Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 69,329
- 164,730
GoodSubiri nikuletee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
GoodSubiri nikuletee
Mtunzi: PettymagamboGood
Barikiwa sana mkuu wanguMtunzi: Pettymagambo
Simulizi: link hii hapa
True story: Babu yangu kama mshikaji wangu
Wana jamvi leo nawaletea stori ya maisha niliyopitia, harakati za maisha, mapenzi, uonevu fitina na uchawi vyote utavipata hapa, ni true stori, lakini majini ya vijiji na watu nitabadilsha kwa ajili ya usalama wangu, karibuni.www.jamiiforums.com
Sawa mkuu, kwa jina la bus siyo ishu lakini kuwa Tabora Boys ilikuwa day School never ever. Nimesoma hapo toka ikiwa chini ya JeshiMtu hawezi andika yote sahihi. Kuna kampuni zipo tokea zamani mno. Mie nimejitambua nayaona mabasi ya Zachary Peter,kimotco nimempanda so no wonder.mie sio wewe Bali Ni Aina ya ubongo tulio nao hata mie ninao Ila sio your personality. Yaani ndio nature ya ubongo wetu yaani kila binadamu
Yaan we ni firauni kabisa yaan emu endelea kwanza kenge we umekula mke wa jamaa jamaa anakulisha na Kodi anakulipia yaan anavuja jasho kwa ajili yako na kwa ajili ya mkewe alafu unamletea ufirauni km huo wewe kweli PokerHakunaga siri chini ya jua taarifa zikamfikia jamaa, bahati mbaya na mwanamke pia akaniambia hataki tena kuishi na jamaa na anataka tuishi wote! Kazi kwa kweli
Unyama kitu fedhuriUnyama mwingi sana
Mwaka gani huo? Mimi nilikuwa nakaa kota za walimu toka 1997 na hakukuwa na day schoolers. Nimejoini hapo form one 2002 na still ilikuwa hivyo hivyo na kipindi hicho ndiyo jeshi lilikuwa kama linaondoka. Nitajie huo mwaka labda nilikuwa sijafika hapoO level kwa tabora boys ilikuwa day school sijui nowdays
Tabia mbayaHalafu nilisahau kukutag mrembo [emoji2],kwanin lakin......