Kutoka kwenye Utajiri mpaka kuishi kwenye lindi la umasikini!

Kutoka kwenye Utajiri mpaka kuishi kwenye lindi la umasikini!

Aisee nimecheka mno izo hasira kwa hela za huyo mzee aliyekuwa analala. Ni kweli bana ukiwa unatamani kitu ukikiona akili inaenda mbali mno yaani mno. Mfano mwezi hujawahi Iona red so siku ukiona burungutu lazima akili ihame. Ni sawa na wale vit00mbi akiona paja akili inamhama,anabadilisha safari yaani alikuwa anaenda tegeta ila anaenda mbezi kimara
Mimi nimeogopa sana, kumbe mtu unaweza uwawa ndani ya dk ukiwa na hela,ndiyo maana huwa sipendi kusafiri na hela
 
Mwamba sijui alimuachia mzee akaondoka na hela kweli. Atakuwa alichemsha huyu mwamba wa northern part of Tanzania
Yaani hizo mimi ndiyo njia zangu,Lilongwe to kasumulu pana mwendo mrefu sana,mnatoka lilongwe saa 2 ya usiku,mnaingia kasumulu sa 11 ya alfajiri ya kesho yake. Huo mto aliousahu jina unaitwa mto songwe, ndiyo mpaka wa Malawi na Tanzania
 
Chizi Maarifa rfk angu embu fiki mitaa hi pia .....


...


Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Nashukuru. Nimekuja kuangalia ubora na viwango vya masimulizi haya kwa faida ya walaji kama ambavyo walinichagua kwa kura nyingi sana kusimamia hilo. Maana hawa wasimuliaji huwa wanadanganya wanadhani wanasimulia vilaza tu humu. Kumbe na sisi tupo.
 
Mkuu Vipi Bwana Jambazi Rudi Tumekumiss
Atakutoa hela zako ndio ujue kuwa umemmisi ,huyu Ni mwanaume aliyetakiwa kuzaliwa enzi zile kabila zinanyang'anya ng'ombe. Mfano jamii yangu miaka ya huko nyuma ilikuwa Ni ufahari kwenda kwenye kabila nyingine na kuchukua Mali zao kiubabe na kuzileta kwenye jamii yako so inaonekana wewe Ni wa faida. Yaani mtu anasisima kwenye mkutano wa kijijini wanatajana wezi anasema ndugu zangu mie Ni mwizi Ila siibi hapa nyumbani na import Mali toka nje.


Yaani huyu jamaa Basi Kama Ni yeye naye Ni mwanaume katika wanaume sema environment haijambeba vizuri. Huyu alitakiwa awe trained awe USA army Tena anaenda huko kwenye mission za maana akitoka huko anakutana na mabulungutu mpaka anachoka ama ana trained Kama Mayweather Floyd.
Ama anakuwa Kama akina Pablo ecobar ,Kuna muuzaji wa drugs mmoja wa Jamaica mpaka alirudishwa kwao na USA police,akarudiko Tena pamoja na kufungiwa passport yake.

Siku hizi watu wanaibiana kwa kalamu,viongozi wanawala wananchi wao walioamini kuwoangoza. Yaani kila mtu Ni mwizi kwa nafasi aliyopo Ni wachache watakatifu. Walimu wanachangisha ream paper kila mwaka utadhani Kama mtt anafanya pepa mpaka zote 500 zinaisha. Mara michango ya kuajiri walimu wa kujitolea kwa f2/4 ilimradi wapatapo chao Mana tamaa haina mwisho.
Yaani huniambii kitu,fundi anaona sementi,oparator or dereva anaiba mafuta,fundi gereji anakuibia spea nzima kwa gari yako anakuchomokea mbovu ukirudi anakuuzia iyo iyo.
Yaani Ni wizi tupu dunia imechafuka mno.
Malaya mnaelewana wakati unamnanihii anakusachi mfukoni.
 
Wewe una roho ya kishetani tu na laana ya watu uliowaumiza na kuwaliza itakutafuna maisha yako yote. Kuondokewa na wazazi au kuishi kwenye umaskini sio justification ya wewe kufanya mauaji na kunyang'anya mali za watu. Kama intetion ilikuwa kufanya wizi kujikwamua kimaisha pesa uliyopata awali ilikutosha sana kufanya mishe zingine, ulaaniwe kulingana na watu wote uliowaumiza na kuwapora riziki zao walizozitafuta kihalali.
sasa wewe umekuwa muhubiri au vipi?
 
Back
Top Bottom