Kutoka kofia ya barghashia ya Nyerere 1964 hadi msalaba wa William Lukuvi 2014

Kutoka kofia ya barghashia ya Nyerere 1964 hadi msalaba wa William Lukuvi 2014

Wewe unaongelea mfumo kristo au vyama?

Kumbuka, hata wanga na wachawi wana vyama vyao.

Ivi huu mfumo kristo ambao mnaulalamikia toka uhuru naamini kabla ya uzao wako umekuta wenzako wanalia na wewe umeongeza sauti za kulia na amini nakuambia utaacha kizazi chako na kijacho kikilia kuhusu mfumo kristo maana ndio kitu pekee mnaweza ivi inakuaje nchi hii imepita kwenye mikono ya ma-raisi wa JMT wawili waislamu sahau upande wa ZNZ ambako kiti cha uraisi na almost safu yote ya uongozi ipo chini ya uislamu bado mnalia mnakandamizwa kama sio mawazo mgando,angalia mfn sasa ivi raisi wa JMT na makamu wake na uongozi wa SMZ ni dini gani bado nao wana-support mfumo kristo kama sio mazoea tu ya kulalamika wakati wenzenu wanapiga hatua nyie mnapambana nao hakika kwa kukaa na kulia kama wewe sahau kusogea hata hatua moja na hao unaowalalamikia hautawakuta milele,ivi wakristo wa Tz wanavokaa kimya mnadhani hakuna changamoto?ni vile tunajua vitendo ni msingi sio maneno nasikia fahari kuona hatua zetu na kasi yetu muda sio mrefu tutakaa mbali na nyinyi na hatutosikia tena kelele za vilio vyenu na bado tutakua kwenye ardhi moja ya Tanzania.
 
Duh. ulitaka William Lukuvi aende makanisa mangapi ndio ujumbe wa hofu yake kwa Uislam ukufikie?
huwa sibishani na watu wenye upeo mdogo wa kuelewa, nyie mna misimamo yenu ambayo hata nyie wenyewe huwa haiwasaidii
 
Huyu jamaa lazima mtakuwa mnamuota anachezea DUBUR zenu. Hamwachi kumtajataja hata mahali asipohusika

We si amesha chezea ya kwako!
Ndo maana ukaweka na picha yake kwenye avatar yako na chumbani kwako!

Mwanamme una hubba na padri km mumeo!!
Duh!!
 
Mkuu gombesugu

Wala hana mtego mtego wowote anachofanya ni kuruka ruka, hawa mie ninao miaka mingi nawajua vizuri sana wala usihofu.

Nimeweka ushahidi na data za kutosha wanaofaidika ni wafuatiliaji wa huu mnakasha yeye ni daraja tu la kupitishia data, nadhani umesoma majibu ya Sheikh Mohamed Said, na FaizaFoxy.

Umeishajiuliza kwa nini Wakirsto wameukimbia huu uzi wamebakia wawili tu.

Hapa ndipo ulipoanza kunichosha. Kumbe maneno yako ya kujifanya unapinga uovu yalikuwa ni maneno tu? Kwako wewe kama ilivyo kwa waumini wenzako, ummah ni muhimu kuliko haki. Ndio maana umeshindwa kuwalaani waziwazi wakina Boko Haram na Al Shaabad ambao kwa maeno ya kiongozi wenu wamebeba silaha kutetea imani yenu.

Mimi nilishaaga maana niliona tumefikia mahali ambapo kila kinachohitajika kusemwa kishasemwa. Hakuna jinsi ambapo ungenishawishi uko sahihi na vilele hakuna jinsi ningekushawishi wewe. Lakini uliposema kuwa unapinga uovu (japo na caveat) nikaona pengine kuna matumaini ya majadiliano yenye tija. Kumbe yote ni hypocrisy.

