Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
swagga ni nini..?Bila kumungunya maneno huyu demu ni mbovu na hana kiwango cha kutoka na Ben Pol. Kitendo cha kujiliza kwenye vyombo vya habari kuwa anampenda Ben na mwanaume kuingia mzima mzima bila kuchelewa hata sekunde ni dalili za msanii huyu kutokuwa na swags kwa mademu wakali wa kibongo bali anasubiri kuonewa huruma na mademu wabovu na wasio na quality kama Ebitoke.
Bila kumungunya maneno huyu demu ni mbovu na hana kiwango cha kutoka na Ben Pol. Kitendo cha kujiliza kwenye vyombo vya habari kuwa anampenda Ben na mwanaume kuingia mzima mzima bila kuchelewa hata sekunde ni dalili za msanii huyu kutokuwa na swags kwa mademu wakali wa kibongo bali anasubiri kuonewa huruma na mademu wabovu na wasio na quality kama Ebitoke.
Uwe unasubilinwajuaji wakuelezeSikulifahamu hilo mkuu
Pingana na ukweli tu kwani hao uliowataja walitangaza kuwa ni bikra? Very irrelevant! Ukiona mwanamke anaitangazia Dunia ni bikra hastahili kupewa hiyo heshima, Hakuna sehemu niliyosema ukiwa barmaid haufanikiwi? Namuheshimu Mama yako mkuu ingawa amezaa TutusaKwani kuwa beki tatu ni laana..mbona yule dada alikuwa beki tatu akawa mtangazaji ,sasa ana media company kaolewa na watoto nA yule kiongozi wa chadema kanda ya dar
Acheni dharau jamani..
Hivi mnajuwa kuna wanawake kama...sophia simba ..hawafichi kusema walishaawahi kuwa bar maid wa..kuuza pombe za kienyeji,dar na moro kabala ya kujiendeleza kuwa.secretary na baadaye wakarudi darasani kusoma hadi..kuwa manasheria ,diwani,waziri na kiongozi wa wanawake
Unayedharau beki tatu na bar maid ushawahi kuuliza mama yako alipitia kazi..zipi..kabla..ya kuolewa?
Mwisho wa siku watamwagana..kama nadanganya wapeni miezi 6 tuuu af mrejee huu uzi...mapenzi tena mwanamke ndo kaanzisha afu yako mitandaoni kila uchao,Subutuuuu
Mapenzi yanadumu ikiwepo privacy na kama it's a man's idea..mwanamke ukifosi kingi jiandae mbeleni mana mwanaume hajakupenda we ndo umependa
Bila kumungunya maneno huyu demu ni mbovu na hana kiwango cha kutoka na Ben Pol. Kitendo cha kujiliza kwenye vyombo vya habari kuwa anampenda Ben na mwanaume kuingia mzima mzima bila kuchelewa hata sekunde ni dalili za msanii huyu kutokuwa na swags kwa mademu wakali wa kibongo bali anasubiri kuonewa huruma na mademu wabovu na wasio na quality kama Ebitoke.
nyie wanaume mbona hampendani hivi? nyie si mnasemaga wanawake hawapendani! huku ndio kupendana sasa?
Sasa ulitaka Ben Pol atoke na wewe?Siyo dharau Mkuu, Mimi nimesema ukweli tu
Dharau..Unakata ben pol akuoe wewe? Kwan ebitoke sio mtu? Acha zalau kama unamtaka sema