Kutoka kofia ya barghashia ya Nyerere 1964 hadi msalaba wa William Lukuvi 2014

Kutoka kofia ya barghashia ya Nyerere 1964 hadi msalaba wa William Lukuvi 2014

Bado unaonyesha jinsi gani upeo wako ulivyo mdogo, Tanzania ina makanisa mangapi ya katoliki na huyo Lukuvi ameenda makanisa mangapi na kushangiliwa?

Ina maana ukitokea ujinga fulani kwenye msikiti mmoja au miwili ya sehemu fulani wewe utasema waislamu wa Tanzania nzima wamefanya ujinga huo??? Hizo chuki za kidini hazitaifikisha popote nchi yetu, narudia tena somesheni watoto waje wafikirie namna ya kutatua matatizo ya kiuchumi sio ku-create chuki za kidini ambazo hazijawahi kusaidia mahali popote duniani!!!


Duh. ulitaka William Lukuvi aende makanisa mangapi ndio ujumbe wa hofu yake kwa Uislam ukufikie?
 
Tatizo hapa ni Sam, hata huyo Lukuvi hata mfukuza.
 
Ndipo hapo mnapopotoka. Unajificha tena nyuma ya fig leaf linapokuja suala la wana Ummah wenzako! Mbona hausiti kukemea maovu unayodhani wanafanya watu wa dini nyingine.

Mimi nimelaani mauaji yanayofanywa na Anti Balaka. Nalaani unyama ulioonyeshwa na majeshi ya Marekani dhidi ya raia wa Iraq na Afghanistan. Nalaani kuwepo kwa jela ya Guatanamo. Nalaani ushiriki wa kanisa katika inquisition na pogroms. Nalaani vitendo vinavyofanywa na baadhi ya viongozi wa madhehebu ya kanisa dhidi ya wafuasi wao. Vitendo hivyo ni pamoja na kuwabaka vijana wanaotakiwa kuwaongoza.

Zamu yako. Unasema nini juu ya uchinjaji unaofanywa na wakina Abubakar Shekau?

Amandla.....

Vipi, hotuba ya William Lukuvi kanisani, umeilaani?
 
Mkuu Ritz,

Nakusoma na tuko pamoja!

Hata hivyo nakhis umengia katika mtego wa huyo "msomi" aka kilaza wa kigalatia ajiitae fundi mchundo!

Yaani lazim ufahamu yakua huyo msukule na kenge wanzie takriban woote hawana uwezo wala nia ya kufanza mjadala walaa kuzungumzia kimantiki hii mada iliyopo hapa jamvini!? Daah!

Ndo maana unaona wanajitahidi mno kubadili scope/dhamira ya huu mjadala woote...na wafanzacho wao ni kuzidi tu kuharisha chuki zao hadharani dhidi ya Uislam/Waislam...tena kwa hoja dhaifu mno! Daah!

Huyo hate preacher mlevi wa kishimundu/Nichola...yeye ndo kabisa,hana jipya! Yaani hiyo single yake ya chuki kwa Waislam inachosha na imechuja mno!

Anachozidi kudhihirisha hapa ni hizo shocking prejudices na stereotypes za kule kwao migombani! Daah!

Kwa kifupi,tunapojadiliana na wanyama kama hawa yatulazim kujihadhari na nia zao potofu za siku zote...yaani wanaogopa kusikia ukweli kutoka upande wa pili!

Yaani ndo wamezoea kujipa mamlaka yakua ndo wasemaji wa Waislam!? Daaah!

Ndo maana inakua dhiki na taabu nyingi juu yao anapotokea Muislam makini kama Maalim Mohamed Said,na kuanza kuwapa Darsa za ukweli yakinifu! Daah!

Mohamed said is here to stay!
 
Ukweli haukwepeki hata siku moja na hata baada ya miaka mia mbele haki itakuja shinda.
 
Mkuu Ritz,

Nakusoma na tuko pamoja!

Hata hivyo nakhis umengia katika mtego wa huyo "msomi" aka kilaza wa kigalatia ajiitae fundi mchundo!

Yaani lazim ufahamu yakua huyo msukule na kenge wanzie takriban woote hawana uwezo wala nia ya kufanza mjadala walaa kuzungumzia kimantiki hii mada iliyopo hapa jamvini!? Daah!

Ndo maana unaona wanajitahidi mno kubadili scope/dhamira ya huu mjadala woote...na wafanzacho wao ni kuzidi tu kuharisha chuki zao hadharani dhidi ya Uislam/Waislam...tena kwa hoja dhaifu mno! Daah!

Huyo hate preacher mlevi wa kishimundu/Nichola...yeye ndo kabisa,hana jipya! Yaani hiyo single yake ya chuki kwa Waislam inachosha na imechuja mno!

Anachozidi kudhihirisha hapa ni hizo shocking prejudices na stereotypes za kule kwao migombani! Daah!

