Kutoka na Ebitoke, ni uthibitisho kuwa Ben Pol hana swaga

Kutoka na Ebitoke, ni uthibitisho kuwa Ben Pol hana swaga

Unakata ben pol akuoe wewe? Kwan ebitoke sio mtu? Acha zalau kama unamtaka sema
 
Kwamba ni mbaya hapa umekosea kwamba ni kiwango hapa umekosea nadhani ni kwa nini wamependana tuwaachie wao maana ben po akiomba umpe ambacho ebitoke anampa sidhani kama utatoa anyway unaweza kutoa maana zama zimebadilika sio kila homa ni malaria ila hutamfikia ebitoke anachompa binafs nawaombea wafike mbali maana out of drama inaonekana yule binti anajiheshim na ni mcheshi kumbuka mwanaume anatafuta mwanamke atakayemheshim na kumpenda sio sura wala umbo
 
Bila kumungunya maneno huyu demu ni mbovu na hana kiwango cha kutoka na Ben Pol. Kitendo cha kujiliza kwenye vyombo vya habari kuwa anampenda Ben na mwanaume kuingia mzima mzima bila kuchelewa hata sekunde ni dalili za msanii huyu kutokuwa na swags kwa mademu wakali wa kibongo bali anasubiri kuonewa huruma na mademu wabovu na wasio na quality kama Ebitoke.
swagga ni nini..?
 
Bila kumungunya maneno huyu demu ni mbovu na hana kiwango cha kutoka na Ben Pol. Kitendo cha kujiliza kwenye vyombo vya habari kuwa anampenda Ben na mwanaume kuingia mzima mzima bila kuchelewa hata sekunde ni dalili za msanii huyu kutokuwa na swags kwa mademu wakali wa kibongo bali anasubiri kuonewa huruma na mademu wabovu na wasio na quality kama Ebitoke.

unakijua kitu kinaitwa Public attention..? unajua kitu kinaitwa kujibrand..? anachokifanya kwa sasa ni kuhitaji attention kutoka kwa watu pia apate followers wengi hiyo kwake inafaida kupromote kazi zake lakini pia makampuni yakawaangalia yy na huyo dada kama watu wanaozungumzwa sana nakuwapa endorsement.
Fikilia mbali wewe..
 
Kwani kuwa beki tatu ni laana..mbona yule dada alikuwa beki tatu akawa mtangazaji ,sasa ana media company kaolewa na watoto nA yule kiongozi wa chadema kanda ya dar
Acheni dharau jamani..
Hivi mnajuwa kuna wanawake kama...sophia simba ..hawafichi kusema walishaawahi kuwa bar maid wa..kuuza pombe za kienyeji,dar na moro kabala ya kujiendeleza kuwa.secretary na baadaye wakarudi darasani kusoma hadi..kuwa manasheria ,diwani,waziri na kiongozi wa wanawake

Unayedharau beki tatu na bar maid ushawahi kuuliza mama yako alipitia kazi..zipi..kabla..ya kuolewa?
Pingana na ukweli tu kwani hao uliowataja walitangaza kuwa ni bikra? Very irrelevant! Ukiona mwanamke anaitangazia Dunia ni bikra hastahili kupewa hiyo heshima, Hakuna sehemu niliyosema ukiwa barmaid haufanikiwi? Namuheshimu Mama yako mkuu ingawa amezaa Tutusa
 
Mwisho wa siku watamwagana..kama nadanganya wapeni miezi 6 tuuu af mrejee huu uzi...mapenzi tena mwanamke ndo kaanzisha afu yako mitandaoni kila uchao,Subutuuuu
Mapenzi yanadumu ikiwepo privacy na kama it's a man's idea..mwanamke ukifosi kingi jiandae mbeleni mana mwanaume hajakupenda we ndo umependa

Mawazo kama haya ndio yanayofanya watu wengi wasidumu kwenye mahusiano au ndoa.....

Mawazo hasi huwa ni mawazo yenye kubomoa siku zote......mapenzi hayajengwi kwenye mawazo hasi bali mawazo chanya......kwa kuwa maawazo yetu ya kila siku yana mchango mkubwa sana kwenye maisha yetu ya kila siku......

Kwanini usiwaombee waendelee kuwa pamoja kwa kuwa wanapendana....badala unataka kuwa shuhuda siku wakiachana ili unabii wako utimie......wewe ndio ungekuwa Ebitoke ungrfurahia kuona mtu mwenye mawazo kama haya juu ya mahusiano yako....!!!?

3b7ffabae10c5e35877cf08fcbdd30da.jpg
d6b7fb9979a931523f9b96247b2cc98c.jpg
27d9c6a4eb237b87a5db5a3e1cf66b24.jpg
 
Bila kumungunya maneno huyu demu ni mbovu na hana kiwango cha kutoka na Ben Pol. Kitendo cha kujiliza kwenye vyombo vya habari kuwa anampenda Ben na mwanaume kuingia mzima mzima bila kuchelewa hata sekunde ni dalili za msanii huyu kutokuwa na swags kwa mademu wakali wa kibongo bali anasubiri kuonewa huruma na mademu wabovu na wasio na quality kama Ebitoke.

Wewe mbona unamuonea wivu yule demu kutoka na ben? Hivi wewe ni mwanaume wa aina gani? Utakuwa na dalili za uchoko wewe ndio maana unamuonea wivu mtoto wa watu.

My take: yule jamaa hapendagi machoko [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kinachompa thamani mwanamke yeyote hata aweje ni "bikra".
Na awe ameitunza kwa ajili yako tu.

Unadhani angekua ni used, Ben Pol angehangaika nae?
 
nyie wanaume mbona hampendani hivi? nyie si mnasemaga wanawake hawapendani! huku ndio kupendana sasa?

Mtoa post atakuwa ni mwanamke mwenzenu [emoji124][emoji124][emoji124][emoji124]
 
Nadhan huyu Dada ule wimbo wa nikikupata ulimpa moyo na kumpa go ahead but ebitoke is cute kila mwanamke anayejheshmu ni cute
 
Mleta mada nenda na wewe kwa Ben Paul kama unamuonea wivu binti wa watu
 
Sio mbovu tatizo mmezoea madem wa mekap nyingi ukiacha kazi yake dem nimkali sana
 
Hahahaha[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13]
 
Back
Top Bottom