Kutoka kwenye Utajiri mpaka kuishi kwenye lindi la umasikini!

Dah, kweli bhana huo mlima unaitwa chiweta
GARI kinaitwa Taqwa
 
Sio kwamba tunafurahi swala la wizi lkn tunapata story namna maisha watu waliopitia .
 
Kuna jamaa kwenye ule uzi wa rikiboy wa kula kimasihara alimtafuna kichaa baada ya lile tukio hakuwahi kumuona tena yule kicha,aliposimulia ile story hapa alifuatwa PM akaambiwa futa haraka sana hujipendi
Kwanini hao watu walimshauri afute mkuu?..unahisi ni kwanini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…