technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 12,706
- 52,355
Hivi ni vyombo vya ulinzi na usalama
P
- Top Mkuu wao ni CinC- Amiri Jeshi Mkuu
- CDF ni Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi
- DGIS ni Mkuu wa jeshi la usalama
- IGP ni Mkuu wa jeshi la polisi
- Commissioner of Magereza
- Commissioner of Uhamiaji
- Commissioner of Zimamoto
- Commissioner wa Tume ya madawa kulevya
Kwamba kishanuka huko ?Nani mwenye cheo kikubwa? je mtu kwa mfano akitolewa kuwa mkurugenzi mkuu wa idara ya usalama wa taifa TISS na kupewa u-IGP inakuwa imekaaje? je anakuwa kapanda cheo au kashushwa cheo nani mkubwa kati ya Mkurugenzi wa TISS na IGP maana duh.!
Acha kucheza na Igp, angalia wanavyosimama kiprotokali wakiwa na rais, Mkurugenzi wa Tiss anakaa mbali sanaTPDF, TISS,..............
Angalia press za Rais kisha angalia mpangilio wa viti utajua nani mkubwa.
Nishakujibu
Anakaa mbali sababu hapendi tu mauzo kama alivyo Alikiba.Acha kucheza na Igp, angalia wanavyosimama kiprotokali wakiwa na rais, Mkurugenzi wa Tiss anakaa mbali sana
CDF, IGP.......
Sent using Jamii Forums mobile app
Id yako tu hii mkuu nilikua na practise kui pronouncenaam..