Hivi kweli unategemea mtu mwenye akili zake atajibishana na mtu anayedai Mfalme Constantine aliua wahindi wekundu? Na watu wakamshangilia kama kasema la maana. Mfalme Constantine aliyefariki mwaka 337, miaka kibao kabla ya Christopher Columbus kuzaliwa (mwaka 1451). Hao wahindi wekundu walitoka wapi?

Humu ndani tumefikia mahali pa kuambiwa kuwa tunalalwa, na kuitwa Fundi Uharo n.k. na bado mnategemea watu wenye akili zao wajiingize?

Mimi sipendi unafik. Sipendi sycophants kama huyo mfuasi wa Guru Nanak. Sipendi pretentious fools ambao wanadhania kutumia kiingereza kibovu ndio ishara kuwa wameelimika. Sipendi kasuku ambao wako kama broken record wakirudia swali hilo hilo hata wakijibiwa mara ngapi.

Kutokana na yote hayo najiunga na wenzangu kwa kuwaachia ukumbi huu mjifurahishe kwa kuwatusi wale ambao hawapo.
Nilikuwepo,

Amandla......
 
muulize Arafat aliyeukwepa ukweli kuwa Israel ni Taifa la mungu!

Nyie si mnasema walimtesa "Mungu" hao, wakamtundika msalabani? au ndio hamuioni mbingu bila idhini yao? kulikoni?

Vipi, William Lukuvi, unaunga mkono hotuba yake kanisani?
 
huwa sibishani na watu wenye upeo mdogo wa kuelewa, nyie mna misimamo yenu ambayo hata nyie wenyewe huwa haiwasaidii

Duh. ulitaka William Lukuvi aende makanisa mangapi ndio ujumbe wa hofu yake kwa Uislam ukufikie?
 
Ivi huu mfumo kristo ambao mnaulalamikia toka uhuru naamini kabla ya uzao wako umekuta wenzako wanalia na wewe umeongeza sauti za kulia na amini nakuambia utaacha kizazi chako na kijacho kikilia kuhusu mfumo kristo maana ndio kitu pekee mnaweza ivi inakuaje nchi hii imepita kwenye mikono ya ma-raisi wa JMT wawili waislamu sahau upande wa ZNZ ambako kiti cha uraisi na almost safu yote ya uongozi ipo chini ya uislamu bado mnalia mnakandamizwa kama sio mawazo mgando,angalia mfn sasa ivi raisi wa JMT na makamu wake na uongozi wa SMZ ni dini gani bado nao wana-support mfumo kristo kama sio mazoea tu ya kulalamika wakati wenzenu wanapiga hatua nyie mnapambana nao hakika kwa kukaa na kulia kama wewe sahau kusogea hata hatua moja na hao unaowalalamikia hautawakuta milele,ivi wakristo wa Tz wanavokaa kimya mnadhani hakuna changamoto?ni vile tunajua vitendo ni msingi sio maneno nasikia fahari kuona hatua zetu na kasi yetu muda sio mrefu tutakaa mbali na nyinyi na hatutosikia tena kelele za vilio vyenu na bado tutakua kwenye ardhi moja ya Tanzania.

Anasema Jalaluddin Rumi "Yatizame macho yako. Ni madogo lakini yana uwezo wa kuyaona mambo makubwa."
 
Hapa ndipo ulipoanza kunichosha. Kumbe maneno yako ya kujifanya unapinga uovu yalikuwa ni maneno tu? Kwako wewe kama ilivyo kwa waumini wenzako, ummah ni muhimu kuliko haki. Ndio maana umeshindwa kuwalaani waziwazi wakina Boko Haram na Al Shaabad ambao kwa maeno ya kiongozi wenu wamebeba silaha kutetea imani yenu.

Mimi nilishaaga maana niliona tumefikia mahali ambapo kila kinachohitajika kusemwa kishasemwa. Hakuna jinsi ambapo ungenishawishi uko sahihi na vilele hakuna jinsi ningekushawishi wewe. Lakini uliposema kuwa unapinga uovu (japo na caveat) nikaona pengine kuna matumaini ya majadiliano yenye tija. Kumbe yote ni hypocrisy.

