Ms Mushi
Member
- May 22, 2020
- 23
- 19
Namsubiri akija Arusha atakua na sera ganiNimemsikiliza Membe yeye anaongelea matatizo ya kusini tu
1. Barabara ni moja tu haziendi wilayani
2. Watu wa kusini wanadharaulilwa
3. Mbaazi imeshuka bei na ndio zao linalotegemewa na kusini