Kichogo
JF-Expert Member
- Jun 10, 2016
- 2,094
- 3,218
Hapo nyashish nina kiwanja namjengo maeneo ya nntendeMimi siwezi kutapeliwa kizembe mkuu! Lakini nashukuru sana kwa kunipa hilo angalizo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo nyashish nina kiwanja namjengo maeneo ya nntendeMimi siwezi kutapeliwa kizembe mkuu! Lakini nashukuru sana kwa kunipa hilo angalizo
Ubarikiwe sana ndugu yangu kwa muongozo wakoSafi sana msukuma.
Kisewe, Kitonga, Mbande, Chamazi, Nzasa, Saku, Kuburugwa, Kichemchem, maeneo hayo yatakufaa kiongozi.
Onana na wazawa hapo Zakhiem wakupe eneo linalokufaa
Wakuu habari zenu na poleni na majukumu .
Mimi ni msukuma wa mwanza nimeishi mwanza - Nyashishi takribani maisha yangu yote lakini kwa miezi minne sasa nimetua hapa Dar na sina mpango wa kuhama kabisa.
Kwa sasa naishi maeneo ya Tabata Mwananchi - nimepanga. Hata hivyo katika tembea tembea yangu nimefanikiwa kufika sehemu tofauti tofauti za jiji kama vile Bunju, kawe, mbezi ya kimara, ubungo, sinza na kigamboni .
Hata hivyo nilipofika mbagala nikashangaa watu ni wengi na pamechangamka sana tofauti na huko kwingineko nilikopita.
Naombeni ushauri wenu ndugu zangu hivi naweza kupata kiwanja maeneo ya mbagala kwa sasa?
Je uchaguzi wangu wa kutafuta sehemu ya kuishi huko mbagala mnauonaje au nimekurupuka? Kuna maeneo gani mazuri ya kuishi na viwanja affordable tofauti na mbagala? Sitaki maeneo like kiluvya, mpiji magoe sijui kwa matiasi no please.
Kwa sababu nina akiba yangu kiasi fulani lakini moyo wangu umenivutia sana mbagala - anywhere but mbagala.
Japo mbagala ni kubwa sana, wazoefu naomba mnishauri sehemu gani nzuri kwa mbagala naweza kupata kiwanja angalau cha Sq. Meter 800 na kuendelea na kufanikiwa kujenga kibanda cha kuishi.
NAOMBENI USHAURI WENU. ASANTENI SANA
Nje nje kama wapi mkuu ? Funguka zaidiLabda mbagala nje nje huko
Sasa mjomba si ujenge hapo tabata ndio karibu na kariakooHuko sasa ndugu si ni mkoa wa pwani na sio Dar, au ? Mimi nataka niwe na accessibility ya chap to kariakoo
Tabata hakuna viwanja mkuu ! Kuna nyumba za watuSasa mjomba si ujenge hapo tabata ndio karibu na kariakoo
Vipo vingi tu, hujatafuta.Tabata hakuna viwanja mkuu ! Kuna nyumba za watu
Ngoja nifuatilie boss wangu huenda nikapataVipo vingi tu, hujatafuta.
Twende taratibu mkuu huyu ni Msukuma mwenzangu. Sisi Wasukuma huwa tunaelewa Polepole ila tukishaelewa tumeelewa jumla! Hivyo usituburuze!Yaani kote huko pazuri umepaona Mbagala...Sijui viwanja ila Mbagala No au unapenda uswahili sana Dar Mjini sio kama uko usukumani
Ila hii pointi poti umenichekesha, eti huna mpango wa kuhama kabisa!Nyashishi takribani maisha yangu yote lakini kwa miezi minne sasa nimetua hapa Dar na sina mpango wa kuhama kabisa.
Tabata ni kubwa Joh kuanzia mwananchi mpaka segerea hukosi kiwanja.Ngoja nifuatilie boss wangu huenda nikapata
Ina maana kuwa watu wote wanaishi mbagala hawana akili? Au nimekuelewa vibayaMtu mwebye qkili hawezi kuishi mbagala
Asante sana 🙏 ubarikiweKuna sehemu inaitwa Vikunai, imepakana na majengo ya Makazi ya Nssf. Viwanja naona bado ni affordable na Hakuna shida ya umeme wala Maji.
Kufika hapo ulipopenda (Zakhem/Rangi Tatu) ni karibu, kwa usafiri wa Bajaji ni 700 tu!
Ndio kule jirani na Mipeko (Mbande magengeni)?Kuna sehemu inaitwa Vikunai, imepakana na majengo ya Makazi ya Nssf. Viwanja naona bado ni affordable na Hakuna shida ya umeme wala Maji.
Kufika hapo ulipopenda (Zakhem/Rangi Tatu) ni karibu, kwa usafiri wa Bajaji ni 700 tu!
Hapana, yenyewe upande huu karibu na Toangoma. Maana hata Kata yake ni Toangoma, kwenda Kigamboni na kwenda Mbagala ni faster sana. Ni kamji kadogo lakini baadae waswahili wote wale wataondoka.Ndio kule jirani na Mipeko (Mbande magengeni)?