KUTOKA KWA TUNDU LISSU

KUTOKA KWA TUNDU LISSU

lugoda12

JF-Expert Member
Joined
Jul 28, 2018
Posts
276
Reaction score
574
"Nawajulisheni kwamba nimeandika barua kwa katibu mkuu, nimeondoa kusudio la kugombea nafasi ya makamu mwenyekiti wa chadema Tz bara, na nimewasilisha barua ya kugombea uenyekiti wa chadema Taifa" Mh. Tundu Lissu
 

Attachments

  • 22ABAC9E-78D1-4B15-974F-407ADD14C8A4.jpeg
    22ABAC9E-78D1-4B15-974F-407ADD14C8A4.jpeg
    79.2 KB · Views: 5
Kwani aliwajulisha pia kuwa atagombea umakamu mwenyekiti ???
 
Chama cha DEMOKRASIA na maendeleo kwa hina wacha tuone kwa vitendo. mkivuka hapa mtajenga legacy ya kujivunia kama chama bora na cha mfano.
 
"Nawajulisheni kwamba nimeandika barua kwa katibu mkuu, nimeondoa kusudio la kugombea nafasi ya makamu mwenyekiti wa chadema Tz bara, na nimewasilisha barua ya kugombea uenyekiti wa chadema Taifa" Mh. Tundu Lissu
How Thing Got Started😅😅😅
 
Back
Top Bottom