Hao ni vilaza sana tunafanya nao kazi huku hakuna kituee bwana we hao watu walikuwa wakihesabu hata visoda vya bia unazokunywa enzi hizo
uwape watahesabu uwanyweshe watahesabu
na walivyotapakaa huwezi kuwajua, ukikumbuka ya Ulimboka, Roma, Clouds hata ya Mbunge kutwanga risasi ni kumuchia Mungu tu
ni Dude lililotapaa kila kona
Sio kweliIdara iliharibika kipindi cha kipilimba"
Mimi ninaishi karibu na Ofisi yao hazizidi mita 150, jioni tupo nao hawakufichi kitu km akiamua na wala si kwa kumpa nyama na kilagi ni watanzania wenzetu, wapo waliostaafu lakini unaa unaendelea,Hao ni vilaza sana tunafanya nao kazi huku hakuna kitu
Oh! Kumbe hata mpangilio wa vyeo unatambua mkuu.Hivi ni vyombo vya ulinzi na usalama
P
- Top Mkuu wao ni CinC- Amiri Jeshi Mkuu
- CDF ni Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi
- DGIS ni Mkuu wa jeshi la usalama
- IGP ni Mkuu wa jeshi la polisi
- Commissioner of Magereza
- Commissioner of Uhamiaji
- Commissioner of Zimamoto
- Commissioner wa Tume ya madawa kulevya
Uliulizwa ulishamjibu mkuu?Pascal Mayalla, inaonekana muundo wa TISS kisheria ulifanyiwa kazi wakati wa Rais Mkapa.
Either huku nyuma taasisi hiyo ilikuwa chini ya Mzee Mzena, Col. Hassy Kitine, Ag DGIS Augustine Mahiga, Lt. Gen. Imran Kombe then mabadiliko kisheria yakafanyika wakati wa Apson.
Je wakati huo, kitengo kisheria kilikuwa kikitambulika kwa jina gani??
Naomba kuwasilisha
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa matukio Tanzania iliyopitia ni uzembe wa kipilimba, ila baada ya kuingia Mh. Diwani kidogo idara imeimalika kiasi chake ila bado. Tutarajie utendaji wa hali juu kwa siku zijazo.Unaweza ukawa na sababu kusema hivyo lakini pia idara inaonekana imezidi kuwa bora siku hadi siku,kuteteleka kupo kwa taasisi yoyote ile ila mpaka sasa idara imepiga hatua sana.
Hata nchi zilizo na nguvu za kijeshi duniani tumeona ni namna gani idara zao za kijasusi zilivyoyumba mara kwa mara na kutoa mwanya kwa maadui kutekeleza yao.
Mfano shambulio la WTC miaka ile NY na PENTAGON idara za ujasusi hasa CIA walikuwa na taarifa za kutokea kwa mashambulio nchini mwao ila kwa sababu walizozijua wenyewe viongozi wa CIA na FBI hawakuwa wakishea taarifa za kijasusi hadi dakika za mwisho wakapigwa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Thibitisha kauli yako. Kiuhalisia Idara inahitaji kiongozi anaetoka ndani kabisa anaeijua idara nje ndani? hawa watu wa nje bado kuna mambo wanapuyanga kwa kiasi chake.Sio kweli
Hahaha alikiba tena
Kimsingi atakuwa ameshuka cheo,vyeo vya uongozi vinatakiwa kupanda sio kwenda chini.Swali kwani IGP hawezi kuwa TSS?. Kama anaweza je anaripoti kwa nani? Na kama hawezi kwa nn?
NjooThibitisha kauli yako. Kiuhalisia Idara inahitaji kiongozi anaetoka ndani kabisa anaeijua idara nje ndani? hawa watu wa nje bado kuna mambo wanapuyanga kwa kiasi chake.
Ok nakukubali Kamanda, mm nilizoea yale ya kizamani ya Platoon kuwa na askari 27 section 3 Redio na Platoon Commender. kumbe kuna section Commender mbeba RPG
Nakushukuru kwa ufafanuzi ila kutokana na majeshi na Nchi au operation za Nchi tofauti section inaweza kuanzia askari wa4 mpaka 15
Typical units Typical numbers Typical commander Military organization
Talk·Viewfireteam 2–4 lance corporal /
corporalsquad /
section5–14 corporal /
sergeant /
staff sergeantplatoon /
troop15–45 second lieutenant /
first lieutenant /
lieutenantcompany /
battery /
squadron80–150 first lieutenant /
captain /
major
Haiwezi kuwa independent maana nchi yenyewe tu haiko hivyo.Bado sheria iliyotungwa kuisimamia idara hii ina mapungufu sana,haiko independent kama idara za nchi nyingine.
Sent using Jamii Forums mobile app
Unazungumzia uonavyo weweLeo mseme igp ni top wa dgi acheni utani nyie
Hujui kituThibitisha kauli yako. Kiuhalisia Idara inahitaji kiongozi anaetoka ndani kabisa anaeijua idara nje ndani? hawa watu wa nje bado kuna mambo wanapuyanga kwa kiasi chake.
Nenda kanisani hukoNa Wanawake Je? Maana huwa nasikia wanasema "wanawake ni jeshi kubwa"