Kutoka kuwa Mkurugenzi wa TISS na kuwa IGP hii imekaaje?

Chai

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kidogo umejitahidi kuelezea, asieelewa hapa hatokuja kuelewa tena.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi sijui ila huwa nafikiria kuwa TISS ni kitengo ambacho ni cross-cutting kati ta taasisi za kijeshi na za kiraia pia. Kwa hiyo Mkurugenzi wa TISS anaweza kuwa ni mkubwa kwa BAADHI ya walio chini ya taasisi hizo, lakini hawezi kuwa mkubwa kwa wakubwa wa Taasisi zile ambazo ni za kijeshi. Anaweza kuwa mkubwa kwa wakubwa wa taaisi zile ambazo ni za kiraia tu basi!
 
Kombe alikuwa Major General ndo akaingia Tiss na Apson alikuwa Colonel
 
Tumedhajadili sana hilo, ila huyu bwana ameamua kuwa mbishi tu. DGIS wasimuone amekaa pale wakamchukulia ni mtu wa kawaida huyu bwana ndio amewapa mkate hao wakina CDF na IGP kwa hiyo huwezi beza ukubwa wake...

Hata kwenye recruitment ya URAIS yeye ndio ana mchango mkubwa pia...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tiss ni civilian agency
 
British Agent James Bond 007 under MI6 (Military Intelligence 6), with his Boss, Mr. M....... In one occasion katika scenerio moja, M anamwambia Bond

...................."this damn thing could break out into a full scale war, and that's why I'm out here myself,..., so you need to move faster double O seven!

Hawa watu wanavyofanya kazi zao huwa wananifurahisha hadi akili yangu inasikia maumivu. Kabisa yaani!
 
Uzi upo Pasco aliwahi kuandika hata mimi nilikuja kuusoma baadaye sana hata Rais tayari akiwa madarakani, nilishangaa sana. Pasco yuko safi namuaminia, ila naona kama siku hizi naye kuna baadhi ya vitu vimeshaanza kumpita, maana unaona anauliza swali ambalo ni dhahiri kuwa halikutakiwa kuulizwa na mtu kama yeye!
 
Comrade Makanyaga
Umenifurahisha Sana

We chukua tu, uchangie maendeleo ya ya Chama na Nchi

Kiuhakika, Wazee wa Makoti (kule juu) wanajua nani anafata baada ya Mzee wa sasa.

Ndio maana AJAYE yuko protected ili asichafuke kwa namna yoyote hata vyombo vya habari viko well directed kumlinda bila hata wao kujua.

Wazee wa Makoti ndio Engine ya Gari letu linaloitwa TANZANIA


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wazee hawa wa makoti bahati mbaya wakati mwingine wanalaumiwa sana, lakini ukiwaangalia walivyo fair, wako almost next to God. Wangekuwa wanafanya kazi kwa kutoa Press Release, naamini baadhi ya watu wangefanya makosa hata ya kuwaabudu! Mungu awabariki, tuko pamoja nao sana tu. Maendeleo ya Nchi nitachangia kwa namna nyingine, fomu nimeahirisha!
 
Haaaaahhhahh
...jiandae kupiga kura 2025
2020 achana napo, Siku ya kupiga kura nenda zako shamban tukalime

Huku tukisubiri MZEE aapishwe pale Taifa
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tiss ni civilian agency
Unamanisha nini hapa sijaelewa? You mean kuna civilian agencies ambazo zina uwezo wa ku-operate beyond civilian borders, muundo wake ukawa umeingia hadi ndani ya vyombo vya ulinzi na usalama, JW, PT, MT, n.k.?
 
Usibishane na MTU ambae haelewi kitu

Majeshi ya akiba yote yanpitia mafunzo ya kivita ingawa tu tofauti ni basic sio advanced sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
We jamaa unazingua kufanga vetting ya MTU haimaanishi ndo unakua makubwa kwake,

Wewe mwenyewe unajipinga kwa logic yako. Maana Umesema wanafanya hadi vetting ya rais je inafanya DG-TISS kuwa mkubwa zaidi ya raisi????


Seniority jeshini ndo kila kitu.ukiuliza nani makubwa tunaangalia chain of command na protocol.

Wanavojipanga kwenye mkutano ndo ukubwa wao hivo hivo

Cdf-IGP- (DG-TISS)-----

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Teh [emoji16]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…