Kutoka kuwa Mkurugenzi wa TISS na kuwa IGP hii imekaaje?

Kutoka kuwa Mkurugenzi wa TISS na kuwa IGP hii imekaaje?

CinC ni Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama,
JWTZ ni jeshi la ulinzi wa nchi, ndilo liko juu,
chini yake kuna TISS ni jeshi la usalama nchi, rais na serikali, sii wengi wanajua kuwa TISS ni jeshi, na DGIS anacheo cha kijeshi!,
Polisi ni jeshi la usalama wa raia ndipo wengine wanafuatia.
P
Mbona wakisimama anaanza IGP? kabla ya DGIS?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Eti kusema Polisi ni junior kwa TISS nakupinga mpaka kifo, juzi tu nimesoma haya mambo.
5/5
Seniority ya kijeshi inapimwa na nani mwenye amri, anapokea amri kwa nani,
CDF, DGIS na IGP wote wanaripoti direct kwa rais, na zote ziko chini ya wizara tofauti, CDF yuko chini ya Waziri wa Ulinzi lakini hapokei amri ya waziri bali ya CinC, DGIS yuko chini ya Ofisi ya rais na kuna waziri ila amri ni kutoka kwa rais, IGP yuko chini ya Waziri wa mambo ya ndani na anaamrishwa!.

Kwenye issues za kiusalama, TISS hawaruhusiwi kisheria kufanya arrest, hivyo huwa wanawaamuru polisi, kijeshi anayetoa amri ndie mkubwa hata kama hana hadhi.

Rais ni CinC, wakuu wa mikoa ni Wenyeviti wa kamati za ulinzi za mikoa, hata wakiwa raia, wanapigiwa saluti, RC anamuamuru RPC, DC anamuamuru OCD!.
p
 
Wana TISS wa kuajiriwa ni wajeshi, wanapitia mafunzo ya kijeshi, wanapiga deppo kama jeshi na wana vyeo vya kijeshi na sio vya kipolisi!.
Ndio maana alipomteua polisi kuwa DGIS watu tumeshangaa, kama tulivyoshangaa kumteua mwanasheria kuwa gavana badala ya mchumi!.
P
Polisi si alikuwa usalama kwanini mshangae?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sio Kweli Bali wote wanapokea maagizo kutoka kwa rais

Ukiona kazi imetoka Tiss kwenda polisi ujue ni kazi inayotakiwa kufanywa na polisi ikiwa sivyo wanafanya wenyewe

Unajua polisi wana kazi wanapeleka Tiss, je ni maagizo kutoka polisi kwenda Tiss?
Pamoja na hayoo yoote mwisho wa siku IGP anapokea maagizo kutoka TISS

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbona wakisimama anaanza IGP? kabla ya DGIS?
Sent using Jamii Forums mobile app
Haya sasa ni mambo ya kiprotokali, hii hutokea hata Zanzibar
Viongozi watatu wakuu wa JMT kitaifa ni Rais, VP na PM, ndipo anafuatia rais wa Zanzibar, lakini ki protokali wakiwa Zanzibar, anaanza rais wa Zanzibar, then rais wa JMT, VP, PM kisha wale VC wawili wa kule, huwezi kusema rais wa Zanzibar ndie mkubwa zaidi ya rais wa JMT kwasababu tuu ametangulia!.
P
 
Nachoona hapa ni vitu viwili wachambuzi hawana majibu ya swali uhuska ama katiba ipo kimya kwenye hili suala kwahiyo hamna jibu zaidi watu wanatumia utashi wao.
 
Kwa situation ya SASA DG wa TISS ana rank ndogo katkika vyeo vya jeshi la Polisi (yeye ni kamishna). Ikitokea akapewa KAZI ya Sirro..ataongezewa cheo na Kuwa IGP cheo ambacho mara nyingi anakua nacho mmoja tuu(Kwa SASA ni wawili) Mangu na Sirro ingawa Sirro ndio kiongozi wa Jeshi Kwa SASA.
Hahaaaa hivi bado hajawa balozi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Haya sasa ni mambo ya kiprotokali, hii hutokea hata Zanzibar
Viongozi watatu wakuu wa JMT kitaifa ni Rais, VP na PM, ndipo anafuatia rais wa Zanzibar, lakini ki protokali wakiwa Zanzibar, anaanza rais wa Zanzibar, then rais wa JMT, VP, PM kisha wale VC wawili wa kule, huwezi kusema rais wa Zanzibar ndie mkubwa zaidi ya rais wa JMT kwasababu tuu ametangulia!.
P
Mfano wako nikiingilia unaweza kunitia matatani

Sijakubaliana na wewe, toa mfano mwingine tujadili

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom