Kutoka Singida hadi Dar es Salaam kwa matumaini ya kupata msaada wa elimu

Kutoka Singida hadi Dar es Salaam kwa matumaini ya kupata msaada wa elimu

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwa hiyo Instagram ndio e-commerce yao et [emoji23] [emoji119] [emoji119][emoji119] Sina mbavu mie
Yaani huko ,badoo,nk ni mambo ya hovyo wanafanya .Huko Kuna watu ambao wanaheshimika lakini mambo wafanyayo huko utashangaa.Dunia imepatwa na hawa watu.
 
Inaendelea......

Mda ukapita Sasa awamu hii nikasema wacha nitulie Sasa niangalie nikamwona kamdada kamoja, nikamchora Kama miezi kadhaa bila kuonyesha dalili zote kuwa nampenda na namtaka, baadae nikatupia ndoano ikanasa binti mrembo kweli anafanya kazi kwenye shirika kubwa la kimataifa hapa nchini tukaongea akanielewa yule uzuri sehemu alipokuwa anafanyia kazi hapo Kuna watoto wa nzi kibao tu bila yeye kuwajua nikawambia jamani kazi kwenu shemeji yenu huyo nipeni sifa.

Jamaa yangu kasema unataka ushahidi kwa video au sauti au wa kuambiwa nikamwambia nipe ushahidi wa kumtia mtu hatiani,Basi nikatulia Kama week moja tu nikashushiwa uchafu wote nikasema isiwe tabu labda huenda alikuwa nao zamani coz anaweza badilika akiwa nami nikamtumia japo kidogo nikamwambia usirudie Tena nakupenda sana akalia mno akasema amekoma hatarudia Tena ilikuwa bahati mbaya tu, nikamwambia sawa tubu Sasa kwa Mungu Hadi tukamshirikisha mzee mmoja wa kanisa kwa Siri kubwa na maisha yakaendelea Kama miezi 6 mingine nikamwambia vipi uko tayari kwenda kunitambulisha kwenu akasema hapana bado anajipanga vizuri looh nikamwambia unajipanga Nini muoaji ni Mimi mie nimejiandaa kila kitu hata leo hii jeuri ya sherehe ninayo akagoma.

Nikamwambia kwa nini lakini akasema bado kidogo,nikaona isiwe tabu nikamcheki mshikaji wangu yupo kwa Sirro nikamwambia utanisadiaje akasema usijali akaandaa kibali kakipeleka kwenye mtandao Fulani akaomba print ...... Ngoma ikajibu mazaga Kama yote hapo alipo ana mimba ya miezi mitano na anapanga kuichomoa Ila jamaa mwenye nao akagoma duuu[emoji15][emoji15][emoji15][emoji15] hapa nikampigia simu nikamwambia ahsante na ushahidi huo hapo nikatulia na maisha.


Sasa ndugu zangu wanajf wapi nakosea Mimi kwenye mahusiano au Nini huwa sifanyi wapendwa maana nashindwa kuelewa kabisa wakuu now nimekuwa na umri unaenda natamani kuwa na ndoa Sasa maana Sina kipingamizi tena.

Karibuni kwa ushauri watu wenye mawazo chanya Ila nikuombe wewe mwenye akili ndogo kama hutakuwa na la maana soma alafu pita hivi.

konda msafi Mshana Jr Bujibuji Wangari Maathai
Nimesoma stori yako yote mkuu.
1. Hongera ulivyopambana
2. Nakupongeza kwa imani thabiti

3. Kwenye mahusiano ndio unataka kubugi stepu
Na kwa mwenendo huo utateseka sana....badili mtazamo vinginevyo rudi magotini munyampaa Siuji
 
Nimesoma stori yako yote mkuu.
1. Hongera ulivyopambana
2. Nakupongeza kwa imani thabiti

3. Kwenye mahusiano ndio unataka kubugi stepu
Na kwa mwenendo huo utateseka sana....badili mtazamo vinginevyo rudi magotini munyampaa Siuji
"Wajefya warea au wanyisi" ameen nimekuelewa mkuu niombee pia na ushauri wewe unaweza ruhusiwa kuja pm
 
