Ila Simba duuuhππππππππimekosa bahati tu...Mnyama Simba aliongoza kundi mbele ya mabingwa wa kihistoria Al Ahly katika Ligi ya Mabingwa Afrika.
Mambo kama haya ni wakubwa wa kazi tu, timu yako kama ina watoto wanaopaka rangi nywele huwezi kufika huko.View attachment 3196156
Wakati sisi tunacheza Fainali ya CAFCC nyie mlikuwa wapi? Na kipindi hicho hicho mlitoka kuchoma moto kiwanza SAWakati wa Corona nyie mlikuwa wapi?
Sisi tulikuwa klabu bingwa tunacheza na wydadWakati sisi tunacheza Fainali ya CAFCC nyie mlikuwa wapi? Na kipindi hicho hicho mlitoka kuchoma moto kiwanza SA
Na ninyi ongozeni Kisha mtuambie imekuwajeLazima niponde kwani uzito wa Championship na Confederation ni tofauti, zawadi zao tofauti, hata kiongozi wenu Kaduguda analijua hilo.
Sawa mliongoza baada ya hapo ikawaje? Yaani ni sawa na kupiga picha na mzungu, halafu ukabakpa palepale.
Tuongoze ili iweje?Na ninyi ongozeni Kisha mtuambie imekuwaje