Kwa kifupi,tunapojadiliana na wanyama kama hawa yatulazim kujihadhari na nia zao potofu za siku zote...yaani wanaogopa kusikia ukweli kutoka upande wa pili!

Yaani ndo wamezoea kujipa mamlaka yakua ndo wasemaji wa Waislam!? Daaah!

Ndo maana inakua dhiki na taabu nyingi juu yao anapotokea Muislam makini kama Maalim Mohamed Said,na kuanza kuwapa Darsa za ukweli yakinifu! Daah!

Mohamed said is here to stay!
Mkuu gombesugu

Wala hana mtego mtego wowote anachofanya ni kuruka ruka, hawa mie ninao miaka mingi nawajua vizuri sana wala usihofu.

Nimeweka ushahidi na data za kutosha wanaofaidika ni wafuatiliaji wa huu mnakasha yeye ni daraja tu la kupitishia data, nadhani umesoma majibu ya Sheikh Mohamed Said, na FaizaFoxy.

Umeishajiuliza kwa nini Wakirsto wameukimbia huu uzi wamebakia wawili tu.
 
Last edited by a moderator:
ningejua anuani yako ningekutumia kadi isemayo ugua pole!

Wakti yule haramia Nyerere anaumwa taabani na kujiharishia kitandani pale London...je nae ulimpelekea hiyo card ya "get well soon"!?

Kama huna hoja kaa kando...kashfa na kebehi zako hazitokusaidia,Ok!?
 
  • Thanks
Reactions: Izz
Mkuu gombesugu

Wala hana mtego mtego wowote anachofanya ni kuruka ruka, hawa mie ninao miaka mingi nawajua vizuri sana wala usihofu.

Nimeweka ushahidi na data za kutosha wanaofaidika ni wafuatiliaji wa huu mnakasha yeye ni daraja tu la kupitishia data, nadhani umesoma majibu ya Sheikh Mohamed Said, na FaizaFoxy.

Umeishajiuliza kwa nini Wakirsto wameukimbia huu uzi wamebakia wawili tu.

Mkuu Ritz,

Nimekusoma na kukufahamu kwa utuvu ulo mwingi mno!

Ndo kwanza leo nimerejea humu-JF na nyoote ndo napitia posts zenu...yaani hii mipini yenu ni khatari! Duuh!

Unanuliza mie kwanini ati magalatia woote wamengia mitini hapa jamvini!?...sasa nyie mmemwaga hizo WMD's,sasa ndo panakalika kweli hapa!? Daah! Teeeh! Teeeh! Teeeh!

Nastaajab mno njama na huu woga unaowapata hata hawa Mods wa JF!?

Kwanini kila thread anayoanzisha Maalim Mohamed Said,wao Mods lazim wanafanza njama/hila za aidha kuifuta au kuihamisha kutoka pale jukwaa la siasa!? Wanaogopa nini!?

Nyinyi Mods...kama kweli mngalikua mnafuata sharia na kanuni zenu wenyewe za humu-JF...basi msingalithubutu kuachia thread kadhaa zenye kueneza chuki na kashfa dhidi ya Waislam/Uislam,chuki za makabila na upuuzi mwangineo zitamalaki khasa pale jukwaa la siasa!? Daah!

Thread/s zoote za Nicholas kutukana Waislam/Uislam na wale alowaita ati "Waswahili"...zilikaa/ziliachwa pale "Jukwaa la Siasa" kwa muda mrefu mno...na ilhali kila mmoja akiona yakua zilitamalaki chuki za kidini,ukabila/ukanda na matusi/kashfa dhidi ya hao ati " Waswahili"/Waislam!? Daah!

Tuko pamoja Kaka!
 
Last edited by a moderator:
Read my post where I mentioned Nicholas without tagging and there Mchundo dissappears and fiery Nicholas comes in saying he heard being mentioned. Poor unlearned people like him.
mtemi isike gombesugu Kal Khan[/QUOTE

Mr Singh!

I'm not suprised as these ------ can't afford without their silly/childish game of disguise...oops! I mean multiple ID's! Daah!
 
Last edited by a moderator:
Haha..hajui wanwake wa kizungu siku hizi wamepagawa sana na ngono kiasi kwaba wanaolew wake wa pili umasaini, na sehemu nyingine duniani kwa sababu mbalimbali za kingono n akisheria ktk nchi zao. Cha kushangaza hapa inaonekana jinsi gani wanaume wa kiislam wanavyojiingiza ktk ngono na ndoa zembe wakidhani wanaipaka mafuta dini yao kuwa inapendwa....sababu zipo wazi huyo mwanamke anajua hawezi pata mwanaume cheap na umaarufu wa kirahisi zaidi ya huu, na kujito auaminifu kunamweka vulnerarable to jinns na bad spirits in islam..ch akusikitisha ji huyu mke wa jamaa..pamoja na kujipa matumaini ya uongo alipaswa ambiwa ili approve..wakati hawezi disaapprove..anaonekana kabisa kuwa idea ya wake wengi ktk uislam si natural ...na hata wanawake wa kiislam si kwamba allah kawapa kinga ya wivu.... km ni kuringia dini basi wamasai wangeringia Mila zao na dini yao..wamasai wengi wakristu kwa njia moja au nyingine, na maasai ktk upande mwingine..wanawaoa wanwake wa kizurngu kuliko kiumbe mwingine na kuwafanya mama yoyo kwa kadiri waendavyo....sijui nao watajisifu ..km hawa gansters wa allah.

