Volodimiri Zelensiki
JF-Expert Member
- Jan 3, 2015
- 1,154
- 3,417
Believe or not kwa Sasa mkubwa kuliko wote ni IGP hakuna cha CDF wala nani maana huyo ndio mwenye taarifa za kiinteligensia inayoweka madarakani chama pendwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabisa kwa wakati huu mastaminder na mtoa baraka wa kila upupu ni IGP,ndio maana unaona vituko vya akina shana havina wa kuonya.Believe or not kwa Sasa mkubwa kuliko wote ni IGP hakuna cha CDF wala nani maana huyo ndio mwenye taarifa za kiinteligensia inayoweka madarakani chama pendwa
Comments za vijana wa miaka ya 2000 utazijua tu
Nafahamu Idara ya Usalama sijawahi kulisikia hili jeshi la UsalamaHivi ni vyombo vya ulinzi na usalama
P
- Top Mkuu wao ni CinC- Amiri Jeshi Mkuu
- CDF ni Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi
- DGIS ni Mkuu wa jeshi la usalama
- IGP ni Mkuu wa jeshi la polisi
- Commissioner of Magereza
- Commissioner of Uhamiaji
- Commissioner of Zimamoto
- Commissioner wa Tume ya madawa kulevya
Hata Afya, Elimu, TRA nkTatizo TISS agents wameingizwa kote kwenye majeshi na tume...MTU ni luteni Wa jeshi LA Jwtz lakini ndani ni TISS.
Same to magereza,polisi ,takukuru na kwingine.
Sent using Jamii Forums mobile app
CinC ni Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama,Mkuu unajua tunakuamini sana humu,ila sasa unatuchanganya unaposema kuna jeshi la usalama wa taifa,halafu DGTS hawezi kuwa wa tatu kiprotocali kabla ya IGP.
Hawezi kuwa DGIS kwa sababu sio jambo rahisi kama kuwa IGPMhhh mi nahisi IGP ni mkubwa zaidi mana hadi No.1 wa Taifa alishawahi sema i wish i could be IGP..ss sijui wajuzi wa mambo mnasemaje
Very logic bro , but Mwana pendwa ni exceptional caseUkiangalia ukaaji kwa zama hizi utachemka,nakumbuka enzi mwana pendwa wa DSM kabla ya Sasa alikuwa kwenye ukaaji ni karibu zaidi ya Magu.Na yeye ni RC tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Wana TISS wa kuajiriwa ni wajeshi, wanapitia mafunzo ya kijeshi, wanapiga deppo kama jeshi na wana vyeo vya kijeshi na sio vya kipolisi!.Nafahamu Idara ya Usalama sijawahi kulisikia hili jeshi la Usalama
Sent using Jamii Forums mobile app
CinC ni Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama,
JWTZ ni jeshi la ulinzi wa nchi, ndilo liko juu,
chini yake kuna TISS ni jeshi la usalama nchi, rais na serikali, sii wengi wanajua kuwa TISS ni jeshi, na DGIS anacheo cha kijeshi!,
Polisi ni jeshi la usalama wa raia ndipo wengine wanafuatia.
P
Mgambo, majeshi ya wanyamapori, JKU, KMKM, vikosi vya idara mbalimbali na makampuni ya ulinzi, ni paramilitary au auxiliary, ni majeshi lakini sio commissioned, hivyo yote yako kwenye kundi la migamboSamahani kiongozi vipi kuhusu mgambo maana wanasemaga nalo ni jeshi
Eti kusema Polisi ni junior kwa TISS nakupinga mpaka kifo, juzi tu nimesoma haya mambo.Hata katiba imewasort CDf, igp...Wana TISS wa kuajiriwa ni wajeshi, wanapitia mafunzo ya kijeshi, wanapiga deppo kama jeshi na wana vyeo vya kijeshi na sio vya kipolisi!.
Ndio maana alipomteua polisi kuwa DGIS watu tumeshangaa, kama tulivyoshangaa kumteua mwanasheria kuwa gavana badala ya mchumi!.
P
Mgambo, majeshi ya wanyamapori, JKU, KMKM, vikosi vya idara mbalimbali na makampuni ya ulinzi, ni paramilitary au auxiliary, ni majeshi lakini sio commissioned, hivyo yote yako kwenye kundi la migambo
P
Mgambo kwa jina lingine wanaitwa Jeshi la Akiba. Nchi inapokuwa kwenye vita na nchi nyingine, hawa wanalitumikia taifa kama wanajeshi wengine.Samahani kiongozi vipi kuhusu mgambo maana wanasemaga nalo ni jeshi