Hatariii...Ila Mungu atasaidia..hivi mechi saq ngapi? Hata sijuiUkumbuke Keaho ni JUMAMOSI Dπ
Hyo Avatar hizo mboga hapo waarusha wanaipendaa..bado inaota kwny maji maji tuu eee...Ukumbuke Keaho ni JUMAMOSI Dπ
Hapo ni mtoni...nilikaaa mahali nautafakari ukuu wa Mungu...na lile andiko lisemalo...wanaomtumaini Mungu hulinganishwa na miti/mimea iliyopandwa kando ya maji ambayo husitawi majira yote na huzaa matunda kwa majira yakeπHyo Avatar hizo mboga hapo waarusha wanaipendaa..bado inaota kwny maji maji tuu eee...
Ndio ufuatilie sasaπHatariii...Ila Mungu atasaidia..hivi mechi saq ngapi? Hata sijui
Hakikaa.. Huo mto kama mto themi..hivi ndo unaitwa hivyo..nimesahau long tym..ila hzo mboga ni maarufu..Hapo ni mtoni...nilikaaa mahali nautafakari ukuu wa Mungu...na lile andiko lisemalo...wanaomtumaini Mungu hulinganishwa na miti/mimea iliyopandwa kando ya maji ambayo husitawi majira yote na huzaa matunda kwa majira yakeπ
Nitajua tuu kabla hapajakuchwaNdio ufuatilie sasaπ
Hizo sio mboga ni magugu maji tuHakikaa...
Huo mto kama mto themi..hivi ndo unaitwa hivyo..nimesahau long tym..ila hzo mboga ni maarufu..
njoo imbox tuimalizie.Mbon ile hujamaliza? Ya nyumba ya maajabu
Basi zinafanana na mboga fulani hivi huota kwny majiHizo sio mboga ni magugu maji tu
Salad?Basi zinafanana na mboga fulani hivi huota kwny maji
Ndo wanaitakaga hivyo..Salad?
Kumbe cyo kweli!!!!Kumbe ni story? Nimeishia hapa