Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 23,620
- 52,790
Swali jepesi kwa wapenda soka, wale wakongwe unaweza kuwataja wachezaji hawa wa Ajax? Jaribu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duuu Mzee mwenzangu upo vizuri[emoji119][emoji119][emoji119]Uzi ufungwe tu hakuna Cha kuchangia Tena umemaliza Kila kitu..Marc overmars kwa mbali, mzee kanu, ffini George, van de sar, mzee blind
Mjadala umefungwa!!Marc overmars kwa mbali, mzee kanu, finidi George, van de sar, mzee blind
Finidi GeorgeVan de sar, Dany blind ( baba wa Daley blind) na nwanko kanu huyo mwingine simkumbuki
✅✅✅Duuu Mzee mwenzangu upo vizuri[emoji119][emoji119][emoji119]Uzi ufungwe tu hakuna Cha kuchangia Tena umemaliza Kila kitu..
Hapo kuna captain Danny Blind na Finidi George pia.Nimemtambua kanu na van der sa tu hapo
Kluivert katokea sub kwenda kuwaua vijana wa capello, kimoja tu cha nguruwe, cha dk za jioooni. Akiwaacha kina maldini, mwamba franco baresi, fundi BOBAN wakiwa hoi.Hapo kuna captain Danny Blind na Finidi George pia.
Kikosi hiko cha Ajax kilitwaa taji la Uefa Champions League mwaka 1995 kwa goli maridadi la straika Patrick Kluivert.
Kikosini pia walikuwepo De Boer's brothers (Frank & Ronald), vilevile walikuwepo akina Edgar Davids, Clerence Seedorf, mchawi wa soka toka Finland, Jari Litmanen na wengineo
Hapo chini ya ufundi wa kocha la mpira, Louis Van Gaal
Naaaaam kumbukumbu zako ziko vyediKluivert katokea sub kwenda kuwaua vijana wa capello, kimoja tu cha nguruwe, cha dk za jioooni. Akiwaacha kina maldini, mwamba franco baresi, fundi BOBAN wakiwa hoi.
Wa kwanza kushoto nilikuwa nasema huyu mchezaji nimeshawahi kumwona wapi kumbe ni baba yake blind 😁 safi sanaHapo kuna captain Danny Blind na Finidi George pia.
Kikosi hiko cha Ajax kilitwaa taji la Uefa Champions League mwaka 1995 kwa goli maridadi la straika Patrick Kluivert.
Kikosini pia walikuwepo De Boer's brothers (Frank & Ronald), vilevile walikuwepo akina Edgar Davids, Clerence Seedorf, mchawi wa soka toka Finland, Jari Litmanen na wengineo
Hapo chini ya ufundi wa kocha la mpira, Louis Van Gaal
Nilisikia wakongwe wakidai iyo mechi ilichezwa wakati Tanzania ikiomboleza mv bukobaKluivert katokea sub kwenda kuwaua vijana wa capello, kimoja tu cha nguruwe, cha dk za jioooni. Akiwaacha kina maldini, mwamba franco baresi, fundi BOBAN wakiwa hoi.
Kama kumbukumbu zangu ziko sawa kuhusu mv bukoba.. Ilizama 96, wakati ajax alibena ndoo msimu wa 94/95.. Fainali iliangukia 95.Nilisikia wakongwe wakidai iyo mechi ilichezwa wakati Tanzania ikiomboleza mv bukoba
Wamefanana sana na mwanae! Lakini alikuwa ni sehemu ya benchi la ufundi la Holland wakati wa kombe la dunia pale QatarWa kwanza kushoto nilikuwa nasema huyu mchezaji nimeshawahi kumwona wapi kumbe ni baba yake blind 😁 safi sana
Hawa wote walienda arsenalSwali jepesi kwa wapenda soka, wale wakongwe unaweza kuwataja wachezaji hawa wa Ajax? JaribuView attachment 2502762
Miaka kwa miaka, wamekuwa wakifanya hivyo!Ajax kiwanda cha kuzalisha wachezaji
Ova
Hapana mkuu, aliyeenda Arsenal hapo alikuwa Kanu pamoja na Bergkamp. Overmars alipitia kwanza Barca nadhani.Hawa wote walienda arsenal
Asante mkuu kwa taarifa na patric kulvert yeye alienda wapi???Hapana mkuu, aliyeenda Arsenal hapo alikuwa Kanu pamoja na Bergkamp. Overmars alipitia kwanza Barca nadhani.
Wachezaji wengi walitimkia Barcelona pamoja na kocha wao Van Gaal.
Van Der Sar alikwenda Juve hakufanya vizuri baadae akaenda Fulham akacheza pale kwa miaka kadhaa kabla ya kwenda Man Utd