KUTOKA KWA KING MSWATI: Kwenu wadadaz wa JF.


ahsante mamito ulimi hauna mfupa nisamehewe
 
Last edited by a moderator:
ahsante mamito ulimi hauna mfupa nisamehewe

usijali kipenzi changu, najua hata hilo neno 'mchepuko' maana yake hujui ila tu kwasababu umemsikia daddy wako analiongelea sana na wewe ukacopy na kupaste... Nitakufundisha yote baby baya na nzuri...... sawaeee?
 

hahaha thank u ningeshangaa kama ungekubali nichapwe na umati
ulimi hauna mfupa my king but ungekuwa wewe ungemshauri nini Phlagiey
 
Last edited by a moderator:
usijali kipenzi changu, najua hata hilo neno 'mchepuko' maana yake hujui ila tu kwasababu umemsikia daddy wako analiongelea sana na wewe ukacopy na kupaste... Nitakufundisha yote baby baya na nzuri...... sawaeee?

sawa mamiii mimi nilijua mchepuko ni matundapori sasa Phlagiey aliniuliza achume au asichume porini yuko peke yake nikamwambia achume madam mwenye pori hayupo
 
Last edited by a moderator:
sawa mamiii mimi nilijua mchepuko ni matundapori sasa Phlagiey aliniuliza achume au asichume porini yuko peke yake nikamwambia achume madam mwenye pori hayupo

haya baba miss neddy umemsikia mtoto? Sikunyingine maneno magumu usiongee mbele yake maana ye anayatamka tu bila kujua maana yake.

Cc: my husband Arushaone
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…