Kutoka kuwa Mkurugenzi wa TISS na kuwa IGP hii imekaaje?

Kutoka kuwa Mkurugenzi wa TISS na kuwa IGP hii imekaaje?

Huwa navyoona wakikaa kiprotokali;

1. Mkuu wa majeshi. CDF

2. IGP.

3. Usalama wa Taifa.

4. Kamishna Uhamiaji.

5. Kamishna Magereza.

6. Kamishna Fire.

7. Kamishna madawa wa kulevya.
 
Mimi nakuunga mkono wewe, hata mishahara wanayopata ni ya mambo ya ndani ya nchi japo kuna ka upendeleo fulani hivi wanapata kutoka ikulu ila hawana tofauti na Polisi .
umeisoma PDF ya TISS au na wewe una mahaba na hicho kikosi maalum kinachomlinda Rais
TISS haipo Ikulu ipo Tanzania nzima na ninaye shemeji yangu wa kike kapewa Wilaya.
Hawa Intelijensia wana kazi nyingi na imeainishwa watakuwa chini ya Waziri wa Mambo ya Ndani, kwa masurufu, uwajibikaji nk, ingawa kuna Member kasema wamehamishiwa kwa Mkuchika (Utumishi na Utawala Bora) ambapo hata January Makamba na Simbachawene wizara yao ilihamishiwa kwa Makamu, hata TAMISEMI ya Mh Jaffo ilikuwa kwa Waziri Mku sasa ipo kwa Rais ni mabadiliko tu ya maamuzi ya Rais
Jeshini kuna kitengo cha Makomandoo, MPs basi mkiwaona hao ndio Jeshi lenyewe kuwa litapiga vita peke yake? maana umefananisha na CIA na M16
Walinzi wa Rais ni kitengo kilichopo TISS Magogoni nk lkn kila Wilaya TISS wapo
MY TAKE
Kwenye Mada inaulizia kutoka Ukurugenzi wa TISS kwenda IGP imekaaje - mm nasema ni kupanda Cheo
Mkurugenzi ana cheo cha chini ya IGP (Sirro na Mangu wapo sawa kwa sasa hapa Nchini
lkn Diwani Msuya yupo Chini mpaka apandishwe / kuvishwa beji na Rais) angalia hapo IGP ana mikasi, Ngao na Bibi & Bw wakati Diwani hana Mikasi
View attachment 1375167 View attachment 1375181View attachment 1375169

Sent using Jamii Forums mobile app
 
hata Polisi pia wanafanya kazi mpaka nje ya nchi ya Tanzania, ndio maana kuna Polisi wa kimataifa.
Ukwaju,
Mbona unanilisha maneno, wapi nimesema TISS iko ikulu inamlinda rais?? Uwe unaelewa basi ukielekezwa, nimesema TISS haiwezi kuwa chini ya wizara ya mambo ya ndani kwa sababu:-

Wizara ya mambo ya ndani kama inavyoitwa inahusika na mambo ya ndani ya nchi, ie usalama.. TISS inafanya kazi za usalama wa ndani na nje ya mipaka ya Tanzania,

Nimekupa mifano ya CIA na MI6 kuwa hvyo no vitengo vinavyosimamia intelijensia za kimataifa tu. Kwa sababu kuna vyombo vinavyohusika na usalama wa ndani kwenye nchi zao ie. FBI, MI5 no

Tofauti na hizo nchi Tz tuna chombo kimoja (TISS) ambacho kinachohusika na usalama wa nje ya mipaka na wa ndani ya mipaka

Kwa hyo TISS haiwezi kuwa chini ya wizara ya mambo ya ndani kwa sababu kazi zake zinavuka nje ya mipaka ya Tanzania.

Sasa usilete habari zako za shemeji yako wa kike aliyepewa wilaya

Sent using Jamii Forums mobile app
 
hata Polisi pia wanafanya kazi mpaka nje ya nchi ya Tanzania, ndio maana kuna Polisi wa kimataifa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kumbe tatizo ni kubwa kuliko nilivyokua nafikiria, kwa hiyo polisi wa kimataifa Interpol iko chini ya wizara ya mambo ya ndani ya Tz
 
Mimi nakuunga mkono wewe, hata mishahara wanayopata ni ya mambo ya ndani ya nchi japo kuna ka upendeleo fulani hivi wanapata kutoka ikulu ila hawana tofauti na Polisi .
Kabla ya mwaka 1996 TISS (UWT) kuanzishwa ilikuwa chini ya Wizara ya Mambo ya ndani na mpaka leo wengi wa maafisa waliokuwa huko ni POLISI mishahara na masurufu yako huko,
kuna mdau kaelezea vizuri lkn uelewa wa member
TISS enzi za mkoloni na Nyerere iliitwa SPECIAL BRANCH ndani ya Jeshi la Polisi na walikuwa wakiripoti kwa Mkuu wa Polisi sasa sheria ilipotungwa ndiyo ikaanzishwa Idara yao ikiwa na kazi ya kukusanya taarifa mbalimbali na kushauri nini kifanyike lakini pia siyo lazima ushauri wao utekelezwe,sasa kumfananisha mkuu wa polisi eti ni mdogo kwa wa tiss ni kosa sana,jua tu majeshi haya yote yana vitengo kama tiss na hata mfano nchi ikapinduliwa mkuu hizi idara huwa zinapalaganyika kabisa.Toa mahaba yako kwa Idara na angalia uhalisia wa mambo.
Pale Ikulu kwenye ulinzi wa Rais kuna aina tatu za Walinzi, wengi wanawaita TISS lkn kuna JWTZ makomandoo, inner circle wakifuatiwa na TISS na POLISI na hata mavazi silaha na escort vinajionesha kabisa,
cc Evarist Chahali
 
Mgambo wana mafunzo ya kivita,wako chini ya JWTZ.Ndio maana kila mkoa kuna mshauri wa mgambo ambaye ni afisa wa jeshi
Sawa lakini Ni kweli kuwa wakati wa amani wanakua chini ya Mambo ya ndani wakati wa Vita wanakua chini ya W Ulinzi.
 
