Teko Modise
JF-Expert Member
- May 20, 2017
- 2,331
- 7,733
Simba ya Da Rosa ilikuwa MotoMnyama Simba aliongoza kundi mbele ya mabingwa wa kihistoria Al Ahly katika Ligi ya Mabingwa Afrika.
Mambo kama haya ni wakubwa wa kazi tu, timu yako kama ina watoto wanaopaka rangi nywele huwezi kufika huko.View attachment 3196156
Wakati wa Corona nyie mlikuwa wapi?Wakati huo ilikuwa ni Corona time, alafu baada ya kuongoza kundi ulienda wapi?
Zilipendwa.
Niliishia robo msimu uliopita na ww baada ya hapo ukaishia wapi?Onyesha zilipendwa zenu
Kama wewe tu, kwahiyo haina mantiki kuponda point 9 za shirikisho na kuona points 4 za club bingwa umepambana sana wakati tushawahi kuongoza kundi mbele ya miamba yenyewe club bingwaNiliishia robo msimu uliopita na ww baada ya hapo ukaishia wapi?
Lazima niponde kwani uzito wa Championship na Confederation ni tofauti, zawadi zao tofauti, hata kiongozi wenu Kaduguda analijua hilo.Kama wewe tu, kwahiyo haina mantiki kuponda point 9 za shirikisho na kuona points 4 za club bingwa umepambana sana wakati tushawahi kuongoza kundi mbele ya miamba yenyewe club bingwa
Ukivuka hapo ulipo ndo nitakusifia ,siwezi kukusifu kwa hatua ambayo mi nilishafika,ni sawa na sasa hivi sisi shirikisho tusipofika fainali hatuwezi kujigamba mbele yenu maana hatukufika mlipofikiaLazima niponde kwani uzito wa Championship na Confederation ni tofauti, zawadi zao tofauti, hata kiongozi wenu Kaduguda analijua hilo.
Sawa mliongoza baada ya hapo ikawaje? Yaani ni sawa na kupiga picha na mzungu, halafu ukabakpa palepale.
Si hatuhitaji kusifiwa na nyie, mmeamua kutupa calculator tutaitumia na tutawaduwaza.Ukivuka hapo ulipo ndo nitakusifia ,siwezi kukusifu kwa hatua ambayo mi nilishafika,ni sawa na sasa hivi sisi shirikisho tusipofika fainali hatuwezi kujigamba mbele yenu maana hatukufika mlipofikia
Luza tumeluzi nini?Uzuri kwa sasa mnashiriki kombe la Luza, kwa hiyo mnaruhusiwa pia kuweka msimamo wa kundi lenu.
TusubiriSi hatuhitaji kusifiwa na nyie, mmeamua kutupa calculator tutaitumia na tutawaduwaza.