Rabonn
JF-Expert Member
- Nov 7, 2018
- 5,789
- 11,106
Ccm inavyotajwa na CDM ni tofauti sana na inavyoongelewa hapa kwenye mkutano wa ACT.Chadema wenyewe lazima wataje CCM na Magufuli vinginevyo mikutano yao inadoda.CCM na Magufuli ndio habari ya mjini
Tofauti kabisaaa.
Kwenye mkutano wa chadema ikitajwa ccm basi lumumba ni maumivu.ila kwa hapa hawa ACT wanavyowataja nawaona mnavyochekeleaa