Kutoka Maktaba: Wataje wachezaji hawa wa Ajax Amsterdam

Kutoka Maktaba: Wataje wachezaji hawa wa Ajax Amsterdam

Kama kumbukumbu zangu ziko sawa kuhusu mv bukoba.. Ilizama 96, wakati ajax alibena ndoo msimu wa 94/95.. Fainali iliangukia 95.
Mkuu huko sahihi. Ni fainali ya Uefa 1996 kati ya Ajax na Juventus ndo ajali ya meli ya mv bukoba ilitokea. Nimecheki kwenye google. Juventus ilishinda
 
Finidi George
Ajax enzi hizo chini ya kocha luis Van Gaal ilikuwa moto wa kuotea mbali. Hawa wanigeriw Sunday Oliseh, Finidi George, Nwanko Kanu walikuwa Hatariiii. Baadaye akaja Tijan Babangida.

Sitawasahau Frank Rijkaard, Jari litmanen, deboers twin brothers, patrick kluicert, Reinziger etc .

Hii hii Ajax ikzalisha kina Ibrahimovic zlatan na benny McCarthy.

makaveli10 mkorea
 
Ajax enzi hizo chini ya kocha luis Van Gaal ilikuwa moto wa kuotea mbali. Hawa wanigeriw Sunday Oliseh, Finidi George, Nwanko Kanu walikuwa Hatariiii. Baadaye akaja Tijan Babangida.

Sitawasahau Frank Rijkaard, Jari litmanen, deboers twin brothers, patrick kluicert, Reinziger etc .

Hii hii Ajax ikzalisha kina Ibrahimovic zlatan na benny McCarthy.

makaveli10 mkorea
Msimu huo wa uefa walikuwa si mchezo, walikuwa pamoja kwenye makundi.. Wwakkamkanda AC MILAN, nyumbani na ugenini 2-0 kote, kisha fainali ndio wakamdidimiza kimoja cha nguruwe.
 
Back
Top Bottom