Kutoka kwenye Utajiri mpaka kuishi kwenye lindi la umasikini!

Unachosha watu,uliishiaga darasa la ngapi?
Uliesoma ngumbaru ndo unaona wengine hawajaenda shule...kwa uandishi wako tu naweza kujua level Yako ya elimu pamoja na uwezo wako mdogo wa kupambanua mambo
 
Haujakosoa lolote.Umeshangaa tu.Ungejua...!
 
ULIVYO SIMULIA MAMBO YA TABORA HAKIKA NI UHALISIA KABISA KABISA!!!!!!! POLE SANA ILA NATUMAINI KWA SASA UKO VIZURI SANA NA UMEIMARIKA KIUCHUMI!!!!!
 
Sasa unakosoa nini bhuda? Hizo madawa kama wewe zinakufanya usizi yaani udevele au umbwele na kunyenta nakushauri Acha,wenzio walikua wanatumia kukata wenge kifupi ni imani ya kazi..
Nb:-VIPO VITU KWA AJILI YA WATU,LAKINI SIO KILA MTU KULA KITU...
 
moneytalk beb pita hapa pazur sana
 
MAISHA YANA MENGI SANA SANA TENA SANA ... SIO UNAMUONA MTU YUKO VIZURI UNATAMANI MAISHA YAKE ACHA KABISA!!!!!! KARIBUNI NGURUKA!!!!!!!!!
 
Sasa unakosoa nini bhuda? Hizo madawa kama wewe zinakufanya usizi yaani udevele au umbwele na kunyenta nakushauri Acha,wenzio walikua wanatumia kukata wenge kifupi ni imani ya kazi..
Nb:-VIPO VITU KWA AJILI YA WATU,LAKINI SIO KILA MTU KULA KITU...
Mimi nawashauri wafanye kazi yao,we unazidi kuwachanganya. Angalia casualties wanazopata.
 
Haujakosoa lolote.Umeshangaa tu.Ungejua...!
Nimekosoa. Kamanda gani ataruhusu askari wake wavute bangi. Ndio ,yupo,Mayunga,walipovuka mpaka,akawaambia askari wake,"Tuko vitani,adui lazima auawe,kama huwezi kuua bila kuvuta bangi,basi,vuta bangi."
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…