Kalpana
JF-Expert Member
- Jun 16, 2017
- 32,603
- 62,269
Hatariii...Ila Mungu atasaidia..hivi mechi saq ngapi? Hata sijuiUkumbuke Keaho ni JUMAMOSI D😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hatariii...Ila Mungu atasaidia..hivi mechi saq ngapi? Hata sijuiUkumbuke Keaho ni JUMAMOSI D😂
Hyo Avatar hizo mboga hapo waarusha wanaipendaa..bado inaota kwny maji maji tuu eee...Ukumbuke Keaho ni JUMAMOSI D😂
Hapo ni mtoni...nilikaaa mahali nautafakari ukuu wa Mungu...na lile andiko lisemalo...wanaomtumaini Mungu hulinganishwa na miti/mimea iliyopandwa kando ya maji ambayo husitawi majira yote na huzaa matunda kwa majira yake😂Hyo Avatar hizo mboga hapo waarusha wanaipendaa..bado inaota kwny maji maji tuu eee...
Ndio ufuatilie sasa😂Hatariii...Ila Mungu atasaidia..hivi mechi saq ngapi? Hata sijui
Hakikaa.. Huo mto kama mto themi..hivi ndo unaitwa hivyo..nimesahau long tym..ila hzo mboga ni maarufu..Hapo ni mtoni...nilikaaa mahali nautafakari ukuu wa Mungu...na lile andiko lisemalo...wanaomtumaini Mungu hulinganishwa na miti/mimea iliyopandwa kando ya maji ambayo husitawi majira yote na huzaa matunda kwa majira yake😂
Nitajua tuu kabla hapajakuchwaNdio ufuatilie sasa😂
Hizo sio mboga ni magugu maji tuHakikaa...
Huo mto kama mto themi..hivi ndo unaitwa hivyo..nimesahau long tym..ila hzo mboga ni maarufu..
njoo imbox tuimalizie.Mbon ile hujamaliza? Ya nyumba ya maajabu
Basi zinafanana na mboga fulani hivi huota kwny majiHizo sio mboga ni magugu maji tu
Salad?Basi zinafanana na mboga fulani hivi huota kwny maji
Ndo wanaitakaga hivyo..Salad?
Kumbe cyo kweli!!!!Kumbe ni story? Nimeishia hapa