Kibuyu Kazi
JF-Expert Member
- Jun 3, 2017
- 303
- 90
Tuma tena
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimekuekuelewa sana mkuuYou are right
Wanasema kuna wanawake wa aina mbili.
1. Wenye ashiki za karibu
2.wenye ashii za mbali au kutafuta
Mara nyingi wanawake wazuri sana au wanaojiona..wazuri wana ashiki za karibu ..wapo ambao hawawezi kulala bila kuona..mwanaume au mwaanaume akimkaribia hamu inakuja mapema.
Hawa ukikutana naye enyoy naye lakini sii..wa kuoa kwakuwa hataweza kukuvumilia hasa..kama ni mwanaume mtafutaji ambaye unaweza kupotea hata mwezi.
Ukitaka kumuoa huyu lazima...uwe na.na muda naye na.ukitoka jua lazima...usaidwe hata na.house boy au..dereva
Ndio maana...watu hushangaa sana wanawake wazuri sana lakni hawaolewi zaidi labda...atazaa nao..pia hawapendi..kuolewa
Kundi la wanawake wenye shiki za mbali hawa.sio wengi ...na ni..wagumu sana..kuwapata ,na hata ukimpata hana makuu.,sio macho juuu ...kufanya naye mapenzi..hata kama ni mkeo..lazima...kumuandaa na pia wanaridhika mapema...
Kwa mwanaume ambaye hajaoa ukibahatika kupata mwanamke wa...aina..hii..muoe haraka...maana huwa...wanatafutwa ..
Hasa kama ni muhangaikaji una.uhakika wa...msaidizi mwema
Lakini kako poa poa, sio kabaya kiviiile.
Kuwa barmaid ndo hawezi kuwa sealed?? Wewe utakuwa average mindWewe rahisi sana kuibiwa historia yake amekua beki 3 na bar maid Tegeta hiyo seal labda ufafanue ya wapi
Bila kumungunya maneno huyu demu ni mbovu na hana kiwango cha kutoka na Ben Pol. Kitendo cha kujiliza kwenye vyombo vya habari kuwa anampenda Ben na mwanaume kuingia mzima mzima bila kuchelewa hata sekunde ni dalili za msanii huyu kutokuwa na swags kwa mademu wakali wa kibongo bali anasubiri kuonewa huruma na mademu wabovu na wasio na quality kama Ebitoke.
Haya Greater thinker unaetokea sehemu ambayo bar maid wa uzoefu wa six months yupo sealed,Kuwa barmaid ndo hawezi kuwa sealed?? Wewe utakuwa average mind
Wanapendana ama ebitoke ndo anampenda Ben Pol?..Ben Pol si kazaa na mwanamke mwingine.. Eh em niwaache miee...ila haya mapenzi ya mwanamke kufosi kingi sio mapenzi... Wanaume kwani hamjulikani?!.Mawazo kama haya ndio yanayofanya watu wengi wasidumu kwenye mahusiano au ndoa.....
Mawazo hasi huwa ni mawazo yenye kubomoa siku zote......mapenzi hayajengwi kwenye mawazo hasi bali mawazo chanya......kwa kuwa maawazo yetu ya kila siku yana mchango mkubwa sana kwenye maisha yetu ya kila siku......
Kwanini usiwaombee waendelee kuwa pamoja kwa kuwa wanapendana....badala unataka kuwa shuhuda siku wakiachana ili unabii wako utimie......wewe ndio ungekuwa Ebitoke ungrfurahia kuona mtu mwenye mawazo kama haya juu ya mahusiano yako....!!!?
![]()
![]()
![]()
Aliyeleta huu uzi hawezi kuwa mwanaume....amini nakuambia hizo za mleta uzi na kila alicholeta vinaqualify kuwa mwanamke tena mjamzito wa kujifungua miezi miwili au hata mmoja tokea alete huu uzi.nyie wanaume mbona hampendani hivi? nyie si mnasemaga wanawake hawapendani! huku ndio kupendana sasa?