Kutoka kuwa Mkurugenzi wa TISS na kuwa IGP hii imekaaje?

Kutoka kuwa Mkurugenzi wa TISS na kuwa IGP hii imekaaje?

jet TISS tunaweza kufaninisha na FBI kiutendaji???maanake hawa wote wanafanya kazi zao ndani ya mipaka ya nchi tu..

wajumvi wa mambo tusaidiane kwa hili.....
Hapana mkuu TISS generally inafanya ndani na nje ya nchi nahisi ndani yake ndio section za kudeal na mambo ya ndani tu na ya nje ila FBI yenyewe ina deal na ndani tu ila CIA ndio ina deal na mambo ya nje btw marekani ana communities zaidi ya 17 za usalama, CIA iko independent sana ndo mana perfomance yake ipo juu
 
Hivi ni vyombo vya ulinzi na usalama
  1. Top Mkuu wao ni CinC- Amiri Jeshi Mkuu
  2. CDF ni Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi
  3. DGIS ni Mkuu wa jeshi la usalama
  4. IGP ni Mkuu wa jeshi la polisi
  5. Commissioner of Magereza
  6. Commissioner of Uhamiaji
  7. Commissioner of Zimamoto
  8. Commissioner wa Tume ya madawa kulevya
P
Mbona umemsahau kamishna wa mgambo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi ni vyombo vya ulinzi na usalama
  1. Top Mkuu wao ni CinC- Amiri Jeshi Mkuu
  2. CDF ni Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi
  3. DGIS ni Mkuu wa jeshi la usalama
  4. IGP ni Mkuu wa jeshi la polisi
  5. Commissioner of Magereza
  6. Commissioner of Uhamiaji
  7. Commissioner of Zimamoto
  8. Commissioner wa Tume ya madawa kulevya
P
Hivi takukuru umewasahau kwa makusudi ama kwa bahati mbaya

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi ni vyombo vya ulinzi na usalama
  1. Top Mkuu wao ni CinC- Amiri Jeshi Mkuu
  2. CDF ni Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi
  3. DGIS ni Mkuu wa jeshi la usalama
  4. IGP ni Mkuu wa jeshi la polisi
  5. Commissioner of Magereza
  6. Commissioner of Uhamiaji
  7. Commissioner of Zimamoto
  8. Commissioner wa Tume ya madawa kulevya
P
Halafu hukupanga kwa itifaki

1.MKUU WA MAJESHI-CDF
2.MKUU WA JESHI LA POLISI-IGP
3.MKURUGENZI WA USALAMA WA TAIFA DG-TISS
4.COMMISIONER GENERAL OF PRISON-CGP
5.COMMISIONER GENERAL OF FIRE- CGF
6.COMMISIONER GENERAL OF IMMIGRATION-CGI
7.DG-TAKUKURU
8.MKURUGENZI WA KUZUIA MADAWA YA KULEVYA.

Hivi ndio vyombe vya ulinzi na usalama kwa itifaki yake.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi ni vyombo vya ulinzi na usalama
  1. Top Mkuu wao ni CinC- Amiri Jeshi Mkuu
  2. CDF ni Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi
  3. DGIS ni Mkuu wa jeshi la usalama
  4. IGP ni Mkuu wa jeshi la polisi
  5. Commissioner of Magereza
  6. Commissioner of Uhamiaji
  7. Commissioner of Zimamoto
  8. Commissioner wa Tume ya madawa kulevya
P
Hivi ni vyombo vya ulinzi na usalama
  1. Top Mkuu wao ni CinC- Amiri Jeshi Mkuu
  2. CDF ni Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi
  3. DGIS ni Mkuu wa jeshi la usalama
  4. IGP ni Mkuu wa jeshi la polisi
  5. Commissioner of Magereza
  6. Commissioner of Uhamiaji
  7. Commissioner of Zimamoto
  8. Commissioner wa Tume ya madawa kulevya
P
Wewe unaota mkuu wa Tiss ana report kwa katibu mkuu kiongozi atakuwaje mkubwa kuliko IGP??
 
DG wa TISS ni mkubwa huyo ndo msimamizibwa usalama wa nchi, polisi ambao IGP anawaongoza ni sehemu ya walinda usalama pamoja na majeshi mengine.

Ndo maana katika level za Wilaya DSO kiitifaki ni mkubwa kuliko OCD au RSO kiitifaki ni mkubwa kuliko RPC kwa level ya mkoa

Sent using Jamii Forums mobile app
Acha uongo toka lini DSO akawa mkubwa kuliko OCD???
 
Back
Top Bottom