Kutoka Mahakama ya Mafisadi mpaka Mahakama ya Kusamehe Mafisadi...!

Mkuu, kwa nini usingetumia nguvu ya pilau ulilokula kwa jirani kuzungumzia mafanikio ya TRA kukusanya takrabini Trilioni 2 toka milioni 700 ambazo zilikuwa zinakusanywa wakati Magu anaingia madarakani?
Taja vyanzo vya mapato hayo kama mortuary haiongozi!!
Fine za barabarani inashika namba mbili.

Walizoporwa watakatishaji hela hewa haijulikani ziko wapi
 
Taja vyanzo vya mapato hayo kama mortuary haiongozi!!
Fine za barabarani inashika namba mbili.

Walizoporwa watakatishaji hela hewa haijulikani ziko wapi
Vyanzo vyote vya mapato ya serikali vimeidhinishwa na bunge na wabunge wako Mbowe, Sugu, Mnyika et al wakiwepo mjengoni. Hapa tunaweza tukamu exclude Halima mdee ambaye alikuwa anatolewa nje ya uwanja kwa kucheza foul!
 
Vyanzo vyote vya mapato ya serikali vimeidhinishwa na bunge na wabunge wako Mbowe, Sugu, Mnyika et al wakiwepo mjengoni. Hapa tunaweza tukamu exclude Halima mdee ambaye alikuwa anatolewa nje ya uwanja kwa kucheza foul!
Cha mortuary kimo?
 
jaribu kufanya ufisadi waB2 na ushehe tutaste mitambo
 
technically,
Nafikiri ungejiuza kuwa hivi Chadema kwenye uchaguzi mwaka huu watawaeleza nini watz?
 
Atakausha,, hatagusia kuhusu mahakama ya Mafisadi wala 50m kwa kila kijiji,. atasimamia kwenye ununuzi wa ndege na kuahidi uongo mwingine kwa miaka mingine mitano ijayoπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
Atakausha,, hatagusia kuhusu mahakama ya Mafisadi wala 50m kwa kila kijiji,. atasimamia kwenye ununuzi wa ndege na kuahidi uongo mwingine kwa miaka mingine mitano ijayoπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
Kwani hujasikia mafisadi kibao wamerudisha pesa? Au ulifikiri hizo kesi zilikuwa kwenye mahakama ngani??
 
Magufuli kwa kinywa chake mwenyewe bila ku-force-wa na mtu yeyote alisema ataanzisha mahakama ya mafisadi.
Mahakama ni majengo tu,mpime kwa kuangalia mafisadi na majizi yaliodakwa mengine bado yahenya ndani mpaka leo
 
Kwani hujasikia mafisadi kibao wamerudisha pesa? Au ulifikiri hizo kesi zilikuwa kwenye mahakama ngani??
Kesi zilikuwa Kisutu.. halafu hao sio mafisadi, walibambikiziwa kesi, ndio maana walikosa ushahidi wa kuwafunga na kuwaagiza wakae meza moja na DPP.
 
Kesi zilikuwa Kisutu.. halafu hao sio mafisadi, walibambikiziwa kesi, ndio maana walikosa ushahidi wa kuwafunga na kuwaagiza wakae meza moja na DPP.
Ili kununua uhuru wao siyo?
 
Hiyo si ndiyo ile mahakama ya kuomba toba na kurudisha pesa?

Nadhani imegeuka kikundi cha kimafia cha kumkamata watu kisha kuwalazimisha warudishe pesa bila kuhukumiwa.

Rogue nation per see.
 
πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†
 
Miongoni mwa mafisadi na wahujumu uchumi ni mkwe wa lowassa,kitilya and the like,Sasa Lowassa kasharudi ccm unataka mme wa binti yake aendelee kusota rumande? Au ulitaka atolewe peke yake alipokuwa anapiga nao story mageleza wanajisikieaje? Ndo maana ukatafutwa utaratibu wa danganya toto ili kuwa nusuru wote wahujumu uchumi ikiwa na wale walioweka pesa za escrow mkombozi bank na stanbic bank. Ikumbukwe pia pesa ya escrow kutoka stanbic Kuna baadhi ya viloba vilipelekwa Ikilu ya Jk na baadhi ya pesa akaingiziwa aliyekuwa mkulu wa Jk. "Ccm Hakuna msafi" in Sophia Simba's voice
 
Kwani hujasikia mafisadi kibao wamerudisha pesa? Au ulifikiri hizo kesi zilikuwa kwenye mahakama ngani??

Sheria ipi kifungu gani na ilitungwa mwaka gani inayosema FISADI au MWIZI akikamatwa na kupatikana na hatia kinachotakiwa ni KUANDIKA BARUA YA KUOMBA MSAMAHA NA KURUDISHA FEDHA ALIYOKWIBA?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…