Ccm inavyotajwa na CDM ni tofauti sana na inavyoongelewa hapa kwenye mkutano wa ACT.Chadema wenyewe lazima wataje CCM na Magufuli vinginevyo mikutano yao inadoda.CCM na Magufuli ndio habari ya mjini
Bwege kawasha moto mpaka TBC wakaamua kumute ......!!Nimeangalia TBC ni aibu .Uzinduzi heri wangefanyia hata mwandiga kigoma Kuna watu kuliko Lindi kwa Membe
Yale mahudhurio ni kituko yameshusha CV ya Membe
mtaji wa siasa ni watu hao TBC hata kama watu wakijaa hawaonyeshi, so what? CDM ukiwafuatilia angalau utapata updates ambazo zinaonyesha ukweli kuliko unaenda kwenye function halafu huonyeshi matukio ya muhimu na ya kuvutia watu.Hata kama wasipowafukuza lakini angalau wao act tunawapata kuliko cdm kujifanya wajuaji wakati hata online yao imewashinda kurusha live.
Kwa hiyo CCM na Magufuli wako wameandikwa kwenye ilani yao ya chama? Leo wanasema wanazindua ilani kea hiyo CCM na Magufuli ndio ilani yao ?Bwege kawasha moto mpaka TBC wakaamua kumute ......!!
Bwege hakumtaja Magufuli wala CCM .... lakini kamwaga cheche mpaka TBC wakaamua kuzima sauti ......!!Kwa hiyo CCM na Magufuli wako wameandikwa kwenye ilani yao ya chama? Leo wanasema wanazindua ilani kea hiyo CCM na Magufuli ndio ilani yao ?
Ila huyu mgombea mwenza hopeless kabisa, hawezi hutubia watu wakashawishika Kumpa kura.Bwege hakumtaja Magufuli wala CCM .... lakini kamwaga cheche mpaka TBC wakaamua kuzima sauti ......!!
Ila huyu mgombea mwenza hopeless kabisa, hawezi hutubia watu wakashawishika Kumpa kura.
Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
Unajua kua kwenye mkutano wa Act wazalendo TBC wapo live tbc1 na TBC taifa?. Hiyo coverage unaiongeleaje huko vijijini?. Je haina impact kwa chadema na ccm hata kama matangazo Wanakatakata?.mtaji wa siasa ni watu hao TBC hata kama watu wakijaa hawaonyeshi, so what? CDM ukiwafuatilia angalau utapata updates ambazo zinaonyesha ukweli kuliko unaenda kwenye function halafu huonyeshi matukio ya muhimu na ya kuvutia watu.
Nyie kama mmeridhika na Picha zinavyoonyesha basi endeleeni-Unajua kua kwenye mkutano wa Act wazalendo TBC wapo live tbc1 na TBC taifa?. Hiyo coverage unaiongeleaje huko vijijini?. Je haina impact kwa chadema na ccm hata kama matangazo Wanakatakata?.
Leo lissu yupo mwanza. Ni kweli watu walikua wengi sana na naamini ccm wakija watu watakua wengi sana pengine kuzidi hata hao. Ccm wakija vyombo vya habari vitakuwa live na watawafikia watu wengi sana mawilayani. Je lissu atawafikiaje huko vijijini?.
Unajua kua kwenye mkutano wa Act wazalendo TBC wapo live tbc1 na TBC taifa?. Hiyo coverage unaiongeleaje huko vijijini?. Je haina impact kwa chadema na ccm hata kama matangazo Wanakatakata?.
Leo lissu yupo mwanza. Ni kweli watu walikua wengi sana na naamini ccm wakija watu watakua wengi sana pengine kuzidi hata hao. Ccm wakija vyombo vya habari vitakuwa live na watawafikia watu wengi sana mawilayani. Je lissu atawafikiaje huko vijijini?.
Acha upunbavu wa kiccmNataka arushe picha zitto na abdul Nondo ndio nitaamini wengine wote mtatuhujumu tunajua ufipa hamtupendi ndio maana mkaweka mapingamizi ubungo!