Hivi kweli unategemea mtu mwenye akili zake atajibishana na mtu anayedai Mfalme Constantine aliua wahindi wekundu? Na watu wakamshangilia kama kasema la maana. Mfalme Constantine aliyefariki mwaka 337, miaka kibao kabla ya Christopher Columbus kuzaliwa (mwaka 1451). Hao wahindi wekundu walitoka wapi?

Humu ndani tumefikia mahali pa kuambiwa kuwa tunalalwa, na kuitwa Fundi Uharo n.k. na bado mnategemea watu wenye akili zao wajiingize?

Mimi sipendi unafik. Sipendi sycophants kama huyo mfuasi wa Guru Nanak. Sipendi pretentious fools ambao wanadhania kutumia kiingereza kibovu ndio ishara kuwa wameelimika. Sipendi kasuku ambao wako kama broken record wakirudia swali hilo hilo hata wakijibiwa mara ngapi.

Kutokana na yote hayo najiunga na wenzangu kwa kuwaachia ukumbi huu mjifurahishe kwa kuwatusi wale ambao hawapo.
Nilikuwepo,

Amandla......
Kwa hiyo hauwezi kurudi tena, au utarudi baadeni tukijaaliwa.
 
Hapa ndipo ulipoanza kunichosha. Kumbe maneno yako ya kujifanya unapinga uovu yalikuwa ni maneno tu? Kwako wewe kama ilivyo kwa waumini wenzako, ummah ni muhimu kuliko haki. Ndio maana umeshindwa kuwalaani waziwazi wakina Boko Haram na Al Shaabad ambao kwa maeno ya kiongozi wenu wamebeba silaha kutetea imani yenu.

Mimi nilishaaga maana niliona tumefikia mahali ambapo kila kinachohitajika kusemwa kishasemwa. Hakuna jinsi ambapo ungenishawishi uko sahihi na vilele hakuna jinsi ningekushawishi wewe. Lakini uliposema kuwa unapinga uovu (japo na caveat) nikaona pengine kuna matumaini ya majadiliano yenye tija. Kumbe yote ni hypocrisy.

Hivi kweli unategemea mtu mwenye akili zake atajibishana na mtu anayedai Mfalme Constantine aliua wahindi wekundu? Na watu wakamshangilia kama kasema la maana. Mfalme Constantine aliyefariki mwaka 337, miaka kibao kabla ya Christopher Columbus kuzaliwa (mwaka 1451). Hao wahindi wekundu walitoka wapi?

Humu ndani tumefikia mahali pa kuambiwa kuwa tunalalwa, na kuitwa Fundi Uharo n.k. na bado mnategemea watu wenye akili zao wajiingize?

Mimi sipendi unafik. Sipendi sycophants kama huyo mfuasi wa Guru Nanak. Sipendi pretentious fools ambao wanadhania kutumia kiingereza kibovu ndio ishara kuwa wameelimika. Sipendi kasuku ambao wako kama broken record wakirudia swali hilo hilo hata wakijibiwa mara ngapi.

Kutokana na yote hayo najiunga na wenzangu kwa kuwaachia ukumbi huu mjifurahishe kwa kuwatusi wale ambao hawapo.
Nilikuwepo,

Amandla......
Nakuchosha na lipi kwanza unatakiwa kujua mimi sipo hapa kukufurahisha wewe.

Mimi pia sipendi unafiki nipo muwazi sana na ninasimamia kile ninachokiamini, umeniuliza swali la Boko Haram zaidi ya mara tano, nimekujibu Boko Haram unachofanya siyo Uislam ni mambo yao Uislam hauna mafundisho hayo, nikakushauri usome Uislam utauelewa, lakini bado unakuja na maswali yale yale sijui unataka nikujibu vipi ili ufurahi na nafsi yako.

