hakuwa Mungu alifanya mema na alifanya ya kijinga na ya kijinga lazima yaachwe kama alivyosema mwenyewe,ila kama kuna ya kuyarekebisha yarekebishwe na si kuendelea kumsema kanakwambwa bado yupo hai na anasikia. Miaka 29 toka ametoka madarakani lakini bado mnamlaumu badala ya kuwaambia waliomfuata wayarekebishe na kizuri zaidi baada yake wamefuata marais wawili wa kiislamu KIKWETE na MWINYI...Acha kuuhubiri udi maana udini utatumaliza mkiendelea kupanda mbegu za chuki.
 
"He is dumb, deaf and blind and he cannot reason." Lukuvi is Islamophobic, Arab and pale skin hatters are all over in CCM politics as if they were rulled by the Arabs it is bcz of the envy for their achievements and success in business or is it religion are using this wimbo taifa?
Swadakta
 
Mna kazi naye; sisi wengine mbona tulishaachana na Histohisia ya M. Said?

Kazi ya kutoa mapepo kanisani imekushinda.
sidhani hata historia ya kutoa mapepo kanisani unaijua?

Huna tofauti na shetani anaevuta watu kuwapeleka motoni.Unamvuta na huyu dah
 
Wakati tunapa Uhuru miji mikubwa ilikuwa DSM,TANGA,TABORA,LINDI,UJIJI.NYERERE akauwa karibu yote,NYERERE kwa MUNGU lazima VIRUNGU.
 
Hili neno,hawa madrastul bora wafe tu sisi tukae kwa amani,kuna huyu mwingine gombesugu ndio haohao
Wewe mwanamke siyo bure lazima utakuwa na matatizo ya ya akili lakini siwezi kukupa lawama malezi uliyolelewa ndiyo tatizo.
 
Last edited by a moderator:
Mmmmh mbona mada imebadilika sasa...??
 
Back
Top Bottom