Wakuu habari zenu na poleni na majukumu .
Mimi ni msukuma wa mwanza nimeishi mwanza - Nyashishi takribani maisha yangu yote lakini kwa miezi minne sasa nimetua hapa Dar na sina mpango wa kuhama kabisa.
Kwa sasa naishi maeneo ya Tabata Mwananchi - nimepanga. Hata hivyo katika tembea tembea yangu nimefanikiwa kufika sehemu tofauti tofauti za jiji kama vile Bunju, kawe, mbezi ya kimara, ubungo, sinza na kigamboni .
Hata hivyo nilipofika mbagala nikashangaa watu ni wengi na pamechangamka sana tofauti na huko kwingineko nilikopita.
Naombeni ushauri wenu ndugu zangu hivi naweza kupata kiwanja maeneo ya mbagala kwa sasa?
Je uchaguzi wangu wa kutafuta sehemu ya kuishi huko mbagala mnauonaje au nimekurupuka? Kuna maeneo gani mazuri ya kuishi na viwanja affordable tofauti na mbagala? Sitaki maeneo like kiluvya, mpiji magoe sijui kwa matiasi no please.
Kwa sababu nina akiba yangu kiasi fulani lakini moyo wangu umenivutia sana mbagala - anywhere but mbagala.
Japo mbagala ni kubwa sana, wazoefu naomba mnishauri sehemu gani nzuri kwa mbagala naweza kupata kiwanja angalau cha Sq. Meter 800 na kuendelea na kufanikiwa kujenga kibanda cha kuishi.
NAOMBENI USHAURI WENU. ASANTENI SANA
Mimi ni msukuma wa mwanza nimeishi mwanza - Nyashishi takribani maisha yangu yote lakini kwa miezi minne sasa nimetua hapa Dar na sina mpango wa kuhama kabisa.
Kwa sasa naishi maeneo ya Tabata Mwananchi - nimepanga. Hata hivyo katika tembea tembea yangu nimefanikiwa kufika sehemu tofauti tofauti za jiji kama vile Bunju, kawe, mbezi ya kimara, ubungo, sinza na kigamboni .
Hata hivyo nilipofika mbagala nikashangaa watu ni wengi na pamechangamka sana tofauti na huko kwingineko nilikopita.
Naombeni ushauri wenu ndugu zangu hivi naweza kupata kiwanja maeneo ya mbagala kwa sasa?
Je uchaguzi wangu wa kutafuta sehemu ya kuishi huko mbagala mnauonaje au nimekurupuka? Kuna maeneo gani mazuri ya kuishi na viwanja affordable tofauti na mbagala? Sitaki maeneo like kiluvya, mpiji magoe sijui kwa matiasi no please.
Kwa sababu nina akiba yangu kiasi fulani lakini moyo wangu umenivutia sana mbagala - anywhere but mbagala.
Japo mbagala ni kubwa sana, wazoefu naomba mnishauri sehemu gani nzuri kwa mbagala naweza kupata kiwanja angalau cha Sq. Meter 800 na kuendelea na kufanikiwa kujenga kibanda cha kuishi.
NAOMBENI USHAURI WENU. ASANTENI SANA