Namsubiri akija Arusha atakua na sera ganiNimemsikiliza Membe yeye anaongelea matatizo ya kusini tu
1. Barabara ni moja tu haziendi wilayani
2. Watu wa kusini wanadharaulilwa
3. Mbaazi imeshuka bei na ndio zao linalotegemewa na kusini
Lisu kutwa nzima kamkutano kamojaUnajua kua kwenye mkutano wa Act wazalendo TBC wapo live tbc1 na TBC taifa?. Hiyo coverage unaiongeleaje huko vijijini?. Je haina impact kwa chadema na ccm hata kama matangazo Wanakatakata?.
Leo lissu yupo mwanza. Ni kweli watu walikua wengi sana na naamini ccm wakija watu watakua wengi sana pengine kuzidi hata hao. Ccm wakija vyombo vya habari vitakuwa live na watawafikia watu wengi sana mawilayani. Je lissu atawafikiaje huko vijijini?.
Kwani watu wanapiga kura kwa kuangalia vyombo vya habari na si wagombea wenyewe kwenda vijijini?
Yah. Ana point ila hana mvuto.Ila huyu mgombea mwenza hopeless kabisa, hawezi hutubia watu wakashawishika Kumpa kura.
Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
Namsubiri akija Arusha atakua na sera gani
Wewe utakua mfanyakazi wa tbcHili ndio Nyomi la Uzinduzi wa Mampezi za Kitaifa za Urais za Chama cha ACT Wazalendo.
Na naambiwa kuna Changamoto za Malipo ya Jukwaa mpaka sasa kwamba Jukwaa halijalipiwa sasa sijui Kweli [emoji2305] aaah[emoji23]
Vipi wazee!
wataweza Mziki wa CCM hawa ACT?
View attachment 1555458
View attachment 1555459
View attachment 1555460
View attachment 1555461
View attachment 1555462
View attachment 1555463
View attachment 1555464
View attachment 1555465
View attachment 1555466
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nimemsikiliza Membe yeye anaongelea matatizo ya kusini tu
1. Barabara ni moja tu haziendi wilayani
2. Watu wa kusini wanadharaulilwa
3. Mbaazi imeshuka bei na ndio zao linalotegemewa na kusini
Membe ni mwanaccm, akili zake ni za ubinafsi kama Magufuli tuNimemsikiliza Membe yeye anaongelea matatizo ya kusini tu
1. Barabara ni moja tu haziendi wilayani
2. Watu wa kusini wanadharaulilwa
3. Mbaazi imeshuka bei na ndio zao linalotegemewa na kusini
Niuongo mkuu?. Mbona hakuna raisi aliewahi jenga uwanja wa kimataifa kijijini kwao lakini Magufuli kajenga?. Nae tumpige chini twende na Lissu.Jamaa nimemshangaa sana anaomba Urais kwa ajili ya mikoa ya kusini. Kingine akasema Lindi haijawahi kutoa uwaziri kuanzia Serikali ya awamu ya kwanza hivyo akiingia atahakikisha anateuwa waziri
Unamshangaa huyo wakati kuna Mwamba akifika Shinyanga tu anaanza Kisukuma hadi anafika Chato!!Jamaa nimemshangaa sana anaomba Urais kwa ajili ya mikoa ya kusini. Kingine akasema Lindi haijawahi kutoa uwaziri kuanzia Serikali ya awamu ya kwanza hivyo akiingia atahakikisha anateuwa waziri
Hana tofauti na alieomba uraisi kwa ajili yakijiji kimoja kinachoitwa chato.
Ni mwanasiasa makini sana,,mtulivu na anajua namna ya kueleza mambo magumu kwa lugha rahisi.Zitto ukimsikiliza....ni kama unafundishwa na Mwalimu unayemuelewa sana....hutapenda kukosa kipindi chake.
Huyo ni wa Belgiji sisi tuko na wa Chato tu!Niuongo mkuu?. Mbona hakuna raisi aliewahi jenga uwanja wa kimataifa kijijini kwao lakini Magufuli kajenga?. Nae tumpige chini twende na Lissu.
Chadema wenyewe lazima wataje CCM na Magufuli vinginevyo mikutano yao inadoda.CCM na Magufuli ndio habari ya mjini