Kutoka kuwa Mkurugenzi wa TISS na kuwa IGP hii imekaaje?

Kutoka kuwa Mkurugenzi wa TISS na kuwa IGP hii imekaaje?

Pascal Mayalla,
Aisee wewe mzee,naona umechachawa baada ya membe kulimwa umeme.maana unasema kaonewa.

Toka lini IGP akaripoti kwa waziri wa mambo ya ndani???nenda hata getini ikulu hesabu nani anaingia pale kila siku asubuhi,jiulize kama kuna haja ya kufanya hivyo ikiwa wanakunywa chai wote na waziri wake hapo wizara ya mambo ya ndani.ndio maana hata huyo waziri kichaa akatolewa sababu alisahau mipaka yake.

TISS au DGTISS hakuna mahali anatoa amri,hata sheria inawaagiza watoe taarifa na kushauri tu,kama taarifa ina uzito sana itazunguka iende juu(kwa rais),kisha irudi kama amri.hawana uwezo wa kupeleka amri moja kwa moja polisi,hawana uwezo huo kisheria wala kikatiba.
 
Mfano wako nikiingilia unaweza kunitia matatani
Sijakubaliana na wewe, toa mfano mwingine tujadili
Sent using Jamii Forums mobile app
Kikawaida kwenye serikali ya kifamilia, baba ndie kichwa cha nyumba na breadwinner, yaani the providers, na hata katika yake, baba ndio huwa juu, mama chini!. Siku hizi kuna wamama wenye mishahara mikubwa kuliko waume zao, na hata kwenye yale, wao ndio huwa juu halafu baba chini, jee ndio wao wanakuwa kichwa?.
P
 
CinC ni Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama,
JWTZ ni jeshi la ulinzi wa nchi, ndilo liko juu,
chini yake kuna TISS ni jeshi la usalama nchi, rais na serikali, sii wengi wanajua kuwa TISS ni jeshi, na DGIS anacheo cha kijeshi!,
Polisi ni jeshi la usalama wa raia ndipo wengine wanafuatia.
P
Pascal nakuja

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Seniority ya kijeshi inapimwa na nani mwenye amri, anapokea amri kwa nani,
CDF, DGIS na IGP wote wanaripoti direct kwa rais, na zote ziko chini ya wizara tofauti, CDF yuko chini ya Waziri wa Ulinzi lakini hapokei amri ya waziri bali ya CinC, DGIS yuko chini ya Ofisi ya rais na kuna waziri ila amri ni kutoka kwa rais, IGP yuko chini ya Waziri wa mambo ya ndani na anaamrishwa!.

Kwenye issues za kiusalama, TISS hawaruhusiwi kisheria kufanya arrest, hivyo huwa wanawaamuru polisi, kijeshi anayetoa amri ndie mkubwa hata kama hana hadhi.

Rais ni CinC, wakuu wa mikoa ni Wenyeviti wa kamati za ulinzi za mikoa, hata wakiwa raia, wanapigiwa saluti, RC anamuamuru RPC, DC anamuamuru OCD!.
p
Mayalla unatoa wapi MAMLAKA ya kudanganya umma namna hii? KWANZA unasema TISS NI jeshi huo ni uongo mkuu Soma kifungu cha 4 Cha TISS ACT YA MWAKA 1996
NA MAJUKUMU YA TISS YAPO KISHERIA SOMA SECT 5 OF TISS ACT 1996

TISS NI KITENGO AMBACHO KIPO CHINI YA OFISI YA RAIS NA DG WA TISS HUTEULIWA NA RAIS

NA IGP VILE VILE HUTEULIWA

BUT DG WA TISS KUTEULIWA NA RAIS HAIMAANISHI NI MKUBWA KWA IGP KWANI RAIS HUTEUA VIONGOZI WENGI SANA WENGINE WANAVYEO VYA CHINI KM MA DED MA DC WENYEVITI WA BODI MBALIMBALI NA KIRANK DG NI KAMISHNA BUT IGP LAZIMA UWE NA CHEO CHA ZAIDI YA KAMISHNA

MFANO HATA KWENYE WILAYA ZETU KUU ZA WILAYA MKITI NI MKUU WA WILAYA KATIBU NI OCD WASHAURI NA DSO NI WAJUMBE TU WAKAWAIDA NA WENGINE KAMA HAOView attachment TZ_Intelligence_Security_Services_Act.pdf

Sent using Jamii Forums mobile app
 
"Kwenye issues za kiusalama, TISS hawaruhusiwi kisheria kufanya arrest, hivyo huwa wanawaamuru polisi, kijeshi anayetoa amri ndie mkubwa hata kama hana hadhi."

Tafadhali mkuu usiwaingize chaka watoto wako.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna TISS anayeamuru polisi kukamata acha kuleta hadithi za Elvis Musiba na Willy Gamba hapa. Kama TISS wana taarifa ya uhalifu wanapeleka aidha polisi au kwa Mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama eneo husika mfano Dc/RC ambao wana mamlaka juu ya vyombo vyote viwili. Na hapa aidha watafanya Polisi au itaundwa Task force.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kati ya embe na chungwa kipi kitamu?
Nani mwenye cheo kikubwa? je mtu kwa mfano akitolewa kuwa mkurugenzi mkuu wa idara ya usalama wa taifa TISS na kupewa u-IGP inakuwa imekaaje? je anakuwa kapanda cheo au kashushwa cheo nani mkubwa kati ya Mkurugenzi wa TISS na IGP maana duh.!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kiitifaki IGP anaonekana ni mkubwa lakni kwenye maamuzi ya Nchi DGIS anasikilizwa na kuogopwa vibaya mno.



Sent using Jamii Forums mobile app
Anaogopwa na nani sasa?
Ivi tunafanya kazi kwa kuogopana? Kila mtu ni muhimu kwa nafasi yake, huyo DGTISS anaweza kusimama peke yake bila tpdf,polisi, Magereza n.k?

Mwisho wa siku vyombo hivi vinafanya kazi kwa kutegemeana ndio maana vimegawana majukumu.

Kiitifaki IGP ni senior kuliko DGTISS habari za uoga achana nazo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi ni vyombo vya ulinzi na usalama
  1. Top Mkuu wao ni CinC- Amiri Jeshi Mkuu
  2. CDF ni Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi
  3. DGIS ni Mkuu wa jeshi la usalama
  4. IGP ni Mkuu wa jeshi la polisi
  5. Commissioner of Magereza
  6. Commissioner of Uhamiaji
  7. Commissioner of Zimamoto
  8. Commissioner wa Tume ya madawa kulevya
P
Nisingeona hii comment yako bagheshi kwa hakika nisingerudi JF daima maana nilikuwa naona utopolo tu unakomentiwa
 
Back
Top Bottom