Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mgambo, majeshi ya wanyamapori, JKU, KMKM, vikosi vya idara mbalimbali na makampuni ya ulinzi, ni paramilitary au auxiliary, ni majeshi lakini sio commissioned, hivyo yote yako kwenye kundi la migambo
P
Hapana hawawi vichwa, lakini kaka unatumia sana utashi wakati hapa tunazungumzia katiba inasemaje? Hata katika mfano wako wa mwanzo nilioukataa ni katiba ndio inazingatiwaKikawaida kwenye serikali ya kifamilia, baba ndie kichwa cha nyumba na breadwinner, yaani the providers, na hata katika yake, baba ndio huwa juu, mama chini!. Siku hizi kuna wamama wenye mishahara mikubwa kuliko waume zao, na hata kwenye yale, wao ndio huwa juu halafu baba chini, jee ndio wao wanakuwa kichwa?.
P
Mnaongea vitu msivyovifahamu, TISS ni idara ndogo sana ambayo isipokuwepo Polisi au Jeshi la wananchi wanaweza kufanyaDG wa TISS ni mkubwa huyo ndo msimamizibwa usalama wa nchi, polisi ambao IGP anawaongoza ni sehemu ya walinda usalama pamoja na majeshi mengine.
Ndo maana katika level za Wilaya DSO kiitifaki ni mkubwa kuliko OCD au RSO kiitifaki ni mkubwa kuliko RPC kwa level ya mkoa
Sent using Jamii Forums mobile app
You nailed itMayalla unatoa wapi MAMLAKA ya kudanganya umma namna hii? KWANZA unasema TISS NI jeshi huo ni uongo mkuu Soma kifungu cha 4 Cha TISS ACT YA MWAKA 1996
NA MAJUKUMU YA TISS YAPO KISHERIA SOMA SECT 5 OF TISS ACT 1996
TISS NI KITENGO AMBACHO KIPO CHINI YA OFISI YA RAIS NA DG WA TISS HUTEULIWA NA RAIS
NA IGP VILE VILE HUTEULIWA
BUT DG WA TISS KUTEULIWA NA RAIS HAIMAANISHI NI MKUBWA KWA IGP KWANI RAIS HUTEUA VIONGOZI WENGI SANA WENGINE WANAVYEO VYA CHINI KM MA DED MA DC WENYEVITI WA BODI MBALIMBALI NA KIRANK DG NI KAMISHNA BUT IGP LAZIMA UWE NA CHEO CHA ZAIDI YA KAMISHNA
MFANO HATA KWENYE WILAYA ZETU KUU ZA WILAYA MKITI NI MKUU WA WILAYA KATIBU NI OCD WASHAURI NA DSO NI WAJUMBE TU WAKAWAIDA NA WENGINE KAMA HAOView attachment 1372605
Sent using Jamii Forums mobile app
I wish I could be IGPHivi ni vyombo vya ulinzi na usalama
P
- Top Mkuu wao ni CinC- Amiri Jeshi Mkuu
- CDF ni Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi
- DGIS ni Mkuu wa jeshi la usalama
- IGP ni Mkuu wa jeshi la polisi
- Commissioner of Magereza
- Commissioner of Uhamiaji
- Commissioner of Zimamoto
- Commissioner wa Tume ya madawa kulevya
Commissioner General of PrisonCGP ni?????
unazungumzia ukaaji wa namna yoyote au ukaaji wa kijeshi? (rank)Ukiangalia ukaaji kwa zama hizi utachemka,nakumbuka enzi mwana pendwa wa DSM kabla ya Sasa alikuwa kwenye ukaaji ni karibu zaidi ya Magu.Na yeye ni RC tu
Kuna classified info ambazo hata igp hatakaa azijue milele jamani cc tule ugali tushibe tylale mengine waacheni tiss waitwe tiss na mjue tiss sio tsd
Hata RPC ni mdogo kwa RSOAcha uongo toka lini DSO akawa mkubwa kuliko OCD???
TISS ni kitengo kilichopo chini ya Wizara ya Mambo ya Ndani (ya Simbachawene)Kuna classified info ambazo hata igp hatakaa azijue milele jamani cc tule ugali tushibe tylale mengine waacheni tiss waitwe tiss na mjue tiss sio tsd
Lugha ni muhimu kwako kwani nimekuambia fungua PDF uijue TISS (Tanzania Intelligence Security Service)Yani katika watu wasiojua walinenalo humu kwenye huu Uzi ni pamoja na wewe yani tiss IPO chini ya Mambo ya ndani na wale wavaa suti PSU wako chini ya simbachawene serious....!? Nishaona wengi humu hatujui kitu nashauri huu uzi ufungwe umejaa ukanjanja !
Lugha ikigongana bora UZI ufutwe(4) The Service may, with the approval of the President after consultation with the Minister for Foreign Affairs, enter into an arrangement with the government of a foreign state or an international organization of states authorizing the service to provide the government, institution or organisation with security assessment.