Sawa lakini Ni kweli kuwa wakati wa amani wanakua chini ya Mambo ya ndani wakati wa Vita wanakua chini ya W Ulinzi.
Ni kweli wakati wa Vita ni wote wanakuwa Wanajeshi hata kama wapo Mambo ya ndani, ndio maana Darfur POLISI walikwenda wengi, zipo kazi huko
 
Kitu kizuri humu ndani kila mtu mjuaji, kuna wanaojua wamekaa kimya na kuna wasiojua wanaonesha kujua. Sitaki kubishana ila nataka kuwasaidia kidogo. TISS ndicho chombo kikuu cha kukusanya taarifa,kuzichambua na kushauri. Taarifa zote kutoka kila sehemu iwe ni jeshini, bungeni, nje ya nchi, sokoni nk. Narudia tena taarifa zote wanatakiwa kuwa aware nazo baadaye wanazifanyia screening na kuchukua za maana tu.

Kwa mantiki hiyo TISS wanashauri uteuzi wa nafasi nyeti ndani ya serikali, from no where mtu hawezi kupewa cheo cha CDF aongoze jeshi bila kufanyiwa vetting. No lazima wajiridhishe then wampitishe. Vivyo hivyo kwa IGP nk

TISS wapo kila mahali, iwe kanisani (kapilimba alikua mchungaji) msikitini, ikulu, shuleni nk. Kila penye watu wapo!

TISS imegawanyika sehemu kuu mbili. Kurugenzi ya mambo ya nje na ndani. Huko nje tuna mawakala kibao kamwe hatutowajua kwa macho!

TISS members wanapatikana kwa ujuzi wa hali ya juu sana, vetting huchukua hadi mwaka mzima. Nilipokua chuo yalinikuta haya... Kama isingekua.... Leo hii ningekua huko.
TISS ndo wanaratibu hata aina ya siasa na uongozi wa nchi, ndio wanaochezesha hata michezo michafu kama ile ya kina Zit...
TISS wanacheza sana na saikolojia za watu, propaganda kwao ni somo kule chuoni, kuna watu maalumu wapo kwenye vyombo vya habari, mitandaoni nk wakileta habari wanazotaka tusikie kwa malengo yao... Amini nakuambia!

TISS ni dubwana kubwa! Usidanganywe na neno 'idara' kisheria hawaruhusiwi kuendesha any operation lakini.... Pia wao kwa wao hawajuani maana kule unafanya kazi kwa amri na maelekezo kama utapewa kazi ya udukuzi utaifanya tu hata kama kwa mke wa rais

Sitaki nilinganishe vyeo vyao... Nataka ujue majukumu ya kazi zao.. Wengi hatumjui rais ajaye Ila miongoni mwao wanajua mda mrefu. Pia depo yao ile ya Siri pale ba... Sio mchezo! Pale ndo wanatoka PSU kwa ajili ya ulinzi wa viongozi, snipers wa kazi maalumu na wale wasiojul...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wana TISS wa kuajiriwa ni wajeshi, wanapitia mafunzo ya kijeshi, wanapiga deppo kama jeshi na wana vyeo vya kijeshi na sio vya kipolisi!.

Ndio maana alipomteua polisi kuwa DGIS watu tumeshangaa, kama tulivyoshangaa kumteua mwanasheria kuwa gavana badala ya mchumi!.
P
Gavana alimteua mwanasheria kwa sababu amesoma Economic Law na ni Profesa. By the way, Gavana aliyepita alikuwa mchumi kweli?
 
Ukwaju,
Mbona unanilisha maneno, wapi nimesema TISS iko ikulu inamlinda rais?? Uwe unaelewa basi ukielekezwa, nimesema TISS haiwezi kuwa chini ya wizara ya mambo ya ndani kwa sababu:-

Wizara ya mambo ya ndani kama inavyoitwa inahusika na mambo ya ndani ya nchi, ie usalama.. TISS inafanya kazi za usalama wa ndani na nje ya mipaka ya Tanzania,

Nimekupa mifano ya CIA na MI6 kuwa hvyo no vitengo vinavyosimamia intelijensia za kimataifa tu. Kwa sababu kuna vyombo vinavyohusika na usalama wa ndani kwenye nchi zao ie. FBI, MI5 no

Tofauti na hizo nchi Tz tuna chombo kimoja (TISS) ambacho kinachohusika na usalama wa nje ya mipaka na wa ndani ya mipaka

Kwa hyo TISS haiwezi kuwa chini ya wizara ya mambo ya ndani kwa sababu kazi zake zinavuka nje ya mipaka ya Tanzania.

Sasa usilete habari zako za shemeji yako wa kike aliyepewa wilaya
Hivi watu wanabishana hivi kwa nini? Katiba imeenda wapi? Huu mjadala kwa upande mwingine unaonyesha kuwa watu tulitamani sana kuwa sehemu ya taasisi hizi ila kwa bahati mbaya hatukubahatika. Mimi mwenyewe hapa nilipo, nilitamani sana kuwa JW au Polisi lakini sikubahatika!
 
Back
Top Bottom