Ndio mzee Mtashi alifanyaga Mambo yake now naitumikia nchi yangu mkuu
Hongera Sana mkuu story yako wengi tunapitia njia kama hizo japo kunakuwa na utofauti kiasi fulani, naomba ktk Maisha yako usisahau kumshika mkono MTU atakayekuja kwako siku moja akilia machozi ya uhitaji. Mara nyingi tuliotangulia mjini huwa tunawapuuza wale tuliowaacha nyuma yetu.
Mungu Kwanza alafu juhudi lazima utoboe. Kwa kuwa umemtaja Mtashi na endapo utakuwa unafanya kazi kama Ile ya kwakwe basi wakati mwingine kuwa na Huruma na viumbe WA Mungu. Kuna wakati wazee wanakatisha tamaa vijana wao, yalinikuta haya wakati nasoma na Mzee hakunielewa wakati napitia changamoto za kusoma shule ya jumuiya ya wazazi ya CCM, shule inakidato cha Kwanza mpaka cha nne na ina walimu SITA, Mwalimu wa English, Kiswahili, Siasa, geography na Agriculture. Hakuna mwalimu wa PCM.
Nilienda hivo nukamaliza mtihani na kupata 4.28 wakati matokeo yanatoka nilipangiwa mojamoja kwenda CCP Moshi, lakini aliyekuwa kamanda wa Mkoa Mara miaka hiyo ndugu Alfred Gewe akafanya yake na kunakumbia Kwa MJIBU WA PGO wanaopaswa kwenda polisi ni wale wenye urefu ft 6 Kwa wakati huo Mimi nilikuwa 5.7, baada ya hapo nilirudi nyumbani kwenda kuvua dagaa nikapate nauli nuelekee Dar ili nirudie mtihani. Baada ya kuona hela niliyonayo unanifikisha Dar, nilianza safari kuelekea Mwanza kufika Mwanza nikakuta siku hiyo tren hakuna, nikavuka kwenda upate wa Kamanga nikalala Kwa ndugu, asubuhi nikarudi Mwanza na kununua tiketi Kwa walanguzi na hatimaye nikafika Dar Kwa mwenyeji wangu Tegeta. Nilivopokelewa sivo nilivotarajia. Siku hiyo hiyo nilipofika naulizwa unaondoka lini? Kesho yake nikapelekwa wazo kiwandani nifanye kibarua cha kusafidha huko milling plant nipate nauli. Kibarua chenyewe niliombewa cha wiki Tu ili kupata nauli.
Baada ya kupata hiyo nauli nikajiuliza niya yangu haikuwa kuja kuiona Dar na kurudi, narudi Musoma kufanya nini, wazo nililopata Kwa haraka haraka nikutafuta vidonge ninywe ili nife. Kwa bahati nzuri Kwa kipindi hicho Tegeta pale kibaoni hakukuwa na Duka la madawa. Nikaenda Kituo cha afya hapo Tegeta nikadanganya naumwa nikapewa dozi ya malaria nakumbuka miaka hiyo ilikuwa chloroquin na parecentamol. Nikazichukuwa nikarudi nyumbani Kwa binamu yangu nikaaga na nikaenda guest ya jirani hapo nikalipa chumba shilingi elfu 3, nikameza mzigo wote dozi nzima. Ajabu asubuhi nikajikuta Niko Hai na maumivu Makali mno ya kichwa Kwa akili ya muda huyo nikamlau Mungu Kwa kuniweka Hai tena, lakini nikasikia sauti ikinambia utaishi uyatangaze mambo makuu ya Mungu. Nukanyanyuka na hangover ya dawa mpaka kariakoo nikamtafuta binamu mwingine aliyekuwa anafanya kazi sokoni kariakoo, nikamwomba aniongee nauli ya kwenda Arusha nikaelekea Kisutu, kufika Arusha nako mapokezi hayakuwa mazuri Sana, shukrani zimwendee refiki yangu aliyekuwa na salon yake pale Kwa kunikubalia niwe nalala salon, asubuhi nikiamka yeye anaendelea shughuli zake. Hapo ndo ulikuwa mwanzo wa Maisha kutafuta vibarua viwandani na kurudi kusoma kama private candidate na Leo hii Maisha yanaendelea. Mungu huwa hamuachi kila anayemlilia, wanaolia mwanzo, mwisho hucheka wao
 