Mimi nipo peke yangu usinihusishe na member yeyote humu JF nimekutana nao kama nilivyokutana na wewe, mimi sina kiongozi kama unavyosema kiongozi wangu ni Quran, kuna swali la msingi nimekuuliza kuhusu Wachungaji na Maaskofu mashoga kuendelea kuongoza ibada Makanisani wakati matendo yao hayafanani kuwa viongozi wa dini, utaashia kuwalaani tu huku wanaendelea kuiharibu jamii.

Salam zao ukirudi utanikuta halafu mie sijakutusi siyo tabia yangu kutukanwa mimi ndiyo uwa natukanwa.
 
mtemi isike ndiye anayechezewa hiyo kitu, muulize atakwambia maana yake

Ahh! Toto la kihaya wanja mpaka kisogoni!
Teh teh teh!

Sasa wenzako wote meno meusi!

Na wewe itabidi upake kinyesi cha kitimoto ili ufanane nao!
Otherwise ukitembea nao brbrn utaoneka km vibaka wa hapo muleba!
Teh teh teh teh!
 
Last edited by a moderator:
huwa sibishani na watu wenye upeo mdogo wa kuelewa, nyie mna misimamo yenu ambayo hata nyie wenyewe huwa haiwasaidii

Wewe kuamini kuwa mungu mzungu na alipigwa na kuuwawa na viumbe wake unaonyesha uwezo wako wa kufikiri mkubwa sana.
 
Eeh kahtaan

Umerudi tena??

Basi mwambie huyo bint namimi natakaa..

Teh teh teh! Mzee BwaNCHUCHU we balaa!
Na uzee wote huo!!???
Duh!

Huyo binti bado mdogo!
Ndio kaanza kuota vinyweleo vya koo!

Teh teh teh teh
 
Last edited by a moderator:
Teh teh teh! Mzee BwaNCHUCHU we balaa!
Na uzee wote huo!!???
Duh!

Huyo binti bado mdogo!
Ndio kaanza kuota vinyweleo vya koo!

Teh teh teh teh

Teh teh teh

Mwambie aache uwoga huyo binti..

Uzee mwisho chalinzee...

Aje nimpakulie pilau...
Kwaheriii...
 
Last edited by a moderator:
Have I reached the end of the thread? ?Aaah. ......hahahaa huu uzi usikatike ' tafazali '
 
Jee, ruksa ni William Lukuvi tu, Mtanganyika, kuwa na hofu kuwa Zanzibar itakuwa nchi ya Kiislaam?

Naona maswali umeyapiga chenga. Hahaha, Jee, umeshikwa na hofu?

Mmh wewe foxy uko upande gani? mara nyingi naona unasupport ccm ila kwa hapa na wewe inaonekana unawaunga mkono UKAWA sababu ya serikali 3.....karibu upinzanii
 
Mkuu,

Hawa kenge wa kigalatia woote hapa jamvini...hata hao wajifanzao ati hawana dini/hawaamini Mungu...ni wanafiki na matapeli tu kama yule kenge mwenzao Nyerere!

Huyu Maalim Mohamed Said...amewawekea thread tangia jana,embu tazama wanavyoleta viroja na chuki zao za kinyama!? Daah!

Khalaf,punda wa aina hii hii ati ndo wajifanza wao ni "wasomi","wamestaarabika" na "wazalendo" wa Taifa hilo!? Daah!

Yaani kila kafiri/mgalatia anayengia hapa jamvini...basi kwa njia moja amma nyangine lazim aonyeshe chuki zake kwa Uislam,Waislam au hata mleta mada binafsi!? Daah!

Ahsanta.

Ndugu Gombesugu wajitahid sana kuunadi uislam....jamaa zenu wengi tu mara nyingi ninakutana nao kwenye vibanda vya mnyama pork a.k.a kitimoto
 
Back
Top Bottom