Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nani mwenye cheo kikubwa? je mtu kwa mfano akitolewa kuwa mkurugenzi mkuu wa idara ya usalama wa taifa TISS na kupewa u-IGP inakuwa imekaaje? je anakuwa kapanda cheo au kashushwa cheo nani mkubwa kati ya Mkurugenzi wa TISS na IGP maana duh.!
Hivi ni vyombo vya ulinzi na usalamaNani mwenye cheo kikubwa? je mtu kwa mfano akitolewa kuwa mkurugenzi mkuu wa idara ya usalama wa taifa TISS na kupewa u-IGP inakuwa imekaaje? je anakuwa kapanda cheo au kashushwa cheo nani mkubwa kati ya Mkurugenzi wa TISS na IGP maana duh.!
Hivi kumbe kuna jeshi la usalamaHivi ni vyombo vya ulinzi na usalama
P
- Top Mkuu wao ni CinC- Amiri Jeshi Mkuu
- CDF ni Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi
- DGIS ni Mkuu wa jeshi la usalama
- IGP ni Mkuu wa jeshi la polisi
- Commissioner of Magereza
- Commissioner of Uhamiaji
- Commissioner of Zimamoto
- Commissioner wa Tume ya madawa kulevya
9. Ongezea TAKUKURU hao wote kama ulivyowataja ni Line Officers. Anyway Kulwa na Dotto nani Mkubwa vile??Hivi ni vyombo vya ulinzi na usalama
P
- Top Mkuu wao ni CinC- Amiri Jeshi Mkuu
- CDF ni Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi
- DGIS ni Mkuu wa jeshi la usalama
- IGP ni Mkuu wa jeshi la polisi
- Commissioner of Magereza
- Commissioner of Uhamiaji
- Commissioner of Zimamoto
- Commissioner wa Tume ya madawa kulevya
Hivi ni vyombo vya ulinzi na usalama
P
- Top Mkuu wao ni CinC- Amiri Jeshi Mkuu
- CDF ni Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi
- DGIS ni Mkuu wa jeshi la usalama
- IGP ni Mkuu wa jeshi la polisi
- Commissioner of Magereza
- Commissioner of Uhamiaji
- Commissioner of Zimamoto
- Commissioner wa Tume ya madawa kulevya
Dotto paymaster au?9. Ongezea TAKUKURU hao wote kama ulivyowataja ni Line Officers. Anyway Kulwa na Dotto nani Mkubwa vile??
Mishahara sh.ngap?DG TISS na IGP vyeo vyao vimefanana hata mishahara yao imelingana tofauti ni ya majukumu yao(ingawaje wote ni maafisa usalama)
Wote wako sawa na hata huduma zao ziko sawa. Na hata wakistaafu bado wana pata huduma sawa hadi wafe. Na wana haki sawa kutoa taarifa kwa mkuu wanchi..Kwa situation ya SASA DG wa TISS ana rank ndogo katkika vyeo vya jeshi la Polisi (yeye ni kamishna). Ikitokea akapewa KAZI ya Sirro..ataongezewa cheo na Kuwa IGP cheo ambacho mara nyingi anakua nacho mmoja tuu(Kwa SASA ni wawili) Mangu na Sirro ingawa Sirro ndio kiongozi wa Jeshi Kwa SASA.
Hapo kwenye commisioner of magereza ungeandika commisioner of prisons, na huyo wa migration ukaandika commissioner of shiftingHivi ni vyombo vya ulinzi na usalama
P
- Top Mkuu wao ni CinC- Amiri Jeshi Mkuu
- CDF ni Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi
- DGIS ni Mkuu wa jeshi la usalama
- IGP ni Mkuu wa jeshi la polisi
- Commissioner of Magereza
- Commissioner of Uhamiaji
- Commissioner of Zimamoto
- Commissioner wa Tume ya madawa kulevya
Jeshi la ccmHivi kumbe kuna jeshi la usalama
Mkuu unajua tunakuamini sana humu,ila sasa unatuchanganya unaposema kuna jeshi la usalama wa taifa,halafu DGTS hawezi kuwa wa tatu kiprotocali kabla ya IGP.Hivi ni vyombo vya ulinzi na usalama
P
- Top Mkuu wao ni CinC- Amiri Jeshi Mkuu
- CDF ni Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi
- DGIS ni Mkuu wa jeshi la usalama
- IGP ni Mkuu wa jeshi la polisi
- Commissioner of Magereza
- Commissioner of Uhamiaji
- Commissioner of Zimamoto
- Commissioner wa Tume ya madawa kulevya