Kutoka Mwanza jiji hadi kutua DSM - Mbagala

Safi sana msukuma.
Kisewe, Kitonga, Mbande, Chamazi, Nzasa, Saku, Kuburugwa, Kichemchem, maeneo hayo yatakufaa kiongozi.
Onana na wazawa hapo Zakhiem wakupe eneo linalokufaa
Ubarikiwe sana ndugu yangu kwa muongozo wako
 
Labda mbagala nje nje huko
 
Yaani kote huko pazuri umepaona Mbagala...Sijui viwanja ila Mbagala No au unapenda uswahili sana Dar Mjini sio kama uko usukumani
Twende taratibu mkuu huyu ni Msukuma mwenzangu. Sisi Wasukuma huwa tunaelewa Polepole ila tukishaelewa tumeelewa jumla! Hivyo usituburuze!
 
Nyashishi takribani maisha yangu yote lakini kwa miezi minne sasa nimetua hapa Dar na sina mpango wa kuhama kabisa.
Ila hii pointi poti umenichekesha, eti huna mpango wa kuhama kabisa!
 
Mkuu hapa ni Dar! Angalia usiwe buzi la mtu.
Wanawake wa Dar wanajua Wasukuma ni watoaji wazuri wa pesa!
 
Kuna sehemu inaitwa Vikunai, imepakana na majengo ya Makazi ya Nssf. Viwanja naona bado ni affordable na Hakuna shida ya umeme wala Maji.
Kufika hapo ulipopenda (Zakhem/Rangi Tatu) ni karibu, kwa usafiri wa Bajaji ni 700 tu!
 
Kuna sehemu inaitwa Vikunai, imepakana na majengo ya Makazi ya Nssf. Viwanja naona bado ni affordable na Hakuna shida ya umeme wala Maji.
Kufika hapo ulipopenda (Zakhem/Rangi Tatu) ni karibu, kwa usafiri wa Bajaji ni 700 tu!
Asante sana 🙏 ubarikiwe
 
Kuna sehemu inaitwa Vikunai, imepakana na majengo ya Makazi ya Nssf. Viwanja naona bado ni affordable na Hakuna shida ya umeme wala Maji.
Kufika hapo ulipopenda (Zakhem/Rangi Tatu) ni karibu, kwa usafiri wa Bajaji ni 700 tu!
Ndio kule jirani na Mipeko (Mbande magengeni)?
 
Ndio kule jirani na Mipeko (Mbande magengeni)?
Hapana, yenyewe upande huu karibu na Toangoma. Maana hata Kata yake ni Toangoma, kwenda Kigamboni na kwenda Mbagala ni faster sana. Ni kamji kadogo lakini baadae waswahili wote wale wataondoka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…