Embu tuoneshe hapa kwa ushahidi yakinifu ili tuweze ku-substantiate hayo madai yako...yakua ati hao ulowaita Wanawake wa kizungu ndo siku hizi "wamepawa na ngono"!? Daah!

Hizi blankent statements/comment zako ni madhara makubwa mno kwa Wazazi wako...kama bado hawajafa kwa karaha ya kuzaa mnyama kama wewe Nicholas mlevi!

Huyo Mwanamke...walaa hajawahi kutembea na hao unaodai ati watu nje ya jamii yake...mumewe pia ni "mzungu"/mwingereza mwanzie...au hufahamu hili!?

Acha/punguza kutukana makabila ya watu! Hata nyinyi Wakibosho mbona Wazazi wenu wa kiume wanawalala wake zenu kule kwenu milimani!? Na nyinyi mkirudi toka makazini/mikoa mingine walaa zile mimba ambazo hamkuzitia nyinyi...mbona hamuzikatai!? Daah!

Nakukumbusha...pana uchafu na madhaifu makubwa mno hata kule kwenu migombani/milimani utokeako!
 
Mkuu Ritz,

Nimekusoma na kukufahamu kwa utuvu ulo mwingi mno!

Ndo kwanza leo nimerejea humu-JF na nyoote ndo napitia posts zenu...yaani hii mipini yenu ni khatari! Duuh!

Unanuliza mie kwanini ati magalatia woote wamengia mitini hapa jamvini!?...sasa nyie mmemwaga hizo WMD's,sasa ndo panakalika kweli hapa!? Daah! Teeeh! Teeeh! Teeeh!

Nastaajab mno njama na huu woga unaowapata hata hawa Mods wa JF!?

Kwanini kila thread anayoanzisha Maalim Mohamed Said,wao Mods lazim wanafanza njama/hila za aidha kuifuta au kuihamisha kutoka pale jukwaa la siasa!? Wanaogopa nini!?

Nyinyi Mods...kama kweli mngalikua mnafuata sharia na kanuni zenu wenyewe za humu-JF...basi msingalithubutu kuachia thread kadhaa zenye kueneza chuki na kashfa dhidi ya Waislam/Uislam,chuki za makabila na upuuzi mwangineo zitamalaki khasa pale jukwaa la siasa!? Daah!

Thread/s zoote za Nicholas kutukana Waislam/Uislam na wale alowaita ati "Waswahili"...zilikaa/ziliachwa pale "Jukwaa la Siasa" kwa muda mrefu mno...na ilhali kila mmoja akiona yakua zilitamalaki chuki za kidini,ukabila/ukanda na matusi/kashfa dhidi ya hao ati " Waswahili"/Waislam!? Daah!

Tuko pamoja Kaka!
Mkuu gombesugu

Nimekusoma nimekuelewa mno hawa kina Nicholas wanachofanya ni kutoa matusi na kejeli ili uzi wa Sheikih Mohamed Said ufungwe.

Jukumu letu sisi nikuwafahamisha wasomi ukweli ni upi na uongo ni upi.

Si unaona kwa makusudi wanalazimisha kuuchafua Uislam kuunathibisha na ugaidi na makundi ya uovu, lakini sisi hatutachoka kuwaeleza ukweli.
 
Last edited by a moderator:
Tazama walivyo na hila, wanajaribu kila njia kuitoa mada "kutoka kofia ya barghashia ya Nyerere 1964 hadi msalaba wa William Lukuvi 2014" na kuupeleka wanapodhani wao kuwa wapo safe.

Wanajihadaa, eti wanaukwepa ukweli.

Nawauliza, ukweli unakwepeka?
Hoja zimewaishia wamebaki na viroja.
 
Huyu jamaa lazima mtakuwa mnamuota anachezea DUBUR zenu. Hamwachi kumtajataja hata mahali asipohusika

Yeye ndio alikua mchezo wake pale kanisani kuwapaka mafuta na kuwachezeeni duburi zenu eti anawatoa mapepo!

Mtoto wakiume kama wewe unatulia kabisa eti Padri anakutoa pepo, leo kesi za mapadri kuwachezea duburi watoto wadogo zimejaa kibao huko makanisani mpaka Papa anaomba radhi!

Soma link hiyo hapo chini uone jinsi Mapadri wanavyowapakata watoto!

Pope apologizes for clerical sex abuse, promises tough sanctions
 
Back
Top Bottom