KUTOKA KWA KING MSWATI: Kwenu wadadaz wa JF.

KUTOKA KWA KING MSWATI: Kwenu wadadaz wa JF.

nimekukumbuka pia baba paroko. kamchina kalizingua bana yaan kamchina kaliporudi kuwa fresh ile kufungua jf nakuta holaa! nikakutana na litaarifa duuh nikanunaje sasa!

Yaani we acha kidogo nikimbizwe bugando kwa presha maana kukosekana kwa JF ni balaa

Ila kwa sasa nafurahi kukuona hapa!!
 
Back
Top Bottom