Hongera Sana mkuu story yako wengi tunapitia njia kama hizo japo kunakuwa na utofauti kiasi fulani, naomba ktk Maisha yako usisahau kumshika mkono MTU atakayekuja kwako siku moja akilia machozi ya uhitaji. Mara nyingi tuliotangulia mjini huwa tunawapuuza wale tuliowaacha nyuma yetu.
Mungu Kwanza alafu juhudi lazima utoboe. Kwa kuwa umemtaja Mtashi na endapo utakuwa unafanya kazi kama Ile ya kwakwe basi wakati mwingine kuwa na Huruma na viumbe WA Mungu. Kuna wakati wazee wanakatisha tamaa vijana wao, yalinikuta haya wakati nasoma na Mzee hakunielewa wakati napitia changamoto za kusoma shule ya jumuiya ya wazazi ya CCM, shule inakidato cha Kwanza mpaka cha nne na ina walimu SITA, Mwalimu wa English, Kiswahili, Siasa, geography na Agriculture. Hakuna mwalimu wa PCM.
Nilienda hivo nukamaliza mtihani na kupata 4.28 wakati matokeo yanatoka nilipangiwa mojamoja kwenda CCP Moshi, lakini aliyekuwa kamanda wa Mkoa Mara miaka hiyo ndugu Alfred Gewe akafanya yake na kunakumbia Kwa MJIBU WA PGO wanaopaswa kwenda polisi ni wale wenye urefu ft 6 Kwa wakati huo Mimi nilikuwa 5.7, baada ya hapo nilirudi nyumbani kwenda kuvua dagaa nikapate nauli nuelekee Dar ili nirudie mtihani. Baada ya kuona hela niliyonayo unanifikisha Dar, nilianza safari kuelekea Mwanza kufika Mwanza nikakuta siku hiyo tren hakuna, nikavuka kwenda upate wa Kamanga nikalala Kwa ndugu, asubuhi nikarudi Mwanza na kununua tiketi Kwa walanguzi na hatimaye nikafika Dar Kwa mwenyeji wangu Tegeta. Nilivopokelewa sivo nilivotarajia. Siku hiyo hiyo nilipofika naulizwa unaondoka lini? Kesho yake nikapelekwa wazo kiwandani nifanye kibarua cha kusafidha huko milling plant nipate nauli. Kibarua chenyewe niliombewa cha wiki Tu ili kupata nauli.
Baada ya kupata hiyo nauli nikajiuliza niya yangu haikuwa kuja kuiona Dar na kurudi, narudi Musoma kufanya nini, wazo nililopata Kwa haraka haraka nikutafuta vidonge ninywe ili nife. Kwa bahati nzuri Kwa kipindi hicho Tegeta pale kibaoni hakukuwa na Duka la madawa. Nikaenda Kituo cha afya hapo Tegeta nikadanganya naumwa nikapewa dozi ya malaria nakumbuka miaka hiyo ilikuwa chloroquin na parecentamol. Nikazichukuwa nikarudi nyumbani Kwa binamu yangu nikaaga na nikaenda guest ya jirani hapo nikalipa chumba shilingi elfu 3, nikameza mzigo wote dozi nzima. Ajabu asubuhi nikajikuta Niko Hai na maumivu Makali mno ya kichwa Kwa akili ya muda huyo nikamlau Mungu Kwa kuniweka Hai tena, lakini nikasikia sauti ikinambia utaishi uyatangaze mambo makuu ya Mungu. Nukanyanyuka na hangover ya dawa mpaka kariakoo nikamtafuta binamu mwingine aliyekuwa anafanya kazi sokoni kariakoo, nikamwomba aniongee nauli ya kwenda Arusha nikaelekea Kisutu, kufika Arusha nako mapokezi hayakuwa mazuri Sana, shukrani zimwendee refiki yangu aliyekuwa na salon yake pale Kwa kunikubalia niwe nalala salon, asubuhi nikiamka yeye anaendelea shughuli zake. Hapo ndo ulikuwa mwanzo wa Maisha kutafuta vibarua viwandani na kurudi kusoma kama private candidate na Leo hii Maisha yanaendelea. Mungu huwa hamuachi kila anayemlilia, wanaolia mwanzo, mwisho hucheka wao
😭😭😭😭 Duuuh aisee ndio maisha looh
 
