Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nitafute mara ngapi sasa shoga angu? Mbna mie tayar mama mjengo, sio km wee mnaegombania huyooooUnatafuta bwana kinguvu
Mimi huniwezi nitakutoa utumbo wa mavi utaishi na pampas[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nitafute mara ngapi sasa shoga angu? Mbna mie tayar mama mjengo, sio km wee mnaegombania huyoooo
[emoji23]Kama sio insider bhasi kwa level ya mahaba uliyonayo kwa Diamond, nitakuombea kwa Mungu WCB wakuone
Wee shoga angu acha mapepe, ukimaliza kugombania bwana na mke mwenzio lokole afu utulize kalio sasa. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mimi huniwezi nitakutoa utumbo wa mavi utaishi na pampas
Mkuu nimeipongeza sana Serikali pamoja na Diamond mwenyewe kwa kutopambania tuzo na wasanii wenzake wa ndani ila akapewa tuzo ya heshima. Kiukweli ndo alichokuwa anastahili. Kwa alipofikia sio sawa wala haki kumshindanisha Simba na wasanii wadogo kama Ali Kiba, Harmonize au Mbosso.Mkuu usiwe na shaka hao wote ni mashabiki wa damu wa Diamond Platnumz aka Simba ndio maana wapo kila linapotajwa jina Diamond. Diamond ana mashabiki wa aina mbili wanaosifia na wanaomtukana.