Kwahiyo sasa hivi mnaumiziana huko DM?Kutoa ni moyo na siyo utajiri kijana mwenzetu ameliona hili kua mwaka ndio kwanza unaanza.Ni bora kupambana mapema kabisa ju ya kesho yako ya mafanikio. Na katika maisha kushikwa mkono imo tena na mtanzania mwenzio.
Tumia hii kama fursa kabisa usingoje kesho anza sasa kwa better future yako. Kama wewe unaona haikufai wengine itawafaa tu.
Hapa nitakua na weka mabandiko yake kutoka uko aliko kwa sasa.
Karibuni sana tuko pamoja kwa wenye kujali kesho yao.
Bora uuze papuchiSijapata kuona asee...
Wanaume wa jf wanashobokeaga vitu sana.kuna mmoja aliniambia anilipie training ya forex nikamwambia nimpe mtaji nikauze nyanya .akaniona fala.hajawai kupata hata mia anajilaumu sasa[emoji28] [emoji28] [emoji28] eeh!! Dogo noma sana huyo hakuna haja ya kufanya kazi unajiunga unavuna madolari
Naww uliahidi kumpa nn?Wanaume wa jf wanashobokeaga vitu sana.kuna mmoja aliniambia anilipie training ya forex nikamwambia nimpe mtaji nikauze nyanya .akaniona fala.hajawai kupata hata mia anajilaumu sasa
Tena ukiwa kitandani kwako eeeh mapesa mpaka uvunguni
kawombe Kuna kitu akipo sawa.naisi again hii ni ID ya huyo OTARIO ! Why asipost yeye mwenyewe??? Ameliza watu na hayo maforex yake,now anakuja kivingine...uwezi vuna hela kwa kuClick Maus ya Computer
Watu wameliwa sana, watu wamekula mitaji, watu wamepata stroke na frustration ya kufa mtu..Wanaume wa jf wanashobokeaga vitu sana.kuna mmoja aliniambia anilipie training ya forex nikamwambia nimpe mtaji nikauze nyanya .akaniona fala.hajawai kupata hata mia anajilaumu sasa
Mzee wa fitna ushafikaKuna watu wana nyota za kuchukia wenzao
Jomoni.Watu wameliwa sana, watu wamekula mitaji, watu wamepata stroke na frustration ya kufa mtu..
Yaani mi ninaowajua kitaa ni kama 15, haloo wamechanganyikiwa!