Mkuu nimejifunza mengi sana kupitia story yako!
Kuhusu mahusiano endelea kumuomba Mungu pia nakushauri uonane na mch. Dr.Mutashi maana ana kanisa lake kiloleli hatakosa la kukushauri kama mzazi,yupo vizuri sana
 
Mkuu nimejifunza mengi sana kupitia story yako!
Kuhusu mahusiano endelea kumuomba Mungu pia nakushauri uonane na mch. Dr.Mutashi maana ana kanisa lake kiloleli hatakosa la kukushauri kama mzazi,yupo vizuri sana
Ameen mtumishi napajua vizuri sana hapo kanisani maana huyo ni Kama mlezi wangu so nikifikaga Mwanza huwa siwezi kosa kufika hapo hata nyumbani kwake pia
 
Polee sanaa mkuu kwa mikasa uliopitia nimekupenda kwa sabau una hofu ya Mungu na nimuombaji naomba ufadhili masomo yangu kama utaridhia nikotayar kufunga ndoa na ww nina miaka 23
 
Inaendelea......

Mda ukapita Sasa awamu hii nikasema wacha nitulie Sasa niangalie nikamwona kamdada kamoja, nikamchora Kama miezi kadhaa bila kuonyesha dalili zote kuwa nampenda na namtaka, baadae nikatupia ndoano ikanasa binti mrembo kweli anafanya kazi kwenye shirika kubwa la kimataifa hapa nchini tukaongea akanielewa yule uzuri sehemu alipokuwa anafanyia kazi hapo Kuna watoto wa nzi kibao tu bila yeye kuwajua nikawambia jamani kazi kwenu shemeji yenu huyo nipeni sifa.

Jamaa yangu kasema unataka ushahidi kwa video au sauti au wa kuambiwa nikamwambia nipe ushahidi wa kumtia mtu hatiani,Basi nikatulia Kama week moja tu nikashushiwa uchafu wote nikasema isiwe tabu labda huenda alikuwa nao zamani coz anaweza badilika akiwa nami nikamtumia japo kidogo nikamwambia usirudie Tena nakupenda sana akalia mno akasema amekoma hatarudia Tena ilikuwa bahati mbaya tu, nikamwambia sawa tubu Sasa kwa Mungu Hadi tukamshirikisha mzee mmoja wa kanisa kwa Siri kubwa na maisha yakaendelea Kama miezi 6 mingine nikamwambia vipi uko tayari kwenda kunitambulisha kwenu akasema hapana bado anajipanga vizuri looh nikamwambia unajipanga Nini muoaji ni Mimi mie nimejiandaa kila kitu hata leo hii jeuri ya sherehe ninayo akagoma.

Nikamwambia kwa nini lakini akasema bado kidogo,nikaona isiwe tabu nikamcheki mshikaji wangu yupo kwa Sirro nikamwambia utanisadiaje akasema usijali akaandaa kibali kakipeleka kwenye mtandao Fulani akaomba print ...... Ngoma ikajibu mazaga Kama yote hapo alipo ana mimba ya miezi mitano na anapanga kuichomoa Ila jamaa mwenye nao akagoma duuu[emoji15][emoji15][emoji15][emoji15] hapa nikampigia simu nikamwambia ahsante na ushahidi huo hapo nikatulia na maisha.


Sasa ndugu zangu wanajf wapi nakosea Mimi kwenye mahusiano au Nini huwa sifanyi wapendwa maana nashindwa kuelewa kabisa wakuu now nimekuwa na umri unaenda natamani kuwa na ndoa Sasa maana Sina kipingamizi tena.

Karibuni kwa ushauri watu wenye mawazo chanya Ila nikuombe wewe mwenye akili ndogo kama hutakuwa na la maana soma alafu pita hivi.

konda msafi Mshana Jr Bujibuji Wangari Maathai
Mkuu hongera Sana na pole Sana, maana mapito yako Ni mazito Sana!!

Kuhusu mahusiano naomba jaribu kuweka quality za mke kwako,
Anatoka wapi, wa kabila gani? Labda elimu yake, kazi n.k
Fatilia kupitia hizo category, huku ukumshirikisha Mungu,
Naamini utapata sahihi kabisa
 
Back
Top Bottom